Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamezidisha utapeli na kujiona mali sanaWakuu naangalia Bss naona inaniboa kabisa pia nimeangalia hata wanao view kwene social media wana zidiwa hata na wachekeshaji wadogo wakati ni tukio kubwa sana!
nadhani ni mwanzo tu halafu ni east Africa nzima, inaweza kua haina mvuto Tz, lakini ikawa na mvuto mno Kenya, uganda au DRC 🐒Wakuu naangalia Bss naona inaniboa kabisa pia nimeangalia hata wanao view kwene social media wana zidiwa hata na wachekeshaji wadogo wakati ni tukio kubwa sana!
bado mnafuatiliaga huo ujinga? mtakuwa lini? Ila Bongo inaweza kuwa ni moja ya SOko kubwa sana ya Television make wabongo hata basi lisilo kuwa na TV mtu hataku kupanda.Wakuu naangalia Bss naona inaniboa kabisa pia nimeangalia hata wanao view kwene social media wana zidiwa hata na wachekeshaji wadogo wakati ni tukio kubwa sana!
Umenipa kitu kikubwa sana niko mbioni kuleta biashara ya maelectronicsbado mnafuatiliaga huo ujinga? mtakuwa lini? Ila Bongo inaweza kuwa ni moja ya SOko kubwa sana ya Television make wabongo hata basi lisilo kuwa na TV mtu hataku kupanda.
NakaziaUmekuwa mtu mzima sahizi na kipindi kile ulikuwa na akili za kitoto ndio maana unaona inaboa, ni sawa sahizi uanze shabikia mieleka
Nadhani benchi la ufundi linatakiwa libadilike, ujinga ni kufanya jambo lile lile kwa namna ile ile halafu ukitegemea matokeo chanyaWakuu naangalia Bss naona inaniboa kabisa pia nimeangalia hata wanao view kwene social media wana zidiwa hata na wachekeshaji wadogo wakati ni tukio kubwa sana!
Hata mieleke wale tulio kuwa tunawafatilia sana wamestafu,wameacha nk.Umekuwa mtu mzima sahizi na kipindi kile ulikuwa na akili za kitoto ndio maana unaona inaboa, ni sawa sahizi uanze shabikia mieleka
kwenye star times kuna chaneli inarusha hilo shindanoIko channel gani na ni muda gani mkuu?
Shida ni chaneli walizoko, tanzania kama jambo lako halipatikani kwenye king'amuzi cha azam basi hautoboi.
Niliambia TCRA wataleta king'amuzi mpango bado upo ama kwishineyi bayiView attachment 3172831Sema kweli?
hamna mbona bado mieleka naipendaUmekuwa mtu mzima sahizi na kipindi kile ulikuwa na akili za kitoto ndio maana unaona inaboa, ni sawa sahizi uanze shabikia mieleka