Naona kama mabinti waliohitimu vyuo wanakabiliana vizuri na changamoto ya ajira kuliko vijana wa kiume

Wanawake tumeamua kuchakarika na kila shughuli ukitafta hela hamna kuona aibu. Tena tumejiunga na vikundi tunacheza na michezo hatutaki utani maisha yetu wanawake tusipofanya kazi tutakuwa jamvi la wageni.
Hongera ila punguzeni vitambi hata kama hela zenyu
[emoji849]
 
Kuna kiungo hujakitaja hapo huwakinapata taabu sana kabla ya kufikia hatua hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…