Uchaguzi 2020 Naona CHADEMA inavyokwenda kuishangaza Dunia

Uchaguzi 2020 Naona CHADEMA inavyokwenda kuishangaza Dunia

1:Kuwatumbua wafanya kazi wenye vyeti feki na kuwaacha wengine wasiyo na vyeti
Naona Tanzania na Africa mashariki inavyokwenda kuandika historia mpya.

Chadema msitishike kabisa mnaenda kushindana mchana kweupe na ikitokea mnaletewa figisu ndio itakuwa mwisho wa CCM katika uso wa dunia.

CCM kupitia mwenyekiti wao wamejitengenezea maadui wengi mno na ndio maana wanatumia nguvu nyingi Sana kumpamba na propaganda za kinafiki.

Imagine bila kutafuna maneno bodi ya mikopo ya elimu ya juu ilichowafanyia watu hasa walioajiriwa serikalini wakati huohuo hawajaongezwa mishahara toka awamu ya tano ishike dola unadhani watu Hawa watakuwa upande gani?

Chadema anzeni na agenda hizi.:

1. Kufuta makato ya HELSB au kupunguza kea asilimia kubwa.

2. Kupandisha mishahara ya watumishi hawa Wana hasira iliyojificha sana hawaionyeshi.

3. Amani demokrasia na usalama

Chadema itaisimamisha Afrika.
 
Hao hao wana ndugu zao kibao huko makwao na ndiyo walio wengi.
Ccm hamta amini majicho yenu
superbug,

Unaota mchana kweupe wewe. Waajiriwa wa serikali na wenye mikopo ya bodi hawafiki hata 20% ya wapigakura wote.
 
Naona Tanzania na Africa mashariki inavyokwenda kuandika historia mpya.

Chadema msitishike kabisa mnaenda kushindana mchana kweupe na ikitokea mnaletewa figisu ndio itakuwa mwisho wa CCM katika uso wa dunia.

CCM kupitia mwenyekiti wao wamejitengenezea maadui wengi mno na ndio maana wanatumia nguvu nyingi Sana kumpamba na propaganda za kinafiki.

Imagine bila kutafuna maneno bodi ya mikopo ya elimu ya juu ilichowafanyia watu hasa walioajiriwa serikalini wakati huohuo hawajaongezwa mishahara toka awamu ya tano ishike dola unadhani watu Hawa watakuwa upande gani?

Chadema anzeni na agenda hizi.:

1. Kufuta makato ya HELSB au kupunguza kea asilimia kubwa.

2. Kupandisha mishahara ya watumishi hawa Wana hasira iliyojificha sana hawaionyeshi.

3. Amani demokrasia na usalama

Chadema itaisimamisha Afrika.
Wataalamu wa sayansi ya jamii wamethibitisha kuwa ushindi hautokani na juhudi za mshindani kumshinda mshindani wake bali kujishinda mwenyewe kwa kufanya vizuri, vizuri na vizuri zaidi.

Kwa ukweli huo, CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, lengo lisiwe kuishinda CCM, bali ni jinsi gani wanaweza kushinda kwa kurekebisha makosa na mapungufu yao ya ndani kwa ndani, kuelekea kila uchaguzi. Kwa maana ya namna na jinsi ya kuwaaminisha wapiga kura.

Hizi mbwembwe za maneno ya mitandaoni, kujimwambafai na kusingizia Tume ya Uchaguzi, kamwe haziwafikisha kwenye malengo yao ya kisiasa.

Kwa miaka hii ya Utawala wa Rais Magufuli, Serikali imeweza kutekeleza kwa zaidi ya 75% ya ahadi zake zilizomo na zisizokuwemo kwenye Ilani ya Uchaguzi, 2015. Viongozi wa CCM, kila ngazi, wamehimizwa kufuatilia utendaji wa Serikali katika maeneo yao kulingana na Ilani ya Uchaguzi na ahadi za wagombea wao waliopewa dhamana na wananchi.

