Naona maisha yangu yako ukingoni, Sina Pesa wala kazi

Naona maisha yangu yako ukingoni, Sina Pesa wala kazi

Status
Not open for further replies.
Aisee!
Vipi kama kweli anapitia changamoto kwa sasa? Hio post ni kama ya 20012... miaka13 sasa, labda kapitia changamoto za maisha...
IMG_0407.png

Hii juzi
 
Unajua hata kama mtu una changamoto inabidi utafute namna ya kusaidiwa sio unawasilisha changamoto zako umejikatia tamaa.

Halafu shida nyingine huwa anaanzisha nyuzi ambazo hazimsaidii chochote kwenye maisha yake ya uhalisia. Mara wiki mbili alizopita alikuwa Pemba kwa Mganga wa kienyeji kapotea, mara wiki iliyo fuata kapata 50M baada ya kuuza mali za urithi, juzi kaja tena anaandika anatafuta kazi ya Upishi na leo tena anasema anataka kujitanguliza mbele za haki.

Which is which?
Hata kama kuna watu wanataka kumsaidia kwa maandishi yake atapata je msaada? Kweli maisha ni magumu lakini ajitahidi kuwa na akili timamu basi.
Hiki ndicho nimemwambia ephen_ kule juu,.
Mtu kama una matatizo na una changamoto fulani na umeamua kuja Public kutafuta msaada just be specific na sema tu ukweli watu wajue waanzia wapi kukusaidia aachane na bla bla,.

Wasichokijua humu kuna watu wema wengi sana na wengine ukute ni majirani zako kabisa,.
Sijapata tu mda na ni wenyewe waliniambia nisiandike ila niliwahi kuleta uzi humu mnipe tenda za kuwatengenezea madirisha Aluminium,. Huwezi amini mpaka leo kuna wengine kazi zao bado hatujamaliza maana ni nyingi mno na wengine wanakuja wanauliza hivi kumbe we ndio Leejay wa Jf😂😂,.

Kwahiyo awe tu specific aseme shida nini watu watamsaidia🙋‍♀️
 
Usikate tamaa maisha yapo tu, usijitangulize kwenda usikokujua, find friends, socialize more, everything will be fine
Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.

Sasa Duniani nafanya nini?

Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.

Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️

Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋
 
Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.

Sasa Duniani nafanya nini?

Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.

Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️

Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋
Nawatakia wote wanaotafuta kazi wapate kazi kwa mujibu wa matakwa na uwezo wao.

Wanaotafuta upendo waupate wanavyotaka.

Kabla ya kufanya kitu chochote cha kujidhuru, tutafutane tuongee kwanza.
 
Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.

Sasa Duniani nafanya nini?

Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.

Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️

Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋
hujachelewa,
bado unayo fursa ya kufany vizuri na kuhuisha hali ya maisha na kipato chako kua kizuri na bora zaidi kuliko kukata tamaa na kuonyesha dalili za kuchukua uamuzi mbaya pengine wa kukuathiri, kukuumiza na kukudhuru wewe mwenyewe kwa sababu ambazo kabisa hazina mashiko...

Rudi nyumbani kijijini, iko fursa yenye kipato cha uhakika kwa urahisi sana hususani kwenye sekta ya kilimo na ufugaji biashara :NoGodNo:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom