Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Kesho atakuja na anaomba ushauri wa kununua kiwanja au bar ip mzuri kula bataUnadhani anaelewa basi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho atakuja na anaomba ushauri wa kununua kiwanja au bar ip mzuri kula bataUnadhani anaelewa basi?
View attachment 3232121Nyie ndio mnaosababisha watu wenye matatizo serious washindwe kusaidiwa kwa Uongo wenu,. HOvyo kabisa AmKATRINA
watu kama hawa wanaopitia vipindi vigumu, sometimes wanapost tu vitu kujiliwaza!
Mwandiko wake huyu inabidi ume umetulia tuli ndio uelewe😂😂, sometimes anaruka ruka herufi sema twende nae tu hivyohivyo Anko🤒Mpwa,
Wewe unamuelewa Coco? Au huenda nina kichwa kizito🤣🤣
Haaha😃😃😂😂,. Sie tuko kutunza mafile hapa yakihitajika yanaletwa hatuna kazi za kufanyaKesho atakuja na anaomba ushauri wa kununua kiwanja au bar ip mzuri kula bata
😆😆😆😆😁 🖐🖐🖐Haaha😃😃😂😂,. Sie tuko kutunza mafile hapa yakihitajika yanaletwahatuna kazi za kufanya
Masijla bayana au sioHaaha😃😃😂😂,. Sie tuko kutunza mafile hapa yakihitajika yanaletwa hatuna kazi za kufanya
Una uhakika hajatoka nje kutafuta?Mkuu una viungo vyote vya mwili, una akili timamu. Kwanin ukate tamaa kisa ugum wa maisha? Toka humo ndani ulimojifungia katafute
Asante dada ,aisee wewe mdada naomba usije tena PM nitakukata bichwa hiloWakuu haka kabinti sijui kamama ni kaongo jamani kuweni makini,. Just seeking attention msiumizwe vichwaView attachment 3232132
Msaidie huyo apate, ila mtani bhana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo namba tatu inamana hata Me wa humu wameshindwa. Lol.
Wana mjuaKuweni na majibu ya kiungwana jamani hamuwezi juwa mtu anapitia changamoto zipi
Ahah unataka kumtemaAsante dada ,aisee wewe mdada naomba usije tena PM nitakukata bichwa hilo
Afu wamejaa humu kibao. Wanaboa.attention seeker
Watu washamchambua kama karanga na kumuelewa huyu dada. Wewe tulia tu huku ukiendelea kucheza viduku kiongozi.Kuweni na majibu ya kiungwana jamani hamuwezi juwa mtu anapitia changamoto zipi
Ndio maana upati demu humuWatu washamchambua kama karanga na kumuelewa huyu dada. Wewe tulia tu huku ukiendelea kucheza viduku kiongozi.
Unaweza kukuta alikuwa anauliza kwa niaba.Wakuu haka kabinti sijui kamama ni kaongo jamani kuweni makini,. Just seeking attention msiumizwe vichwaView attachment 3232132