and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Aisee!
Vipi kama kweli anapitia changamoto kwa sasa? Hio post ni kama ya 20012... miaka13 sasa, labda kapitia changamoto za maisha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee!
Sio kidogoAisee
Huyu mama anahekaheka.
Aisee!
Vipi kama kweli anapitia changamoto kwa sasa? Hio post ni kama ya 20012... miaka13 sasa, labda kapitia changamoto za maisha...
Weee ni mtu katili sana..Am katrina a.ka habari na hoja mchanganyiko 😁
Naomba basi hata laki moja tu katika ile mil 50 ndo tuagane vizuri
Hiki ndicho nimemwambia ephen_ kule juu,.Unajua hata kama mtu una changamoto inabidi utafute namna ya kusaidiwa sio unawasilisha changamoto zako umejikatia tamaa.
Halafu shida nyingine huwa anaanzisha nyuzi ambazo hazimsaidii chochote kwenye maisha yake ya uhalisia. Mara wiki mbili alizopita alikuwa Pemba kwa Mganga wa kienyeji kapotea, mara wiki iliyo fuata kapata 50M baada ya kuuza mali za urithi, juzi kaja tena anaandika anatafuta kazi ya Upishi na leo tena anasema anataka kujitanguliza mbele za haki.
Which is which?
Hata kama kuna watu wanataka kumsaidia kwa maandishi yake atapata je msaada? Kweli maisha ni magumu lakini ajitahidi kuwa na akili timamu basi.
Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️
Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋
Nawatakia wote wanaotafuta kazi wapate kazi kwa mujibu wa matakwa na uwezo wao.Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️
Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋
Sijui anazibania bania za nini, afu akijiua ndio hizo pesa tutapika miubwabwa na minyama tuleKumbe ana milion 50
🤣🤣Mbona kama unataka kutoa asistiUkipata akupendaye utaghairi kufanya uamuzi mgumu?
Uyo ni bi mkubwa wako hoooMemba humu mna roho mbaya sana mpaka mtu anataka kufanya maamuzi magumu hamnishtui na mnajuwa natafuta demu
Njoo PMSina anipendaye
hujachelewa,Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️
Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋
