Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
ππππ Tulimpa nafasi ya kazi akambwela leo anataka kujiuaUyo ni bi mkubwa wako hooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππ Tulimpa nafasi ya kazi akambwela leo anataka kujiuaUyo ni bi mkubwa wako hooo
Acha ujinga, mambo matamu yanakuja soon usiwe na papara.Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums β€οΈβ€οΈβ€οΈ
Wenu Amkartina.
πππππ
Alikataa mbona ona hapaππππ Tulimpa nafasi ya kazi akambwela leo anataka kujiua
ππMimi natafuta mtu wa kumtoa kafara kumbe mbuzi mbyee unataka kwenda bure tu, tuwasiliane nikupe 10m upate kutumia akhera hukoπ€£π€£
Niachie smart phone Yako MkuuKila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums β€οΈβ€οΈβ€οΈ
Wenu Amkartina.
πππππ
Pm 25 khaaa
ππππ
Unataka kutuambia kuwa hata bando huna,unavizia wifi mahotelini!Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums β€οΈβ€οΈβ€οΈ
Wenu Amkartina.
πππππ
Mapema Sana Kukata Tamaa Mkuu
Mwaka Huu Tutapata Mabadiliko Kwenye Uchaguzi, CCM Itaanguka Maeneo Haya
RAIS
MBUNGE
DIWANI
Kura Yako Ni Muhimu Sana Tunakwenda Kukiondoa Chama Dollar
We umeoma pm tu πPm 25 khaaa
Wacha ujinga Maisha ni magumu Kweli lakini usifike huko.Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums β€οΈβ€οΈβ€οΈ
Wenu Amkartina.
πππππ
Ujanani mkipendwa maringo kibao, mkifika mwisho mwisho mwa third floor ndipo mnaanza kulia lia.Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums β€οΈβ€οΈβ€οΈ
Wenu Amkartina.
πππππ
ππ mbona mna mpiga misumaribya moto bi mkubwaUjanani mkipendwa maringo kibao, mkifika mwisho mwisho mwa third floor ndipo mnaanza kulia lia.
Wewe ni mmoja tu, wapo makumi elfu kama wewe, usikate tamaa.