Naona CHADEMA wanamtengenezea Umaarufu wa Mchongo Godbless Lema, nini matarajio au ndiye Mwenyekiti ajaye?

Naona CHADEMA wanamtengenezea Umaarufu wa Mchongo Godbless Lema, nini matarajio au ndiye Mwenyekiti ajaye?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Naona kila kukicha mabango na vipeperushi vya Mapokezi ya vinazidi kuongezeka mitaani, kwani kuna nini?

Mbona kwa Tundu Antipas Lissu haikuwa Hivi? Au ndiye anayeandaliwa na chama kubeba mikoba?
 
Naona kila kukicha mabango na vipeperushi vya Mapokezi ya vinazidi kuongezeka mitaani, kwani kuna nini?

Mbona kwa Tundu Antipas Lissu haikuwa Hivi? Au ndiye anayeandaliwa na chama kubeba mikoba?
Pole san kwa maumiv makali but no way out jamaa ndo anarud baada ya mission kubuma!! Btw Lema haitaji atafutiwe umaarufu cz tayar ni maarufu san tu!! NB; Lema sio mkolomije wa kutafuta umaarufu!!
 
Naona kila kukicha mabango na vipeperushi vya Mapokezi ya vinazidi kuongezeka mitaani, kwani kuna nini?

Mbona kwa Tundu Antipas Lissu haikuwa Hivi? Au ndiye anayeandaliwa na chama kubeba mikoba?
Unaugulia ukiwa umejificha wapi Bwashee?
 
Pole san kwa maumiv makali but no way out jamaa ndo anarud baada ya mission kubuma!! Btw Lema haitaji atafutiwe umaarufu cz tayar ni maarufu san tu!! NB; Lema sio mkolomije wa kutafuta umaarufu!!
Ni maarufu kweli, maana kwenye magari hana utani hata liwe locked anaweza kufungua na kusepa nalo
 
Naona kila kukicha mabango na vipeperushi vya Mapokezi ya vinazidi kuongezeka mitaani, kwani kuna nini?

Mbona kwa Tundu Antipas Lissu haikuwa Hivi? Au ndiye anayeandaliwa na chama kubeba mikoba?
Umaarufu huja wenyewe Jo, wengine hawatengenezi umaarufu mchongo,kama ndugu zangu Nshomile🤔
 
Ni maarufu kweli, maana kwenye magari hana utani hata liwe locked anaweza kufungua na kusepa nalo
Cheap facts!! Weka evidence mbona utaeleweka mzee, bila ivo mnaendeleza zile siasa chafu kuchafuana!!
 
Naona kila kukicha mabango na vipeperushi vya Mapokezi ya vinazidi kuongezeka mitaani, kwani kuna nini?

Mbona kwa Tundu Antipas Lissu haikuwa Hivi? Au ndiye anayeandaliwa na chama kubeba mikoba?
Unalipwa shingapi ?
Mkisha kula k-vant na pilipili
SmartSelect_20230226-212652_Gallery.jpg
 
Naona kila kukicha mabango na vipeperushi vya Mapokezi ya vinazidi kuongezeka mitaani, kwani kuna nini?

Mbona kwa Tundu Antipas Lissu haikuwa Hivi? Au ndiye anayeandaliwa na chama kubeba mikoba?

Si mlisema ana madeni anadaiwa? Au?
 
Back
Top Bottom