Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 2,406
- 8,039
Nikienda migahawani huwa naona wanaohudhuria kula kila siku migahawani ni wababa na vijana tena wenye ndoa zao, ni mara chache sana kukuta mdada anakula kila siku migahawani.
Mimi ni bachela, sasa sijajua faida ya ndoa ni nini, kama wanaume waliooa nao wanakula migahawani kila mara kama mimi.
Siamini kama population yote ya wanaume wanaokula mgahawani Kila siku hawana wake wa kuwapikia nyumbani, Explanation ninayoweza kuja nayo ni kuwa wake zao wanakataa kuwapikia.
Mimi ni bachela, sasa sijajua faida ya ndoa ni nini, kama wanaume waliooa nao wanakula migahawani kila mara kama mimi.
Siamini kama population yote ya wanaume wanaokula mgahawani Kila siku hawana wake wa kuwapikia nyumbani, Explanation ninayoweza kuja nayo ni kuwa wake zao wanakataa kuwapikia.