inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
wewe ni bwege tu mwenye akili yenye uwezo wa 1kbFanya hima utafute Dawa za Kutuliza ' Uwendawazimu / Utaahira ' ambao taratibu naona unaanza Kukomaa ' Ubongoni ' mwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ni bwege tu mwenye akili yenye uwezo wa 1kbFanya hima utafute Dawa za Kutuliza ' Uwendawazimu / Utaahira ' ambao taratibu naona unaanza Kukomaa ' Ubongoni ' mwako.
wewe ni bwege tu mwenye akili yenye uwezo wa 1kb
Kwani leo si ndio jumatatu tarehe 21.?
nyoa nywele za siri,naona muwasho unakufanya usifikiri vizuriNaona ' Dozi ' zangu zimeshaanza Kukuingia vyema na sasa unaanza Kujibu Kipuuzi kama si Kitoto hivi. Siku zingine usiwe unadandia Treni kwa mbele utaumia ' Bwege Nazi ' Mkubwa Wewe.
Kwahiyo ni wa Yule anayekupa ile Mimba yako ambayo huwa inakusumbua kama si kukutesa kila mwaka au?
nyoa nywele za siri,naona muwasho unakufanya usifikiri vizuri
unaandika insha tena!...so hurt,popoma in chiefMaandiko yako ya sasa unazidi tu Kunithibitishia kuwa Mawe ( Madongo ) yangu ya ' Kutukuka ' niliyokupa yamekuingia vilivyo na sasa unaweweseka nayo. Hapa ' ukijipendekeza ' tu na Kujijaza mwenyewe katika ' Frame ' tegemea Majibu yangu ya ' Kimakombora ' ambayo huwa ni lazima tu yatakugusa na yatakuumiza ila yatakutia pia Adabu na Siku zingine hutorudia tena ' Upopoma ' kama uliouonyesha hapo awali. Yaani nakuchekea kwa Dharau mno huku nikikuonea hadi Huruma.
Kwani ugomvi??
Mbona umepaniki?
Mimi nimesema tuu hivo kwasababu ujazoeleka hivo
Saa mbili mpaka Saa tano? Yaani kipindi kichukue masaa 3? Napata ukakasi
Bado wanapiga muziki wao tu mpaka saiz saa 08:35,naisikia "Mc Muga" ya Ally Kiba hapa,wameniboa Sana Hawa jamaa
Kwa nn kipindi cha michezo wasingekiweka jioni hata kuanzia saa mbili hiv na kuendelea
unaandika insha tena!...so hurt,popoma in chief
GENTA naomba nisaidie kumjibu huyu jamaaNyimba ya Ally Kiba haiwezi kupigwa na Radio Mbao Fm...
sasa unaandika huku maulidi ki kanga yupo huku??kamchambe huko insta,CCM SIJUI WANATUPELEKA WAPI HAKYANANI
nimekuchukia wapi!?..nilikwambia tu uwe unaandika kwa muhtasari,ukapanicNazidi tu Kukuonea Huruma. Na ni huu huu Uandishi / Uwasilishaji wangu wa ' Kimkeka Kimkeka / Kiurefu / Ki Insha ' ndiyo unawafanya Watu wengi wanifuatilie kila Uchao ( 24/7 ) hapa Jamvini, nijadiliwe maeneo mbalimbali na Umaarufu wangu uzidi Kukua ambao kuna ambao ' Unawatesa ' na ' Wanachukia ' wakiongozwa na ' Mwandamizi ' wao Wewe lakini wanasahau kuwa pamoja na Kumchukia GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ila atabaki tu kuwa ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' wa muda wote si tu hapa JamiiForums bali hata katika Jamii mbalimbali za Watanzania, Wanyarwanda na Waganda.
Dereva daladala huyo, muda wote na radio!saa mbili asubuhi unapata muda wa kusikiliza radio..shughuli zako za kukuingizia kipato unazifanya saa ngapi au huna kazi za kufanya?