Je, upinzani umefanya nini cha kuaminiwa na wapiga kura zaidi ya kuikejeli Serikali na madai ya viongozi wao yenye maslahi binafsi km Tume huru ya Uchaguzi ili waingie madarakani?
 
Hao ndio wenye nguvu ya ushawishi.. hata wangekua 5% wana nguvu ya kushawishi thenremaining 95%
superbug,

Unaota mchana kweupe wewe. Waajiriwa wa serikali na wenye mikopo ya bodi hawafiki hata 20% ya wapigakura wote.
 
Amina
Tuhamasishane,hizi asilimia za kinadharia hazitawasalimisha.Iwapo watumishi ni 100,000 kati ya wapiga kura na kila moja akawa na waungaji 10 watakuwa na kura ngapi?Je, iwapo kila anayemwamini mtumishi akihamasisha wapiga kura hata wawili dhidi ya ccm kutatokea nini?Usisahau kuwa waalimu ndiyo wasimamizi wa vituo vya kura,uchaguzi huu sidhani kama watawasaidia kupora kura.Wamelimia meno kwa miaka 5,wamewachoka.
Msipende kuwafanya Watanzania wenzenu wajinga.Tunaenda kuwatupilia mbali na tunaikomboa nchi yetu dhidi ya dhuluma ya miaka 60.Inatosha.
 
Bring back our 1.5 trillion
Watashiriki uchaguzi wakiwa nusu uchi, kutokana na tuhuma wanazozitoa wenyewe? Kwanza wajisafishe kwa tuhuma zao hizo za ndani kwa ndani:
• uongozi dhaifu;
• upendeleo katika uteuzi wa wagombea;
• chuki ya wenyewe kwa wenyewe;
• matumizi ya mali za chama kwa mambo binafsi;
• kutokuwa na Sera mbadala za maendeleo ya Taifa hili nk.

Hayo yote ni dhahiri kwa jamii, ambayo ndiyo uamua nani awaongoze kwa kura na siyo Tume ya Uchaguzi. Wapinzani kusingizia Tume ni kama kuhamisha goli, kwani si kila mtumishi wa Tume ni mwanachama, mfuasi au shabiki wa CCM, Chama Tawala.
 
Endeleeni kujitekenya wenyewe kama ada. Tanzania haiwezikuwa chini ya utawala wa kimwinyi....wa kung'ang'ania madaraka, iwe liwalo!.
Jiandalie kitanzi au sumu ya kunguni maana hutoamini kitakacho wakuta
 
Wataalamu wa sayansi ya jamii wamethibitisha kuwa ushindi hautokani na juhudi za mshindani kumshinda mshindani wake bali kujishinda mwenyewe kwa kufanya vizuri, vizuri na vizuri zaidi.

Kwa ukweli huo, CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, lengo lisiwe kuishinda CCM, bali ni jinsi gani wanaweza kushinda kwa kurekebisha makosa na mapungufu yao ya ndani kwa ndani, kuelekea kila uchaguzi. Kwa maana ya namna na jinsi ya kuwaaminisha wapiga kura.

Hizi mbwembwe za maneno ya mitandaoni, kujimwambafai na kusingizia Tume ya Uchaguzi, kamwe haziwafikisha kwenye malengo yao ya kisiasa.

Kwa miaka hii ya Utawala wa Rais Magufuli, Serikali imeweza kutekeleza kwa zaidi ya 75% ya ahadi zake zilizomo na zisizokuwemo kwenye Ilani ya Uchaguzi, 2015. Viongozi wa CCM, kila ngazi, wamehimizwa kufuatilia utendaji wa Serikali katika maeneo yao kulingana na Ilani ya Uchaguzi na ahadi za wagombea wao waliopewa dhamana na wananchi.

Je, upinzani umefanya nini cha kuaminiwa na wapiga kura zaidi ya kuikejeli Serikali na madai ya viongozi wao yenye maslahi binafsi km Tume huru ya Uchaguzi ili waingie madarakani?
Lazima utakuja kuyakana maneno yako siku mh Lissu atakapo kuwa anakula kiapo
 
Dola mkuu, kuishinda dola sio rahisi.
 
Back
Top Bottom