AtamsumbuaOKW BOBAN SUNZU ulikua unatafuta mke, huyu hapa tena ukimuoa lazima atatulia.
Na A.KA wamekupa kipenzi, please calm downUsithubutu kujitoa uhai Caty
WEWE NI MWANAMKE AU MWANAUME?Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums β€οΈβ€οΈβ€οΈ
Wenu Amkartina.
πππππ
Haka kabinti sijui kamama au kakijana ni kaongo in short, kumaliza milion 50 ndani ya wiki moja ni uongoNamba mbili si uliomba ushauri wa kutumiia ile mil 50 sasa hivi tu imeisha????
Namba tatu usichague sana na usiweke malengo makubwa sana kwa vijana.... Tafuta maskini mwenzio muenjoy maisha usife kabla hujafaidi penzi la kimaskini!!!!!
Usijinenee mabaya.
Pumbavu zake ππHaka kabinti sijui kakijana ni kaongo in short, kumaliza milion 50 ndani ya wiki moja ni uongoView attachment 3232107
Shenzi sana huyuπ€π€πPumbavu zake ππ
We jiue tu maisha ni magumu koteKila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums β€οΈβ€οΈβ€οΈ
Wenu Amkartina.
πππππ