Mkuu hakuna namna toka hapo ulipo uchakarike
Kaka yangu alimaliza chuo 2011 kipindi hicho ifm pale Information Technology huwezi amini alifungua duka la kushona viatu vya kimasai pale Kigamboni mji mwema
Wazungu wakienda beach wananunua, watz nao hawakua nyuma akapata wateja wengi sana
Kuna siku akikuja mteja pale ndo akamuunganisha kazi Jpaego sijui kama nimepatia hilo jina ila wanahusika na mambo ya takwimu hasa ukimwi , Malaria n.k
Duka baadae lilikufa baada ya kumuachia kijana mwingine ila nakushauri tuu toka hapo ulipo anza kufanya chochote mkuu, siku moja utapata kazi ya ndoto yako.
Binafsi nilipata bahati sikukaa sana mtaani, ndani ya wiki 3 baada ya kumaliza nikaanza kazi ila kaka yangu alisota sana mpaka tulifanya visomo kwamba amerogwa.
Sent from my SM-G610F using
JamiiForums mobile app