Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Wakukubali kuishi nae wakati hauna kitu ndo shughuli ilipo, hiyo ni kazi zaidi ya kutafuta kaziPole sana mkuu.. upweke pia unachangia tafuta mtu uishi naye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakukubali kuishi nae wakati hauna kitu ndo shughuli ilipo, hiyo ni kazi zaidi ya kutafuta kaziPole sana mkuu.. upweke pia unachangia tafuta mtu uishi naye
Aisee huyu yupo kitambo sana toka 2012 walikuwepo humu na piga hesabu mwaka 2012 alikuwa na miaka 22 au 23 sasa hivi atakuwa na miaka mingapi?Afu unaweza kuta hata miaka 30 bado hajafika
Ndoto za Alinacha na dhihaka!Mapema Sana Kukata Tamaa Mkuu
Mwaka Huu Tutapata Mabadiliko Kwenye Uchaguzi, CCM Itaanguka Maeneo Haya
RAIS
MBUNGE
DIWANI
Kura Yako Ni Muhimu Sana Tunakwenda Kukiondoa Chama Dollar
Wakuu haka kabinti sijui kamama ni kaongo jamani kuweni makini,. Just seeking attention msiumizwe vichwaAisee huyu yupo kitambo sana toka 2012 walikuwepo humu na piga hesabu mwaka 2012 alikuwa na miaka 22 au 23 sasa hivi atakuwa na miaka mingapi?
Msimulaumu hata wanawake wanahonga pia.Wakuu haka kabinti sijui kamama ni kaongo jamani kuweni makini,. Just seeking attention msiumizwe vichwaView attachment 3232132
Alisema ana 35+Aisee huyu yupo kitambo sana toka 2012 walikuwepo humu na piga hesabu mwaka 2012 alikuwa na miaka 22 au 23 sasa hivi atakuwa na miaka mingapi?
SAwaMsimulaumu hata wanawake wanahonga pia.
Ila JamiiForums mmenishinda Tabia😂😂😂😂😂View attachment 3232138
Huku mpata wa kumlea? 🙌
Juzi alikuja na uzi mwingine akikanusha kwamba ile 50 Milion alikuwa anamuombea rafiki yake ushauri tu lakini yeye anatafuta kazi ya Upishi.SAwa
Kumbe Mjinga anachuuza watu humu, hayupo seriousWewe Juzi ulisema mmeuza maeneo ya Familia una 50mil hujui ufanye niniView attachment 3232104
Kubonge unafukua kaburiWewe Juzi ulisema mmeuza maeneo ya Familia una 50mil hujui ufanye niniView attachment 3232104
Anayekunywa sumu asemiunataka kunywa sumu?
KUna watu wanachangamoto sana aisee,.Juzi alikuja na uzi mwingine akikanusha kwamba ile 50 Milion alikuwa anamuombea rafiki yake ushauri tu lakini yeye anatafuta kazi ya Upishi.
UTULIVU WA AKILI NYAKATI NGUMU NI MUHIMU SANA.
Wanasema alimuombea rafiki yake ushauriKumbe Mjinga anachuuza watu humu, hayupo serious