Naona fahari kuitwa kijana wa Lumumba

Naona fahari kuitwa kijana wa Lumumba

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,830
Reaction score
4,729
Zipo sababu nyingi ambazo ningeorodhesha zote huenda vidole vingeuma kwa ku type ila kwa leo nataka niwatajie sababu chache tu, kwanini naona fahari kuitwa kijana wa Lumumba.
  1. Mgombea wangu anaendelea kutandika reli yakisasa SGR, hivi mmeona lile jengo la stesheni makao makuu Dar, lile lenye umbo la Tanzanite? Mmeona mahandaki? Mmeona usanifu na ubunifu wapekee ktk mradi huu? Haya yote yanafanya nijivunie kuitwa kijana wa Lumumba.
  2. Mgombea wangu kaboresha bandari ya Dar es Salaam, Mtwara na Tanga, tembelea bandari hizi ujionee mambo makubwa yanayofanyika utapiga saluti.
  3. Mgombea wangu kajenga Mfugale na Ubungo Interchange. Mmewahi kupita pale na magari yenu? Mlijisikiaje? Ni mambo aliyofanya mgombea wangu.
  4. Mgombea wangu kajenga vituo vya Afya, Zahanati, Hospitali za Wilaya, Mikoa, Rufaa na Kanda, Kaboresha upatikanaji wa huduma za Afya, kudadadeki zunguka nchi nzima utaniambia mwenyewe.
  5. Mgombea wangu kakata mirija ya ufisadi, rushwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa waliofanya hivyo, sasahivi ukienda ofisi yoyote ya Umma ukikaa nje unaweza fuatwa na mkurugenzi akiomba kukusikiliza. Saluti kwako mgombea wangu.
  6. Mgombea wangu kasambaza umeme na sasa vimesalia vijiji elfu 3 tu Tanzania nzima kuwaka umeme, utaniambia nini?
  7. Mgombea wangu kajenga miradi mikubwa ya maji nchini tena ya kihistoria.
  8. Mgombea wangu kahamishia serikali Dodoma na jiji la Dodoma kwasasa limenoga, tafuta nauli uje Dodoma kujionea maajabu.
  9. Mgombea wangu kajenga network kubwa sana ya barabara nchini tena kwa kasi ya ajabu.
  10. Mgombea wangu kamalizia jengo la terminal 3 ktk Airport ya Mwalimu Nyerere. Lissu akija atajionea japo namhurumia kwakuwa hata hiyo nafasi ya kugombea wanamtosa na kumpa Membe.
  11. Mgombea wangu katandika masoko yakisasa kwenye miji 16 ya kimkakati, vituo vya mabasi ya abiria, sehemu za kupumzikia nk.
  12. Mgombea wangu kalipia cash kununua Madege 11 na 8 tayari yanapishana huku na huko ktk anga la Tanzania na anga la kimataifa. Kumbuka katoa cash, hatudaiwi na mtu ndo maana kuna nyakati anatoa bure kusaidia Watanzania maana hakuna anaye tudai.
  13. Mgombea wangu anajenga bwawa la kuzalisha umeme Megawatt 2100 baada ya kukamilisha, bei ya umeme itashuka sana.
  14. Mgombea wangu kanunua rada 4 mpya na kutuhakikishia usalama wa anga letu.
  15. Mgombea wetu kaondoa kero kwa wajasiriamali wadogo, nimevaa kitambulisho changu hapa nauza mikate yangu saaafi stand ya mabasi ya mikoani hakuna anaye niuliza ushuru, nasomesha, nimejenga makazi yangu, nafurahia kuitwa kijana wa Lumumba.
  16. Mgombea wangu kakomesha ujangili, wanyama sasa wanazaliana kwa raha zao, hadi wengine imebidi wapelekwe Dodoma na kwenye hifadhi ya Burigi Chato.
  17. Mgombea wangu kapanua viwanja vya ndege na amesha tangaza tenda ya kujenga bonge la uwanja jijini Dodoma.
  18. Mgombea wangu katatua migogoro ya wakulima na wafugaji iliyopelekea mauaji huko Morogoro na Manyara.
  19. Mgombea wangu kaanza mradi wa majaribio kusambaza huduma ya Gas majumbani huko Mtwara ktk eneo la Railway
  20. Mgombea wangu karekebisha mikataba ya hovyo na wawekezaji ktk sekta za madini, mawasiliano nk
  21. Mgombea wangu ameidhibiti Corona kwa uwezo wa Mungu
  22. Mgombea wangu kanunua Meli mpya na kufanya ukarabati wa meli zilizokuwa zimechoka.
  23. Mgombea wangu kajenga uzio kuzunguka eneo lenye madini ya Tanzanite matokeo yake Laizer kavunja rekodi ya Dunia.
  24. Timu ya taifa imefika AFCON na Samatta anacheza ligi kuu ya Uingereza
  25. Treni sasa inafika Kilimanjaro na Arusha wataiona soon
  26. Elimu bure, maboresho ya shule za vipaji maalumu na vyuo vikuu
  27. Mikopo ya elimu ya juu
MWISHO: NIITE KIJANA WA LUMUMBA NAMI NITAKUITIKIA NAMI NITAKUONESHA MAMBO MAKUBWA, MAGUMU ALIYOYAFANYA MGOMBEA WANGU KWA UWEZO WA MUNGU.



