Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
Ngoja Nomadix anisaidie hapaSawa nakufurahisha ila wewe hunifurahishi kwa nini usinikubalie au unaona aibu? wewe chelewa tu kuna wenzako wananifukuzia ki chini chini, ikifika kesho tu hotoamini utachokiona jeiefu kuhusu mimi.
ππKuweni na majibu ya kiungwana jamani hamuwezi juwa mtu anapitia changamoto zipi
Kupeza ndio kufanyaje tena Shem.Nime kupeza pia shem shem, msalimie mchumba.
He's my lawyerKwani huyu Nomadix Ni nani hadi umshirikishe katika maamuzi ya kujenga familia yetu!
Si ndo kumiss πKupeza ndio kufanyaje tena Shem.
Salamu zitafika.
Haya msalimie Shem Half american Popote alipo.Si ndo kumiss π
Ewe kubwa la manusu a.k.a nusu albino Half american una salimiwaππHaya msalimie Shem Half american Popote alipo.
Eti amesema unamuonea wivu sababu yeye ni mmarekani!Ewe kubwa la manusu a.k.a nusu albino Half american una salimiwaππ
Sielewi mimi jamani, kama hunitaki niambie kwa kiswahili tu.He's my lawyer
ππ
hamna mmarekani hapo, huyu Half american ni nusu albino ππEti amesema unamuonea wivu sababu yeye ni mmarekani!
Jinyonge tuKila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums β€οΈβ€οΈβ€οΈ
Wenu Amkartina.
πππππ
Blaza blaza blaza nimekuita mara tatuhamna mmarekani hapo, huyu Half american ni nusu albino ππ
Nimezipata shem wangu, kwema huko?Haya msalimie Shem Half american Popote alipo.
mil 50 ipi bro πAm katrina a.ka habari na hoja mchanganyiko π
Naomba basi hata laki moja tu katika ile mil 50 ndo tuagane vizuri
Familia iliuza nyumba akapata mgao 45 mil nae alikua na akiba yake 5mil πmil 50 ipi bro
nusu albino nusu albino nusu albino nime kuita Mara tatu ππ.Blaza blaza blaza nimekuita mara tatu