Yapo mengi sana, huyu bwana kaua biashara nyingi sana za watu sababu ya kukurupa na kujifanya kagundua wezi wakati yalikuwa ni mapungufu ya serikali ya ccm yenyewe ambayo alitakiwa kuyashughurikia kwa umakini, na kwa kushirikisha wafanyabiashara.
kwa mfano,kwa kupitia TRA wafanyabishara wengi sana wamefirisika na kufunga biashara, kwa sababu za tu kwa mfano hawakuwa na efd mashines, au hawajalipa kodi muda mrefu, lakini mwisho wa siku baada ya biashara nyingi kuwa zimefungwa na kukosesha wananchi ajira, akaja na kasheria ka msamaa wa faini za machelewesho ya kodi, ikiwapo na kuwapa fursa wafanyabisha kuanza kulipa malimbikizo ya kodi kwa muda unaowapa nafuu. by this time tayari aliishaua biashara nyingi sana, hawa hawahitaji CHADEMA awaambie hawa wanamsubiri wamunyooshe.