DJ.jpeg

jingalao
 
Huna lolote wewe! Unaona fahari kuitwa kijana wa lumumba ni kwa sababu tu unalipwa elfu 7 kwa siku ili uendeshee maisha yako kupitia haya mapambio mnayotuletea humu jukwaani kila siku.

Hakuna umaskini mbaya kama ule wa akili!
 
Huna lolote wewe! Unaona fahari kuitwa kijana wa lumumba ni kwa sababu tu unalipwa elfu 7 kwa siku ili uendeshee maisha yako kupitia haya mapambio mnayotuletea humu jukwaani kila siku.

Hakuna umaskini mbaya kama ule wa akili!
Ushahidi tafadhali
 
Ngoja wa ufipa waje uoge maneno yote mazuri na mabaya
 
Wa kuonesha namna unavyo yaendesha maisha yako kupitia hiyo buku 7 kwa siku, au!!!
Mimi nauza mikate stand ya mabasi ya mikoani, awamu hii imenisaidia kwa kunipa kitambulisho cha mjasiriamali na naheshimika sana kazini hapa, pia nimenunua kiwanja, nimejenga, nasomesha na kuendesha maisha mengine huku nikifurahia maendeleo ya nchi yangu.

Sasa sijui wewe msomi umeyatoa wapi haya mawazo mgando eti nalipwa buku 7 ndomaana nikaomba ushahidi maana wasomi wa CCM wanaamini No research no Right to speak.
 
