Naona jinsi ambavyo nguvu kubwa inatumika ili kumshusha tena Diamond

Naona jinsi ambavyo nguvu kubwa inatumika ili kumshusha tena Diamond

Tulieni mlambe dawaaa
Wasafi_TV_on_Instagram__%25E2%2580%259CUkizungumzia_wasanii_bora_Africa_huwezi_acha_kumtaja_S...jpeg
 
Kama kuna kauoga fulani hivi hapakuwa na sababu ya Wanaijeria wote hao. Angetunza wengine kwa muda mwingine.
 
Kama kuna kauoga fulani hivi hapakuwa na sababu ya Wanaijeria wote hao. Angetunza wengine kwa muda mwingine.
Wewe ndio hujui kitu bora ungekaa kimya tu mkuu,kwaio ulitaka aje mmoja sio?unaelewa lengo la festival Kama hii?
Mashabiki ni wengi kila mmoja anataka akamuone wizkid tu,mwingine innosb na mwingine tiwasavage.
Wengine anataka kuwaona wcb wasafi nk.
Unalifahamu tamasha la one Africa fest linalofanyikaga kila mwaka nchi mbalimbali duniani Mfano London,dubai,usa nk?
Huwa huoni linakusanya all top African musicians from Nigeria wanaweza fika hata 10 na tz mara nyingi ni jina v money na wcb wasafi,
So unataka kuniambia ni uwoga wa waandaaji?
Wanamuogopa nani hasa na kwa kipi?
 
Wewe ndio hujui kitu bora ungekaa kimya tu mkuu,kwaio ulitaka aje mmoja sio?unaelewa lengo la festival Kama hii?
Mashabiki ni wengi kila mmoja anataka akamuone wizkid tu,mwingine innosb na mwingine tiwasavage.
Wengine anataka kuwaona wcb wasafi nk.
Unalifahamu tamasha la one Africa fest linalofanyikaga kila mwaka nchi mbalimbali duniani Mfano London,dubai,usa nk?
Huwa huoni linakusanya all top African musicians from Nigeria wanaweza fika hata 10 na tz mara nyingi ni jina v money na wcb wasafi,
So unataka kuniambia ni uwoga wa waandaaji?
Wanamuogopa nani hasa na kwa kipi?
Akikujibu nitag
 
Wewe ndio hujui kitu bora ungekaa kimya tu mkuu,kwaio ulitaka aje mmoja sio?unaelewa lengo la festival Kama hii?
Mashabiki ni wengi kila mmoja anataka akamuone wizkid tu,mwingine innosb na mwingine tiwasavage.
Wengine anataka kuwaona wcb wasafi nk.
Unalifahamu tamasha la one Africa fest linalofanyikaga kila mwaka nchi mbalimbali duniani Mfano London,dubai,usa nk?
Huwa huoni linakusanya all top African musicians from Nigeria wanaweza fika hata 10 na tz mara nyingi ni jina v money na wcb wasafi,
So unataka kuniambia ni uwoga wa waandaaji?
Wanamuogopa nani hasa na kwa kipi?
Akikujibu nitagiii
 
Kaka Mondy nakuomna uwalete na ndg zetu wakenya tafadhaliiii
 
Mtoto Wa kiume ni kua na mashine inayo function vyema baaas! Hayo mengine huwa ni mbwembwe za binadamu nyie.
Hata mashoga wana mashine zinazo function vizuri km wewe so usitetee ujinga
 
Back
Top Bottom