Naona Maulid Kitenge na Wasafi FM ulikohamia rasmi mmeshaanza ‘ kuchemsha ‘ mapema tu

Ina maana na wewe ukiamka tu asubuhi unaanza kusikiliza redio?Kazi huna au ndo muda wa kuamka umefika lakini pa kwenda hamna?
 
Ina maana na wewe ukiamka tu asubuhi unaanza kusikiliza redio?Kazi huna au ndo muda wa kuamka umefika lakini pa kwenda hamna?

Kazi sina na je, lile Jukumu zuri ulilonipa la ' Kukutambalizia ' kwa Wiki mara Tatu na unanilipa Ujira haitoshi kuwa Ajira Kwangu?
 

Ulipotaja Mzungu ndiyo mwenye kutunza mda ndiyo nilipoishia kusom
 
saa mbili asubuhi unapata muda wa kusikiliza radio..shughuli zako za kukuingizia kipato unazifanya saa ngapi au huna kazi za kufanya?
Hata Mimi nimeshangaa Ila nasikia kajamaa ni dereva wa daladala mbagala to goms
 
Hata Mimi nimeshangaa Ila nasikia kajamaa ni dereva wa daladala mbagala to goms

Sasa kama kumbe unajua fika Mimi ni Dereva wa DalaDala kwani huwa unanisumbua Maji Mafupi ( PM ) mara kwa mara ukinitaka niwe Bwana / Basha wako na tokea nikukatalie sasa unanichukia? Msimamo wangu Kwako bado upo vile vile Sikuhitaji na acha Kujipendekeza Kwangu. Halafu Wanaume / Mabasha hatujaisha hivyo sijui kwanini Wewe unanihitaji Mimi tu.
 
An eagle ndio anakuigia wewe..sema kwa sababu wewe ni popoma umeshindwa kujua kwamba jamaa anapita mule mule unapopita wewe..itakuwa umemuinfluence sana huyu...
 
Kajamaa nikakilaza Fulani amazing alafu maskini kanajiona kajanja balaa, kumbe maamuma

Aliyekupa Wewe Utajiri ndiyo amenipa Mimi huu Umasikini tatizo liko wapi? Ila ingependeza zaidi ili tuamini Utajiri wako ungetuwekea hapa unamiliki nini kama ' Assets ' za huko Benki una Akiba ya Kiasi gani ili tuweze Kuamini kwani kuna tatizo kubwa hapa JamiiForums kila ' Member ' kasoro Mimi tu GENTAMYCINE anasema Yeye ni Tajiri ( Milionea )

Sasa kama ulijua Mimi ni Mwanaume Masikini kwanini kutwa ulikuwa unanisumbua Maji Mafupi ( PM ) kuwa unanitaka ' nikubokoe ' ila Mimi nimekutalia lakini bado tu unanilazimisha? Kwahiyo unadhani kuonyesha Kwako Chuki Kwangu Mimi hapa Maji Marefu ( Jukwaani ) ndiyo nitabadili Uamuzi wangu juu yako? Nasema tena SIKUTAKI na sijui kwanini unalazimisha Mimi niwe Mumeo / Basha wako wakati Wanaume tumejazana tele hapa.
 
Now kipo hewani nasikiliza apa

Hata Mimi nakisikiliza vile vile Mkuu. Jamaa wanatiririka na wanaserereka vizuri sana. Kwa ile ' demo ' yao niliyoisikia jana na kwa ' Chemistry ' yao ambayo haijumuishi tu Wachambuzi mahiri bali pia ina Watu wenye ' Mvuto ' wa Kipekee na ' Influence ' kubwa kwa Wasikilizaji na Sisi wanamichezo. Efm na ' Sports Headquarters ' na ' E Sports ' yao wajipange na wasipojiimarisha zaidi Kifo chao ' Kiushindani ' ndiyo kimeshawadia hivyo.
 
Kabisa mkuu mbali na ujuzi wao pia wana mvuto haswa.. Kwa kifupi wanajua nini wanafanya
 
Una majeraha ya ndani we we..na element za mwijaku na mbasha wanaume wa ukwl hawaongei ongei hovyo. .. Si walalamishi sifa ya mwanaume ni pamoja na kutokuongea sana.
..Ivi una kile kikoremeo cha kiume kwl?
 
Kabisa mkuu mbali na ujuzi wao pia wana mvuto haswa.. Kwa kifupi wanajua nini wanafanya

Na ndiyo maana nawakubali, na nawasikiliza pia ' Mubashara ' hivi sasa.
 
Una majeraha ya ndani we we..na element za mwijaku na mbasha wanaume wa ukwl hawaongei ongei hovyo. .. Si walalamishi sifa ya mwanaume ni pamoja na kutokuongea sana.
..Ivi una kile kikoremeo cha kiume kwl?

Katika Wanaume wakisema wajitokeza nawe utajitokeza? Hivi ' Mashoga ' nao huwa wanajulikana kuwa ni Wanaume kweli?
 
Daah mkuu kwa jinsi ulivyotiririka hapa.. Unaonekana kabisa ni mtu wa misimamo mikali sana.. Sipati picha kama ungekuwa lecturer unawaambia wanachuo jamani kesho kipindi changu kitaanza saa kumi na mbili na nusu,, sawa wanakuitikia sawa,, Jitahidini muwahi mapema sawa lecturer..

Kesho yake majamaa yanachelewa unakuta wapo 15 kati ya 40
Sijui ungewafanya nn??
 

Ningewafukuza wote na ningebaki Mimi na Ubao tu tunajifundisha na muda wangu ukifika naondoka zangu kuendelea na Vipindi vingine. Kuhusu kuwa na Misimamo Mikali hujakosea hivyo ndivyo nilivyo. Nikiamua langu ndiyo hilo hilo na huwa nikisema ndiyo au hapana kwa Kitu chochote / Jambo lolote huwa ninamaanisha kweli. Halafu nina tatizo moja Kubwa na ambalo huwa linanigharimu na hata Kuniongezea Maadui na Kuchukiwa ambalo ni Kutokuwa Muongo au Mnafiki popote pale. Hata kama Wewe ni Rafiki / Ndugu yangu usitegemee nikikuona / nikikushuhudia ama Unaiba au umefanya Jambo baya lisilompendeza Mwenyezi Mungu nikiulizwa eti nitakubeba kwa Kukutetea bali nitanyoosha tu Maelezo yangu hata kama yatakugharimu na yatasababisha Mimi na Wewe Urafiki wetu ufikie Kikomo. Napenda mno Ukweli, Uwazi na Utaratibu bora wa Kimaisha na Mtu kufuata vyema Sheria na taratibu za nchi au eneo husika.

Na huyu ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…