Zipo sababu nyingi ambazo ningeorodhesha zote huenda vidole vingeuma kwa ku type ila kwa leo nataka niwatajie sababu chache tu, kwanini naona fahari kuitwa kijana wa Lumumba.
  1. Mgombea wangu anaendelea kutandika reli yakisasa SGR, hivi mmeona lile jengo la stesheni makao makuu Dar, lile lenye umbo la Tanzanite? Mmeona mahandaki? Mmeona usanifu na ubunifu wapekee ktk mradi huu? Haya yote yanafanya nijivunie kuitwa kijana wa Lumumba.
  2. Mgombea wangu kaboresha bandari ya Dar es Salaam, Mtwara na Tanga, tembelea bandari hizi ujionee mambo makubwa yanayofanyika utapiga saluti.
  3. Mgombea wangu kajenga Mfugale na Ubungo Interchange. Mmewahi kupita pale na magari yenu? Mlijisikiaje? Ni mambo aliyofanya mgombea wangu.
  4. Mgombea wangu kajenga vituo vya Afya, Zahanati, Hospitali za Wilaya, Mikoa, Rufaa na Kanda, Kaboresha upatikanaji wa huduma za Afya, kudadadeki zunguka nchi nzima utaniambia mwenyewe.
  5. Mgombea wangu kakata mirija ya ufisadi, rushwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa waliofanya hivyo, sasahivi ukienda ofisi yoyote ya Umma ukikaa nje unaweza fuatwa na mkurugenzi akiomba kukusikiliza. Saluti kwako mgombea wangu.
  6. Mgombea wangu kasambaza umeme na sasa vimesalia vijiji elfu 3 tu Tanzania nzima kuwaka umeme, utaniambia nini?
  7. Mgombea wangu kajenga miradi mikubwa ya maji nchini tena ya kihistoria.
  8. Mgombea wangu kahamishia serikali Dodoma na jiji la Dodoma kwasasa limenoga, tafuta nauli uje Dodoma kujionea maajabu.
  9. Mgombea wangu kajenga network kubwa sana ya barabara nchini tena kwa kasi ya ajabu.
  10. Mgombea wangu kamalizia jengo la terminal 3 ktk Airport ya Mwalimu Nyerere. Lissu akija atajionea japo namhurumia kwakuwa hata hiyo nafasi ya kugombea wanamtosa na kumpa Membe.
  11. Mgombea wangu katandika masoko yakisasa kwenye miji 16 ya kimkakati, vituo vya mabasi ya abiria, sehemu za kupumzikia nk.
  12. Mgombea wangu kalipia cash kununua Madege 11 na 8 tayari yanapishana huku na huko ktk anga la Tanzania na anga la kimataifa. Kumbuka katoa cash, hatudaiwi na mtu ndo maana kuna nyakati anatoa bure kusaidia Watanzania maana hakuna anaye tudai.
  13. Mgombea wangu anajenga bwawa la kuzalisha umeme Megawatt 2100 baada ya kukamilisha, bei ya umeme itashuka sana.
  14. Mgombea wangu kanunua rada 4 mpya na kutuhakikishia usalama wa anga letu.
  15. Mgombea wetu kaondoa kero kwa wajasiriamali wadogo, nimevaa kitambulisho changu hapa nauza mikate yangu saaafi stand ya mabasi ya mikoani hakuna anaye niuliza ushuru, nasomesha, nimejenga makazi yangu, nafurahia kuitwa kijana wa Lumumba.
  16. Mgombea wangu kakomesha ujangili, wanyama sasa wanazaliana kwa raha zao, hadi wengine imebidi wapelekwe Dodoma na kwenye hifadhi ya Burigi Chato.
  17. Mgombea wangu kapanua viwanja vya ndege na amesha tangaza tenda ya kujenga bonge la uwanja jijini Dodoma.
  18. Mgombea wangu katatua migogoro ya wakulima na wafugaji iliyopelekea mauaji huko Morogoro na Manyara.
  19. Mgombea wangu kaanza mradi wa majaribio kusambaza huduma ya Gas majumbani huko Mtwara ktk eneo la Railway
  20. Mgombea wangu karekebisha mikataba ya hovyo na wawekezaji ktk sekta za madini, mawasiliano nk
  21. Mgombea wangu ameidhibiti Corona kwa uwezo wa Mungu
  22. Mgombea wangu kanunua Meli mpya na kufanya ukarabati wa meli zilizokuwa zimechoka.
  23. Mgombea wangu kajenga uzio kuzunguka eneo lenye madini ya Tanzanite matokeo yake Laizer kavunja rekodi ya Dunia.
  24. Timu ya taifa imefika AFCON na Samatta anacheza ligi kuu ya Uingereza
  25. Treni sasa inafika Kilimanjaro na Arusha wataiona soon
  26. Elimu bure, maboresho ya shule za vipaji maalumu na vyuo vikuu
  27. Mikopo ya elimu ya juu
MWISHO: NIITE KIJANA WA LUMUMBA NAMI NITAKUITIKIA NAMI NITAKUONESHA MAMBO MAKUBWA, MAGUMU ALIYOYAFANYA MGOMBEA WANGU KWA UWEZO WA MUNGU.



jingalao

Mgombea wako kuwa dikteta
Mgombea wako kuwa mkabila
Mgombea wako kuuwa demokrasia
Mgombea wako kugawa fedha za umma kama zake
Mgombea wako kuuwa na kuumiza wapinzani
Mgombea wako kuzuia uhuru wa vyombo vya habari
Mgombea wako kuficha takwimu za corona
Mgombea wako kujenga SGR ya njia moja badala ya njia mbili
Mgombea wako kununua mandege ambayo hasara yake hatuambiwi
Mgombea wako ......
 
miradi hiyo sio HISANI ni kodi zetu wananchi (ccm, chadema na wasio na vyama)!!!.
baadhi ya vipaumbele havikuwa sahihi....pia tunataka uhuru(demokrasia) mambo ya kulazimishana kupongeza ni uzwazwa!.
 
