Uchaguzi 2020 Naona CHADEMA inavyokwenda kuishangaza Dunia

Uchaguzi 2020 Naona CHADEMA inavyokwenda kuishangaza Dunia

superbug,

Unaota mchana kweupe wewe. Waajiriwa wa serikali na wenye mikopo ya bodi hawafiki hata 20% ya wapigakura wote.
Ngoja nikufundishe hesabu maana naona
ulikimbia hesabu. Let say wapiga kura Tz wapo Mil 20 (ingawani pungufu ya hapo)
Hiyo 20% ni kama wapiga kura mil 4 au 3
Kila mfanyakazi kwa Tz ana watu wasiopungua 4 wanaomsikilza na kumtegemea. Ukizidisha mil 4 × 4 ni mil
16. Kama una akili umenielewa.
 
Ili ujue kuwa ccm ina hali ngumu sasa hivi huku halmashamashauri wameitwa watendaji na wataalamu ngazi ya kata na vijiji wamepigwa biti la kutoshadadia upinzani in any way na kupewa mbinu za kuhakikisha chama kinabaki madarakani.
Wakuu wa idara na vitengo pamoja na maafisa wengine wa makao makuu ya wilaya wameitwa kwenye kikao elekezi kuhusu uchaguzi na namna ya kuilinda ccm ibaki madarakani.

Nami nikiwamo ndani yake nilishangaa hiki chama kinachotangaza kupendwa kila siku mbona kina haha kiasi hiki?
Watumishi tumedanganywa kwamba ccm ikitoka madarakani na ajira zetu zitakuwa matatani kwani vyama vingine haviaminiki kulinda ajira zetu na ni ccm tu ndiyo inaweza kutulinda, sasa nikawaza inamaana vyama pinzani vikiingia shule, hosp., mahakama, vituo vya polisi vitafutwa? Utagundua hawa jamaa hakika walishatufanya misukule.

Uhalisia ni kwamba sura za watumishi zimekunjamana sana moyoni ukizingatia wengi ni vijana wanaokatwa 15% na HESLB kwenye mishahara yao isiyokuwa na aina yoyote ya ongezeko.
Vilio ktika nchi hii ni vingi;
1. Wakulima wa mazao ya biashara waliowengi wamedhulumiwa bila huruma ktk awamu hii
2. Ajira imegoma kabisa utadhani tumekumbwa na gharika
3. Ukatili ktk awamu hii ni ibada kuanzia MKIRU hadi kanda ya ziwa hasa ziwa victoria

Cha ajabu zaidi ni kwamba vyama vikuu vya upinzani vimebanwa kiasi kwamba ikitokea kiongozi akasimama na kusalimia wapiga kura wake tayari ana kesi ya kujibu mahakamani, kumeundwa sheria nyingi za ajabu utadhani wanaozitunga hawana vichwa lakini kwa lengo la kuwabana wapinzani, pamoja na vibano hivi bado watawala hawana uhakika kama watapita ktk uchaguzi huu kiasi cha kuanza kutafuta huruma y watumishi walioawtesa kwa muda wote kwa lugha za kejeli n.k
Mkuu uchaguzi Wa mwaka huu ni mtam
sana ngoja nifungie kitambulisho change
Kwenye droo na ole familia isipigie cha
ma nitakacho kubali sera zake moto
Utawaka
 
Wakulima bado tuna vidonda visivyo pona kabisa
Ili ujue kuwa ccm ina hali ngumu sasa hivi huku halmashamashauri wameitwa watendaji na wataalamu ngazi ya kata na vijiji wamepigwa biti la kutoshadadia upinzani in any way na kupewa mbinu za kuhakikisha chama kinabaki madarakani.
Wakuu wa idara na vitengo pamoja na maafisa wengine wa makao makuu ya wilaya wameitwa kwenye kikao elekezi kuhusu uchaguzi na namna ya kuilinda ccm ibaki madarakani.

Nami nikiwamo ndani yake nilishangaa hiki chama kinachotangaza kupendwa kila siku mbona kina haha kiasi hiki?
Watumishi tumedanganywa kwamba ccm ikitoka madarakani na ajira zetu zitakuwa matatani kwani vyama vingine haviaminiki kulinda ajira zetu na ni ccm tu ndiyo inaweza kutulinda, sasa nikawaza inamaana vyama pinzani vikiingia shule, hosp., mahakama, vituo vya polisi vitafutwa? Utagundua hawa jamaa hakika walishatufanya misukule.

