MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Huyo anayetaka kujiuaNani sasa asikufate pm,. Mimi au AmKATRINA ?😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo anayetaka kujiuaNani sasa asikufate pm,. Mimi au AmKATRINA ?😃
Nishamtema ,nikijua ana shida ya kujiua kweli kumbe muongoAhah unataka kumtema
Kwakweli,. Mambo yake tumwachie mwenyewe🙌🙌Unaweza kukuta alikuwa anauliza kwa niaba.
Au alikuwa na ndoto za kupata hiyo pesa akauliza vile.
Alichoandika sasa ndiyo uhalisia. Mental problem is real.
Kuna wengine maisha ya kuigiza, wengine utoto attention seekers.
Kaka uyo ukijibu poa ana piga picha ana tuma hapa mwenzio kaambia nitaweka na cheti chako cha milembe kakimbia hajarudi tenaHuyo anayetaka kujiua
Kaka katika kutafuta utamu wa Kati hakika napitia mengi mno .Kaka uyo ukijibu poa ana piga picha ana tuma hapa mwenzio kaambia nitaweka na cheti chako cha milembe kakimbia hajarudi tena
Tinakusaidia kwa kusema nenda kwa ex wakoKaka katika kutafuta utamu wa Kati hakika napitia mengi mno .
Ona Sasa nipo kwa mgonjwa wa akili ,wanasaikolojia nisaidieni mwenzenu mapenzi yananiadhibu 😺
😁😁😁😁 nishapata mbona! Tupo hatua za mwisho kabisa za maelewano subiri nimuite hapaNdio maana upati demu humu
SawaHuu mwandiko wako hatujauzoea mkuu.
kosa vyote, ila usikose Mungu. kama hata Mungu hauna,aisee utapata taabu sana hapa duniani, na milele yote motoni. maadam unapumua, jitafakari, chukua hatua, mpokee Yesu Kristo moyoni kwa kumwamini na uokoke, kwani yeye pekee ndio njia kweli na uzima, kwa sababu alimwaga Damu, hakuna mwingine anayeokoa kwa sababu hapana mwingine aliyefanyika kafara kwa damu yake, hata mohamad hakumwaga damu kwa ajili ya waislam, ni Yesu Kristo pekee alimwaga Damu kwa aajili ya wanadamu wote. ni hiari kumpokea, ukimpokea unaokoka, ukimkataa hukumu na mauti zinakuwa juu yako, jambo la uamuzi binafsi, hakuna wa kumlaumu. Mungu akusaidie, ukichagua fungu jema, Mungu ni mwaminifu, hajawahi kumwacha aliyemwamini, sifa yake mojawapo ni uaminifu, atakutokea na kukukomboa kwenye hayo yote.Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️
Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋
Kwa ex siwezi kurudi ,kipigo kile kilinitosha na sidhani Kama nahitaji tena kuwa na bondia kakaTinakusaidia kwa kusema nenda kwa ex wako
Mkuu uamuzi wowote, upo mikononi mwako. Uendelee kuishi Kwa Imani na matumaini au ujimalizeKila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️
Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋
🤣🤣🤣🤣🤣 Nondo za mwamba Robert Heriel MtibeliUSIMUONEE HURUMA MWANAMKE.
🤣🤣🤣🤣Kuna mambo ya ajabu humu sasa hivi hadi mtu unashindwa kujua lipi la kweli na lipi la uongo... All in all tuendelee kuburudika tu.Mkuu hapa JF na mitandao kwa ujumla kuna mengi. Tangu nilipoona ile thread ya jamaa ameandika kuwa yuko kwenya hali mbaya na siku zake za kufa zimefika, halafu baada ya siku chache mwengine akaanzisha thread kusema jamaa ameshafariki, kumbe ni huyo huyo mtu mmoja anataga kutapeli watu nilisema kweli duniani kuna mambo.
Huu sasa ndo utambulisho wako.Sawa
Nimeandika Original
Shukuru Mungu kwa kila jambo,jitihada haizidi kudra, na usichoke kupambana na kumuomba Mungu akufanyie wepesi, kiza kinapozidi ujuwe ndiyo kunakaribia kukucha!!Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️
Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋
Lucha embu achana na mapenzi bwana njoo tunywe bia hapa Drill cade hotelI may not have money to give, nor a job to offer, but the one thing I can offer you is love. Please allow me to be the one who loves you the most, Angalau nikupunguzie tatizo moja kati ya hayo matatu