Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Futa hii koment ase mi wakiume aseWe love you hatuna wasiwasi.
..ataishije na mwenza wakati hana any means?Pole sana mkuu.. upweke pia unachangia tafuta mtu uishi naye
🙌Population ya Tanzania 65m
Toa hapo ww mtu mmoja Sasa
We don't fucking care at all
Nakuunga mkono kweli mkuuMemba humu mna roho mbaya sana mpaka mtu anataka kufanya maamuzi magumu hamnishtui na mnajuwa natafuta demu
Si ni mesahau ku quote🙏🤣Futa hii koment ase mi wakiume ase
DuhNakuunga mkono kweli mkuu
Kama uliweza kukodi mzazi akakuchukulie ripoti shule, valentine ndio ushindwe kukodi mpenzi?
Beba huyo AmKATRINA ni teni linalo zagaa zagaa.
Katrina kakuchanganya na ajakupa tunda badoSi ni mesahau ku quote🙏🤣
Kijana wewe bado mdogo sana, unaweza hata kukaa kwa shemeji yako.Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️
Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋
Kijana masikini c unajua ananyatia nyatia.Katrina kakuchanganya na ajakupa tunda bado
Alienda kuweka heshima bar, huyu hàta akijinyonga hakuna hasara maana kwa sasa atawatia hasara ndugu zake.Wewe Juzi ulisema mmeuza maeneo ya Familia una 50mil hujui ufanye niniView attachment 3232104
Mkuu,Huyo anaonekana bado yupo hai.. Ana nyuzi za kuchangia ya watu.. Kama hapitii khali hii aombe to a. Maana anafanya mautani na kucheka kwa post za watu na kuto fikiri kwamba kuna watu wana pitia haya kiukweli hata humu kuna waliofariki au kujiua kiukweli now ni R.I.P.
na sifikiri kama ni joke nzuri kufanya
Kama unataka pesa omba wakupe humu.. Shame ikujae
Asituchoshe🤒😂Alienda kuweka heshima bar, huyu hàta akijinyonga hakuna hasara maana kwa sasa atawatia hasara ndugu zake.
Unadhani anaelewa basi?Huyo anaonekana bado yupo hai.. Ana nyuzi za kuchangia ya watu.. Kama hapitii khali hii aombe to a. Maana anafanya mautani na kucheka kwa post za watu na kuto fikiri kwamba kuna watu wana pitia haya kiukweli hata humu kuna waliofariki au kujiua kiukweli now ni R.I.P.
na sifikiri kama ni joke nzuri kufanya
Kama unataka pesa omba wakupe humu.. Shame ikujae
Muwai chapKijana masikini c unajua ananyatia nyatia.
Sema teni, plasi nauli kutoka daa kuja mkoa ni parefu sanaNakuunga mkono kweli mkuu
Kama uliweza kukodi mzazi akakuchukulie ripoti shule, valentine ndio ushindwe kukodi mpenzi?
Beba huyo AmKATRINA ni teni linalo zagaa zagaa.
Mpwa,Unadhani anaelewa basi?