Uhalisia ni kwamba sura za watumishi zimekunjamana sana moyoni ukizingatia wengi ni vijana wanaokatwa 15% na HESLB kwenye mishahara yao isiyokuwa na aina yoyote ya ongezeko.
Vilio ktika nchi hii ni vingi;
1. Wakulima wa mazao ya biashara waliowengi wamedhulumiwa bila huruma ktk awamu hii
2. Ajira imegoma kabisa utadhani tumekumbwa na gharika
3. Ukatili ktk awamu hii ni ibada kuanzia MKIRU hadi kanda ya ziwa hasa ziwa victoria

Cha ajabu zaidi ni kwamba vyama vikuu vya upinzani vimebanwa kiasi kwamba ikitokea kiongozi akasimama na kusalimia wapiga kura wake tayari ana kesi ya kujibu mahakamani, kumeundwa sheria nyingi za ajabu utadhani wanaozitunga hawana vichwa lakini kwa lengo la kuwabana wapinzani, pamoja na vibano hivi bado watawala hawana uhakika kama watapita ktk uchaguzi huu kiasi cha kuanza kutafuta huruma y watumishi walioawtesa kwa muda wote kwa lugha za kejeli n.k
 
HIYO NI RAMLI CHONGANISHI

1. Wajumbe wa Tume ya uchaguzi - Wanateuliwa na mwenyekiti wa CCM

2. Matokeo ya Urais hayapingwi mahakamani

3. Vyombo vya usalama (Mkoa/Wilaya) - Wenyeviti wao ni makada wa CCM.
Hata Sudan [emoji1223] walikuwa wanatumia vyombo vyoote ulivyo vitaja lkn wananchi walipo amua walifanikisha
 
Kweli hawazidi 20% ila ongeza 20% ya wake zao na 20% ya jamaa zao jumla ni ngapi?
Zigii ellewa kuwa wanawake wa Tz 98% ni ccm. Kuna rafiki yangu aliwahi kukataa kumpa mama yake mzazi maahitaji na kumwelekeza shida zake zote apeleke kwenye ofisi yaa tawi ya ccm baada ya mama huyo kumpigia kura ya uraisi mgombea wa ccm wakati mwanaye aliimwagiza ampigie lowasa. Chezea kina mama weye!.
 
Naona Tanzania na Africa mashariki inavyokwenda kuandika historia mpya.

Chadema msitishike kabisa mnaenda kushindana mchana kweupe na ikitokea mnaletewa figisu ndio itakuwa mwisho wa CCM katika uso wa dunia.

CCM kupitia mwenyekiti wao wamejitengenezea maadui wengi mno na ndio maana wanatumia nguvu nyingi Sana kumpamba na propaganda za kinafiki.

Imagine bila kutafuna maneno bodi ya mikopo ya elimu ya juu ilichowafanyia watu hasa walioajiriwa serikalini wakati huohuo hawajaongezwa mishahara toka awamu ya tano ishike dola unadhani watu Hawa watakuwa upande gani?

CHADEMA anzeni na agenda hizi.:

1. Kufuta makato ya HELSB au kupunguza kea asilimia kubwa.

2. Kupandisha mishahara ya watumishi hawa Wana hasira iliyojificha sana hawaionyeshi.

3. Amani demokrasia na usalama

Chadema itaisimamisha Afrika.

Naomba CHADEMA katika Agenda zao waongeze hizi:
  1. Malipo ya Mafao ya Wastaafu.
  2. Ujenzi wa Ikulu ya Chato pass na kibali cha Bunge(nje ya Bajeti).
  3. Kuanzisha mradi wa Umeme wa Stieglers Gorge ilhali tayari awamu ya 4 tulishaanza nishati ya Gasi Asilia. Huku ni kukosa vision na vipaumbele.
  4. Kuboresha Vitu badala ya kujali watu. Magufuli kajenga mashule, Zahanati/hospitali lakini hajaajiri Waalimu, Madaktari wala Manesi(nurses).Je, Nani atafundisha na Nani atahudumia wagonjwa?
 
Back
Top Bottom