Zipo sababu nyingi ambazo ningeorodhesha zote huenda vidole vingeuma kwa ku type ila kwa leo nataka niwatajie sababu chache tu, kwanini naona fahari kuitwa kijana wa Lumumba.
  1. Mgombea wangu anaendelea kutandika reli yakisasa SGR, hivi mmeona lile jengo la stesheni makao makuu Dar, lile lenye umbo la Tanzanite? Mmeona mahandaki? Mmeona usanifu na ubunifu wapekee ktk mradi huu? Haya yote yanafanya nijivunie kuitwa kijana wa Lumumba.
  2. Mgombea wangu kaboresha bandari ya Dar es Salaam, Mtwara na Tanga, tembelea bandari hizi ujionee mambo makubwa yanayofanyika utapiga saluti.
  3. Mgombea wangu kajenga Mfugale na Ubungo Interchange. Mmewahi kupita pale na magari yenu? Mlijisikiaje? Ni mambo aliyofanya mgombea wangu.
  4. Mgombea wangu kajenga vituo vya Afya, Zahanati, Hospitali za Wilaya, Mikoa, Rufaa na Kanda, Kaboresha upatikanaji wa huduma za Afya, kudadadeki zunguka nchi nzima utaniambia mwenyewe.
  5. Mgombea wangu kakata mirija ya ufisadi, rushwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa waliofanya hivyo, sasahivi ukienda ofisi yoyote ya Umma ukikaa nje unaweza fuatwa na mkurugenzi akiomba kukusikiliza. Saluti kwako mgombea wangu.
  6. Mgombea wangu kasambaza umeme na sasa vimesalia vijiji elfu 3 tu Tanzania nzima kuwaka umeme, utaniambia nini?
  7. Mgombea wangu kajenga miradi mikubwa ya maji nchini tena ya kihistoria.
  8. Mgombea wangu kahamishia serikali Dodoma na jiji la Dodoma kwasasa limenoga, tafuta nauli uje Dodoma kujionea maajabu.
  9. Mgombea wangu kajenga network kubwa sana ya barabara nchini tena kwa kasi ya ajabu.
  10. Mgombea wangu kamalizia jengo la terminal 3 ktk Airport ya Mwalimu Nyerere. Lissu akija atajionea japo namhurumia kwakuwa hata hiyo nafasi ya kugombea wanamtosa na kumpa Membe.
  11. Mgombea wangu katandika masoko yakisasa kwenye miji 16 ya kimkakati, vituo vya mabasi ya abiria, sehemu za kupumzikia nk.
  12. Mgombea wangu kalipia cash kununua Madege 11 na 8 tayari yanapishana huku na huko ktk anga la Tanzania na anga la kimataifa. Kumbuka katoa cash, hatudaiwi na mtu ndo maana kuna nyakati anatoa bure kusaidia Watanzania maana hakuna anaye tudai.
  13. Mgombea wangu anajenga bwawa la kuzalisha umeme Megawatt 2100 baada ya kukamilisha, bei ya umeme itashuka sana.
  14. Mgombea wangu kanunua rada 4 mpya na kutuhakikishia usalama wa anga letu.
  15. Mgombea wetu kaondoa kero kwa wajasiriamali wadogo, nimevaa kitambulisho changu hapa nauza mikate yangu saaafi stand ya mabasi ya mikoani hakuna anaye niuliza ushuru, nasomesha, nimejenga makazi yangu, nafurahia kuitwa kijana wa Lumumba.
  16. Mgombea wangu kakomesha ujangili, wanyama sasa wanazaliana kwa raha zao, hadi wengine imebidi wapelekwe Dodoma na kwenye hifadhi ya Burigi Chato.
  17. Mgombea wangu kapanua viwanja vya ndege na amesha tangaza tenda ya kujenga bonge la uwanja jijini Dodoma.
  18. Mgombea wangu katatua migogoro ya wakulima na wafugaji iliyopelekea mauaji huko Morogoro na Manyara.
  19. Mgombea wangu kaanza mradi wa majaribio kusambaza huduma ya Gas majumbani huko Mtwara ktk eneo la Railway
  20. Mgombea wangu karekebisha mikataba ya hovyo na wawekezaji ktk sekta za madini, mawasiliano nk
  21. Mgombea wangu ameidhibiti Corona kwa uwezo wa Mungu
  22. Mgombea wangu kanunua Meli mpya na kufanya ukarabati wa meli zilizokuwa zimechoka.
  23. Mgombea wangu kajenga uzio kuzunguka eneo lenye madini ya Tanzanite matokeo yake Laizer kavunja rekodi ya Dunia.
  24. Timu ya taifa imefika AFCON na Samatta anacheza ligi kuu ya Uingereza
  25. Treni sasa inafika Kilimanjaro na Arusha wataiona soon
  26. Elimu bure, maboresho ya shule za vipaji maalumu na vyuo vikuu
  27. Mikopo ya elimu ya juu
MWISHO: NIITE KIJANA WA LUMUMBA NAMI NITAKUITIKIA NAMI NITAKUONESHA MAMBO MAKUBWA, MAGUMU ALIYOYAFANYA MGOMBEA WANGU KWA UWEZO WA MUNGU.



jingalao
KIZURI CHAKI JIUZA
 
Zipo sababu nyingi ambazo ningeorodhesha zote huenda vidole vingeuma kwa ku type ila kwa leo nataka niwatajie sababu chache tu, kwanini naona fahari kuitwa kijana wa Lumumba.
  1. Mgombea wangu anaendelea kutandika reli yakisasa SGR, hivi mmeona lile jengo la stesheni makao makuu Dar, lile lenye umbo la Tanzanite? Mmeona mahandaki? Mmeona usanifu na ubunifu wapekee ktk mradi huu? Haya yote yanafanya nijivunie kuitwa kijana wa Lumumba.
  2. Mgombea wangu kaboresha bandari ya Dar es Salaam, Mtwara na Tanga, tembelea bandari hizi ujionee mambo makubwa yanayofanyika utapiga saluti.
  3. Mgombea wangu kajenga Mfugale na Ubungo Interchange. Mmewahi kupita pale na magari yenu? Mlijisikiaje? Ni mambo aliyofanya mgombea wangu.
  4. Mgombea wangu kajenga vituo vya Afya, Zahanati, Hospitali za Wilaya, Mikoa, Rufaa na Kanda, Kaboresha upatikanaji wa huduma za Afya, kudadadeki zunguka nchi nzima utaniambia mwenyewe.
  5. Mgombea wangu kakata mirija ya ufisadi, rushwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa waliofanya hivyo, sasahivi ukienda ofisi yoyote ya Umma ukikaa nje unaweza fuatwa na mkurugenzi akiomba kukusikiliza. Saluti kwako mgombea wangu.
  6. Mgombea wangu kasambaza umeme na sasa vimesalia vijiji elfu 3 tu Tanzania nzima kuwaka umeme, utaniambia nini?
  7. Mgombea wangu kajenga miradi mikubwa ya maji nchini tena ya kihistoria.
  8. Mgombea wangu kahamishia serikali Dodoma na jiji la Dodoma kwasasa limenoga, tafuta nauli uje Dodoma kujionea maajabu.
  9. Mgombea wangu kajenga network kubwa sana ya barabara nchini tena kwa kasi ya ajabu.
  10. Mgombea wangu kamalizia jengo la terminal 3 ktk Airport ya Mwalimu Nyerere. Lissu akija atajionea japo namhurumia kwakuwa hata hiyo nafasi ya kugombea wanamtosa na kumpa Membe.
  11. Mgombea wangu katandika masoko yakisasa kwenye miji 16 ya kimkakati, vituo vya mabasi ya abiria, sehemu za kupumzikia nk.
  12. Mgombea wangu kalipia cash kununua Madege 11 na 8 tayari yanapishana huku na huko ktk anga la Tanzania na anga la kimataifa. Kumbuka katoa cash, hatudaiwi na mtu ndo maana kuna nyakati anatoa bure kusaidia Watanzania maana hakuna anaye tudai.
  13. Mgombea wangu anajenga bwawa la kuzalisha umeme Megawatt 2100 baada ya kukamilisha, bei ya umeme itashuka sana.
  14. Mgombea wangu kanunua rada 4 mpya na kutuhakikishia usalama wa anga letu.
  15. Mgombea wetu kaondoa kero kwa wajasiriamali wadogo, nimevaa kitambulisho changu hapa nauza mikate yangu saaafi stand ya mabasi ya mikoani hakuna anaye niuliza ushuru, nasomesha, nimejenga makazi yangu, nafurahia kuitwa kijana wa Lumumba.
  16. Mgombea wangu kakomesha ujangili, wanyama sasa wanazaliana kwa raha zao, hadi wengine imebidi wapelekwe Dodoma na kwenye hifadhi ya Burigi Chato.
  17. Mgombea wangu kapanua viwanja vya ndege na amesha tangaza tenda ya kujenga bonge la uwanja jijini Dodoma.
  18. Mgombea wangu katatua migogoro ya wakulima na wafugaji iliyopelekea mauaji huko Morogoro na Manyara.
  19. Mgombea wangu kaanza mradi wa majaribio kusambaza huduma ya Gas majumbani huko Mtwara ktk eneo la Railway
  20. Mgombea wangu karekebisha mikataba ya hovyo na wawekezaji ktk sekta za madini, mawasiliano nk
  21. Mgombea wangu ameidhibiti Corona kwa uwezo wa Mungu
  22. Mgombea wangu kanunua Meli mpya na kufanya ukarabati wa meli zilizokuwa zimechoka.
  23. Mgombea wangu kajenga uzio kuzunguka eneo lenye madini ya Tanzanite matokeo yake Laizer kavunja rekodi ya Dunia.
  24. Timu ya taifa imefika AFCON na Samatta anacheza ligi kuu ya Uingereza
  25. Treni sasa inafika Kilimanjaro na Arusha wataiona soon
  26. Elimu bure, maboresho ya shule za vipaji maalumu na vyuo vikuu
  27. Mikopo ya elimu ya juu
MWISHO: NIITE KIJANA WA LUMUMBA NAMI NITAKUITIKIA NAMI NITAKUONESHA MAMBO MAKUBWA, MAGUMU ALIYOYAFANYA MGOMBEA WANGU KWA UWEZO WA MUNGU.



jingalao
Hapo nyuma mlikua mmeoza, mshukuruni sana magufuli kawasafisha sana na ndiyo maana hajawahi sema serikali ya ccm ni serikali ya magufuli,

Bahati ni mlimpata mtu smart na ni baada ya ushindani mkubwa toka upinzani, sasa acha kubwatukabwatuka wewe umekifanyia nini chama? Au kuongeza tu idadi ya wanachama kwenye chama, usione vyaelea
 
Mgombea wako kuwa dikteta
Mgombea wako kuwa mkabila
Mgombea wako kuuwa demokrasia
Mgombea wako kugawa fedha za umma kama zake
Mgombea wako kuuwa na kuumiza wapinzani
Mgombea wako kuzuia uhuru wa vyombo vya habari
Mgombea wako kuficha takwimu za corona
Mgombea wako kujenga SGR ya njia moja badala ya njia mbili
Mgombea wako kununua mandege ambayo hasara yake hatuambiwi
Mgombea wako ......
Toa ushahidi wa udikteta, ukabila kivipi? Au majaliwa ni msukuma? Mama samia je? mawaziri wote wasukumba sindio? na wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi pia ni wasukuma? ukabila umeona wapi?
Demokrasia gani unayoitaka? kusingekuwa na demokrasia usingeweza hata kuandika haya JF, Acha wivu wakike fedha za UMMA akizitumia kuchangia miradi ya wananchi kuna tatizo gani? Ulimwona akiua na kuumiza wapinzani? Umesahau kisa cha Mbowe na Chacha? Vyombo gani vya habari vimezuiwa? Takwimu za corona zinakusaidia nini? Au baba yako na mama yako walikufa na corona? Mbowe kajenga hata mfereji wa maji taka? Nani kakwambia ndege zinaleta hasara, toa ushahidi wa kimahesabu hapa.
KONYAGI SAHIVI MNAGAWIWA NGAPI PALE UFIPA?
 
