ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
AmKATRINA mbona anatuchanganya🤣 kila siku anakuja na story mpya.View attachment 3232138
Huku mpata wa kumlea? 🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmKATRINA mbona anatuchanganya🤣 kila siku anakuja na story mpya.View attachment 3232138
Huku mpata wa kumlea? 🙌
Ila inaonekana ni mtu mzima sio wa kufanya mambo kama haya,,.I feel sorry for her nilipokuwa 24 niliwahi kuzama pm ku M seduce 🤣🤣🤣🤣
Serious,.😂Anae taka kufa hasemi
Acha tuenjoy maisha ndo haya haya!Haka kabinti sijui kamama au kakijana ni kaongo in short, kumaliza milion 50 ndani ya wiki moja ni uongoView attachment 3232107
Kumbe ana milion 50Am katrina a.ka habari na hoja mchanganyiko 😁
Naomba basi hata laki moja tu katika ile mil 50 ndo tuagane vizuri
KwakweliAcha tuenjoy maisha ndo haya haya!
Maisha yetu ni fumbo gumu sana aisee kwa sababu hujui nini kitatokea within 24 hours. Hata ukijiua huko unakoenda unapajua palivyo? Maana maisha ya duniani ni mitihani mitupu. And nobody is happy all the time lakini ni vile kuamua kuficha huzuni na maumivu na kuendelea ku move onKUna watu wanachangamoto sana aisee,.
Sometimes hadi unaingiwa na Huruma na kuhisi labda ni Mental health au ndio kukata tamaa kwa hatua ya mwisho kabisa
Kumbe ni mshenzi kidogo nimtumie laki ya kula kizembeWakuu haka kabinti sijui kamama ni kaongo jamani kuweni makini,. Just seeking attention msiumizwe vichwaView attachment 3232132
Usiseme hivi! Sio sawaWakuu haka kabinti sijui kamama ni kaongo jamani kuweni makini,. Just seeking attention msiumizwe vichwaView attachment 3232132
Mtumie tu mkuu,. Nadhani itamfaaKumbe ni mshenzi kidogo nimtumie laki ya kula kizembe
Hahahaha 😂View attachment 3232138
Huku mpata wa kumlea? 🙌
Yeah ni kweli,. Mambo ni mengi mno tunaishi nayo hivyohivyo maana kukata tamaa ni dhambiMaisha yetu ni fumbo gumu sana aisee kwa sababu hujui nini kitatokea within 24 hours. Hata ukijiua huko unakoenda unapajua palivyo? Maana maisha ya duniani ni mitihani mitupu. And nobody is happy all the time lakini ni vile kuamua kuficha huzuni na maumivu na kuendelea ku move on
Sawa ni ipi??,. Uongo sio mzuri my friendUsiseme hivi! Sio sawa
Acha kabisaAmKATRINA mbona anatuchanganya🤣 kila siku anakuja na story mpya.
We dokta fala kweli kwani namba yake unayo? Kama Vipi mtumie tu kama una yo hata kama sio laki hata 20 inatoshaKumbe ni mshenzi kidogo nimtumie laki ya kula kizembe
Huyu anaweza kua na matatizo hata ya akili sababu mfululizo wa nyuzi zake mtu wa kawaida hawezi kufanya hivi.Sawa ni ipi??,. Uongo sio mzuri my friend
Awe tu specific aseme ukweli watu wajue wanamsaidia nini,. Na wanaanzaje kumsaidia tofauti na hapo Ni Attension seeker tu kama Attension seekers wengineHuyu anaweza kua na matatizo hata ya akili sababu mfululizo wa nyuzi zake mtu wa kawaida hawezi kufanya hivi.