Japkas
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 3,011
- 4,617
DaahAm katrina a.ka habari na hoja mchanganyiko 😁
Naomba basi hata laki moja tu katika ile mil 50 ndo tuagane vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaahAm katrina a.ka habari na hoja mchanganyiko 😁
Naomba basi hata laki moja tu katika ile mil 50 ndo tuagane vizuri
hahh tafuta mali mbichiiiiKwa ex siwezi kurudi ,kipigo kile kilinitosha na sidhani Kama nahitaji tena kuwa na bondia kaka
Ngoja kwanza nipambanishe nipate chance ya kukanyaga goma ,mpunga nitakaoupata sidhani Kuna mtoto wa mtu atakayetaka kukaa mbali na mimihahh tafuta mali mbichiiii
Mkuu onana na wakuu wa dini yako upate msaada wa maombiAcha mawazo
Tuliza akili wewe,familia inakutegemea hata kama huna kazi
Na hakikisha kitambi kinatokeaNgoja kwanza nipambanishe nipate chance ya kukanyaga goma ,mpunga nitakaoupata sidhani Kuna mtoto wa mtu atakayetaka kukaa mbali na mimi
Hakuna kukimbiza unamuachia nani maisha magumu tutakuzuia tu hakuna ku Left ⬅️Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa, sio
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️
Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋
Kaka kuhusu kitambi mbona ninacho siku nyingi tu .Na hakikisha kitambi kinatokea
ID yake ina zaidi ya miaka 12 JF, she is estimated to be above 35 years.Afu unaweza kuta hata miaka 30 bado hajafika
Karibu kwenye ulimwengu wa wanaume. Hayo ndio maisha ambayo sisi huwa tunaishi wakati wa kujitafuta.Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️
Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋
Kuna uwezekano mkubwa wa kukuta mtoa mada sio pisi kali. Kama sura ipo, tako lipo huwezi kukuta mwanamke analia njaaOKW BOBAN SUNZU ulikua unatafuta mke, huyu hapa tena ukimuoa lazima atatulia.
Alikuita mlafi au 😂😂Kaka kuhusu kitambi mbona ninacho siku nyingi tu .
Nina mpaka uzi wa kuamua kumuacha demu mmoja aliyenitukania hili tumbo langu
Alisema haoni maendeleo yoyote huko mbeleni kwa hili tumboAlikuita mlafi au 😂😂
Ila wana wake 🙌Alisema haoni maendeleo yoyote huko mbeleni kwa hili tumbo
Kwani ndiyo huyu wiki chache zilizopita alikuwa anaomba ushauri humu jukwaani wa namna ya kutumia milioni 50 ilyotokana na kuuza eneo la urithi, na kupata mgao wa milioni 45! Halafu hizo milioni 5 alikuwa nazo, na hivyo kujikuta ana milioni 50 kwenye akaunti!!!Am katrina a.ka habari na hoja mchanganyiko 😁
Naomba basi hata laki moja tu katika ile mil 50 ndo tuagane vizuri
Usijidhuru tafadhali uko wapi?Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️
Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋
Achana na hayo mawazo mkuu. Kumbuka tunaishi muda mfupi sana duniani so hakuna sababu ya kuendelea kuzipunguza siku za kuishi naamini mambo yanapozidi kuwa magumu ujue na suluhu i mbioni kupatikana. Kama hauna hata familia inayokutegemea we jikaze upambane tu hakuna kuchoka.Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️
Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