Smooth Criminal
JF-Expert Member
- May 13, 2024
- 437
- 867
Usijinyonge mkuu, tumia sumu kidogo mateso yake siyo makubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmhh!View attachment 3232138
Huku mpata wa kumlea? 🙌
Kuna dogo kanywa sumu juzi kisa madeni ana tusumbua sasaivUsijinyonge mkuu, tumia sumu kidogo mateso yake siyo makubwa sana
Mbona una guna mkuuMmmhh!
Angejua kuwa wewe ndio afande fetty wa mikoroshini wala asinge chelewa kukupa hayo maokotoAm katrina a.ka habari na hoja mchanganyiko 😁
Naomba basi hata laki moja tu katika ile mil 50 ndo tuagane vizuri
Kaka unapoteza nguvu kumshaur ni matumizi mabaya ya bando lakoJaribu kukumbuka mambo mazuri uliliyowahi kufanya au kufanikisha. Ina maana katika maisha yako hakuna mazuri uliyowahi kutenda au kusaidia wengine?, kamaa ndio basi bado una thamani kubwa.
Huu ni wakati mgumu, lakini si mwisho wa maisha yako.
Kwanini mkuu?Kaka unapoteza nguvu kumshaur ni matumizi mabaya ya bando lako
Mkuu hapa JF na mitandao kwa ujumla kuna mengi. Tangu nilipoona ile thread ya jamaa ameandika kuwa yuko kwenya hali mbaya na siku zake za kufa zimefika, halafu baada ya siku chache mwengine akaanzisha thread kusema jamaa ameshafariki, kumbe ni huyo huyo mtu mmoja anataga kutapeli watu nilisema kweli duniani kuna mambo.Usithubutu kujitoa uhai Caty
Unajua hata kama mtu una changamoto inabidi utafute namna ya kusaidiwa sio unawasilisha changamoto zako umejikatia tamaa.Yeah ni kweli,. Mambo ni mengi mno tunaishi nayo hivyohivyo maana kukata tamaa ni dhambi
Kwanini mkuu?
Hahah mlimwokoa?Kuna dogo kanywa sumu juzi kisa madeni ana tusumbua sasaiv
Ndio tukamkimbiza hospital juzi kaback usiku akapelekwa tena kisa madeniHahah mlimwokoa?
Upo wapi namie nije niniunge na wewe twende zetu mbinguni kwa babaKila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️
Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋
Duh huyo tayar ni tatizo, attempts mbili inaonesha kadhamiriaNdio tukamkimbiza hospital juzi kaback usiku akapelekwa tena kisa madeni
Ndio ivyoDuh huyo tayar ni tatizo, attempts mbili inaonesha kadhamiria