DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Unakwama wapi dada yangu ?Sawa tanasha dona naona uno la chibu limekukolea sio mbaya endelea kumtetea jamaa asipotee aendelee kukupa mkuyenge
sawa mamy babySawaa mama dangote
Jamaa wanazidi kukichafua looh,i wish ningekuwa hapo dsm nisingekosa hii sikukuu ya tar 9Tulieni mlambe dawaaaView attachment 1253521
Huyu manzi na inoss b siwezi lala.Tulieni mlambe dawaaaView attachment 1253521
Hatari sanaaaaaa ntauza simu nikamuone tiwa savage nampndaga uyo dadaHuyu manzi na inoss b siwezi lala.
Mtoto wa kiume unavaa hereni inayoning'inia kweli!!!!
Mtoto Wa kiume ni kua na mashine inayo function vyema baaas! Hayo mengine huwa ni mbwembwe za binadamu nyie.Mtoto wa kiume unavaa hereni inayoning'inia kweli!!!!
Wewe ndio hujui kitu bora ungekaa kimya tu mkuu,kwaio ulitaka aje mmoja sio?unaelewa lengo la festival Kama hii?Kama kuna kauoga fulani hivi hapakuwa na sababu ya Wanaijeria wote hao. Angetunza wengine kwa muda mwingine.
Uoga kivp? Ebu funguka.Kama kuna kauoga fulani hivi hapakuwa na sababu ya Wanaijeria wote hao. Angetunza wengine kwa muda mwingine.
Akikujibu nitagWewe ndio hujui kitu bora ungekaa kimya tu mkuu,kwaio ulitaka aje mmoja sio?unaelewa lengo la festival Kama hii?
Mashabiki ni wengi kila mmoja anataka akamuone wizkid tu,mwingine innosb na mwingine tiwasavage.
Wengine anataka kuwaona wcb wasafi nk.
Unalifahamu tamasha la one Africa fest linalofanyikaga kila mwaka nchi mbalimbali duniani Mfano London,dubai,usa nk?
Huwa huoni linakusanya all top African musicians from Nigeria wanaweza fika hata 10 na tz mara nyingi ni jina v money na wcb wasafi,
So unataka kuniambia ni uwoga wa waandaaji?
Wanamuogopa nani hasa na kwa kipi?
Akikujibu nitagiiiWewe ndio hujui kitu bora ungekaa kimya tu mkuu,kwaio ulitaka aje mmoja sio?unaelewa lengo la festival Kama hii?
Mashabiki ni wengi kila mmoja anataka akamuone wizkid tu,mwingine innosb na mwingine tiwasavage.
Wengine anataka kuwaona wcb wasafi nk.
Unalifahamu tamasha la one Africa fest linalofanyikaga kila mwaka nchi mbalimbali duniani Mfano London,dubai,usa nk?
Huwa huoni linakusanya all top African musicians from Nigeria wanaweza fika hata 10 na tz mara nyingi ni jina v money na wcb wasafi,
So unataka kuniambia ni uwoga wa waandaaji?
Wanamuogopa nani hasa na kwa kipi?
Mbona unaweka mambo nusunusu Mzee funguka moja kwa mojaBaada ya kushindwa kipindi cha nyuma sasa wameanza tena safari hii ila nyani mkuu ametulia tuliii anawaacha wapige kelele wabebane lakini atakuja kuwanyamazisha kidomo domo hao View attachment 1250366
Hata mashoga wana mashine zinazo function vizuri km wewe so usitetee ujingaMtoto Wa kiume ni kua na mashine inayo function vyema baaas! Hayo mengine huwa ni mbwembwe za binadamu nyie.
Mambo yanajieleza mkuu mbna iko waziiMbona unaweka mambo nusunusu Mzee funguka moja kwa moja
Nasikiaga eti babu Leta ndo anamuharibu!Hicho kinacho ning'inia sikio lakushoto ni nini??
Ameharibika sana, huko nyuma hakuwa hivyo