Mimi nauza mikate stand ya mabasi ya mikoani, awamu hii imenisaidia kwa kunipa kitambulisho cha mjasiriamali na naheshimika sana kazini hapa, pia nimenunua kiwanja, nimejenga, nasomesha na kuendesha maisha mengine huku nikifurahia maendeleo ya nchi yangu. Sasa sijui wewe msomi umeyatoa wapi haya mawazo mgando eti nalipwa buku 7 ndomaana nikaomba ushahidi maana wasomi wa CCM wanaamini No research no Right to speak.

Kumbe unajivunia kwa sababu una hicho kitambulisho cha ujasiriamali kinacho kusaidia kukwepa kulipa kodi inayostahili kwa mwaka!!

Basi uko tofauti kabisa na mimi ambaye nakatwa kodi ya karibia laki mbili na nusu kwa mwezi, halafu hiyo kodi yangu naiona tu ikitumika kwenye matumizi ya hovyo hovyo yakiwemo ya kununulia ndege ambazo kwa sasa hazina kazi inayoeleweka.
 
Hapo nyuma mlikua mmeoza, mshukuruni sana magufuli kawasafisha sana na ndiyo maana hajawahi sema serikali ya ccm ni serikali ya magufuli,

Bahati ni mlimpata mtu smart na ni baada ya ushindani mkubwa toka upinzani, sasa acha kubwatukabwatuka wewe umekifanyia nini chama? Au kuongeza tu idadi ya wanachama kwenye chama, usione vyaelea
Nakichangia, nakitetea, nakukaribisha sana CCM, tembelea shina la wakereketwa lililo karibu nawe kwa maelekezo.
 
Kumbe unajivunia kwa sababu una hicho kitambulisho cha ujasiriamali kinacho kusaidia kukwepa kulipa kodi inayostahili kwa mwaka!!

Basi uko tofauti kabisa na mimi ambaye nakatwa kodi ya karibia laki mbili na nusu kwa mwezi, halafu hiyo kodi yangu naiona tu ikitumika kwenye matumizi ya hovyo hovyo tu.
Kwahiyo kusambaza umeme ni matumizi ya hovyo, huduma za afya ni matumizi ya hovyo, barabara ni matumizi ya hovyo... pole sana aisee TAFADHALI NENDA MIREMBE KABLA HAKIJAANZA KUKUPELEKESHA
 
Toa ushahidi wa udikteta, ukabila kivipi? Au majaliwa ni msukuma? Mama samia je? mawaziri wote wasukumba sindio? na wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi pia ni wasukuma? ukabila umeona wapi?
Demokrasia gani unayoitaka? kusingekuwa na demokrasia usingeweza hata kuandika haya JF, Acha wivu wakike fedha za UMMA akizitumia kuchangia miradi ya wananchi kuna tatizo gani? Ulimwona akiua na kuumiza wapinzani? Umesahau kisa cha Mbowe na Chacha? Vyombo gani vya habari vimezuiwa? Takwimu za corona zinakusaidia nini? Au baba yako na mama yako walikufa na corona? Mbowe kajenga hata mfereji wa maji taka? Nani kakwambia ndege zinaleta hasara, toa ushahidi wa kimahesabu hapa.
KONYAGI SAHIVI MNAGAWIWA NGAPI PALE UFIPA?
Sio lazima baba na mama yako wafe kwa corona ndio uone corona ipo ama ni mbaya. Sio lazima waziri mkuu awe msukuma ndio tuseme kuna ukabila, zipo nafasi nyingi tu wameshindiliwa huko tunaona sana. Sio lazima kumwona yeye akichukua bunduki na kuwapiga wapinzani, tunajua mechanism anayotumia ya vijana wa kisukuma waliomwagwa nchi nzima. Huwezi kutegemea Mbowe ajenge barabara ndio afae kuwa rais, kwa fedha na mamlak yapi. Umewahi kusikia taarifa ya mapato na matumizi ya ndege zetu? Takwimu za corona zinanisaidia vipi? Hili swali linaonesha kiwango cha ujinga wako.
 
Back
Top Bottom