Kabisa mwanawanwe. Nashangaa eti watu walimkalia kooni yule mama mbuge kusema wadada wa airtz sio warembo wakati ukiweka warembo kwa ndege safari inakuwa tamu zaidiSura ngumu safari inakuwa ndefu mno
Utachagua mwenyewe, uangalie Miti nje ama uangalie Tv na choo ndani
1. Katarama
2. Ally's Star.
Huku 2 x 2 siti Ubao
Kule 2 x 1 siti Sofa
Haupangiwi, utaamua mwenyewe kusafiri kama Kifurushi / usafiri kama Abiria.
Katarama (angalia miti nje)
View attachment 3032722
Ally's Star (Kila seat ina screen nyuma)
View attachment 3032778
View attachment 3032777
Benzi anayo Zuberi kahama - mwanzaWakianza kutumia Benz mniambie nianze kusafiri[emoji4]
Sawa baba, samahani skujua, furahia na wajukuu❤️
Enzi zetu barabara zilikuwa mbovu magari yenyewe mangumu kumeza leo hii vijana barabara safi gari mayai na ziko safeKweli mkuu hata mimi nikikumbuka miaka flani huko nasema 😅 daaaa!!.
Safiri kiboss na Ally's Star 💫 Dar-Mwanza, Dar-Shinyanga VVIP
Siku hizi hawaingii gereji (msoto) hata gereji hawazijui, sehemu inapokaa spea tyres hawajui, yaani hata wepa ikiwaka na maji hamna hajui wapi maji yanawekwa.Enzi zetu barabara zilikuwa mbovu magari yenyewe mangumu kumeza leo hii vijana barabara safi gari mayai na ziko safe
Wana raha sanaSiku hizi hawaanzii gereji (msoto) hata gereji hawazijui, sehemu inapokaa spea tyres hawajui, yaani hata wepa ikiwaja na maji hamna hajui wapi maji yanawekwa.
Siku hizi chuma zinakuja, unapigiwa simu kesho njoo uende Mwanza na hili basi jipya 😀!.
Duuh, umenikumbusha nyumbani mkuu.Achana naye. Huyu ni mtu wa Nshamba Muleba, watu wa Nshamba hawajui kitu kingine isipokuwa biashara tu. Wapo akina Kyeju nk.
katarama ana basi za polo 6 EBR ziko 2 kisha ECR kisha akavuta EDRbaada ya hapo akavua DXE Iliyokuwa sauli slow poison kisha ndio now anevuta EHC hii EHC Imeundwa AAVA kenya sio china, piakuna irizar Mbili jumla zitakuwa 8 polo moja mil 800+ huyo ndio kataramaJamaa alianza na Basi 2 za Scania kimsihara watu wakamchukulia poa, ila jamaa nachoona ni mjanja sana, alisalijili madereva wazoefu kutoka allys akawaongezea pesa nzuri, na kilichompa jina ni kuumwaga moto naskia abiria wa kanda ya ziwa hawapendagi kabisa gari za kulala njiani, akaongeza scania zingine 2 zikawa nne
Now naona kaongeza chuma cha 5 kutoka Scania na kuna irizar 2 kutoka South Africa jamaa naona hatanii
Kila la heri kwa huyu mwekezaji
View attachment 3032396
EF series
Bado zipo zinapiga kazi Dar-Mwanza
Hizo Irizar ndani za kawaida sana bora hata G7
Mchina kwenye internal decoration hana mpinzani
Marcopolo zile Andare. Sidhani kama ana hizi model mpya za body Gemilang kama za Super Feo ama Katarama.Kilimanjaro ana scania zipi mkubwa?
Air msai alipotelea wapi? Walikuwaga na ligi kali na dar express balaaaEnzi za Ngorika. Arusha -Dar, hawa kina katarama wakasome
Kule kule zilikopotelea Scandinavia, Buffalo coach nkAir msai alipotelea wapi? Walikuwaga na ligi kali na dar express balaaa
From africarriersAlly's na yutong wapi na wapi?
Yeye ni golden dragon
Kivipi mzee?Efe zilikuja na speed naona hii wiki zinakandwa tu na katarama 😂😂
Tajiri wa madini alikurupuka baada ya kupiga mawe yakaisha hana swaga.Amuulize SAULI alifeli wapi hadi scania wakaja kuchukua mabasi yao, ili aisije kupitia ya SAULI