Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkurugenzi anapaswa kuwajibika, hata hivyo hili haliondoi ukweli wa yaliyofanyika niliyo orodhesha hapo juu sawa shemeji Joyce Mukya?
Wakati huo walikuwa vijana.Mbona unaniorodheshea wazee?
Hili nalo unataka kumlaumu rais? Mbunge wa hili jimbo ni nani, kwanini hamsaidii rais
Vijana wa ufipa hawajitambuiHili nalo unataka kumlaumu rais? Mbunge wa hili jimbo ni nani, kwanini hamsaidii rais
Kibajaji na msukusu wanafahamu vema juu ya hili maana "ngeu" zao na mining'inio ni ushahidi tosha...Toa ushahidi wa udikteta, ukabila kivipi? Au majaliwa ni msukuma? Mama samia je? mawaziri wote wasukumba sindio? na wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi pia ni wasukuma? ukabila umeona wapi?
Demokrasia gani unayoitaka? kusingekuwa na demokrasia usingeweza hata kuandika haya JF, Acha wivu wakike fedha za UMMA akizitumia kuchangia miradi ya wananchi kuna tatizo gani? Ulimwona akiua na kuumiza wapinzani? Umesahau kisa cha Mbowe na Chacha? Vyombo gani vya habari vimezuiwa? Takwimu za corona zinakusaidia nini? Au baba yako na mama yako walikufa na corona? Mbowe kajenga hata mfereji wa maji taka? Nani kakwambia ndege zinaleta hasara, toa ushahidi wa kimahesabu hapa.
KONYAGI SAHIVI MNAGAWIWA NGAPI PALE UFIPA?
Hoja za kipuuzi Sana kwa watu wenye akili zao.Mgombea wako kuwa dikteta
Mgombea wako kuwa mkabila
Mgombea wako kuuwa demokrasia
Mgombea wako kugawa fedha za umma kama zake
Mgombea wako kuuwa na kuumiza wapinzani
Mgombea wako kuzuia uhuru wa vyombo vya habari
Mgombea wako kuficha takwimu za corona
Mgombea wako kujenga SGR ya njia moja badala ya njia mbili
Mgombea wako kununua mandege ambayo hasara yake hatuambiwi
Mgombea wako ......
Usiniwekee neno ambalo sijasema!.. Nazungumzia Stahiki za watumishi,,Mshahara ni moja Tu ya hizo Stahiki,,kama mkataba WA kazi unavyosema!..labda ungeuliza Stahiki zipi?. na sio kujikita kwenye mshahara AMBAYO haijapanda Kwa miaka 5Kuna mtumishi wa UMMA hajalipwa mshahara wake?
Mkuu kwani kuna mtu anakulazimisha kuendelea na kazi? Si uache tu kama unaona hailipi tafuta inayo kufaa.Usiniwekee neno ambalo sijasema!.. Nazungumzia Stahiki za watumishi,,Mshahara ni moja Tu ya hizo Stahiki,,kama mkataba WA kazi unavyosema!..labda ungeuliza Stahiki zipi?. na sio kujikita kwenye mshahara AMBAYO haijapanda Kwa miaka 5