Naona Maulid Kitenge na Wasafi FM ulikohamia rasmi mmeshaanza ‘ kuchemsha ‘ mapema tu

Naona Maulid Kitenge na Wasafi FM ulikohamia rasmi mmeshaanza ‘ kuchemsha ‘ mapema tu

wewe ni bwege tu mwenye akili yenye uwezo wa 1kb

Naona ' Dozi ' zangu zimeshaanza Kukuingia vyema na sasa unaanza Kujibu Kipuuzi kama si Kitoto hivi. Siku zingine usiwe unadandia Treni kwa mbele utaumia ' Bwege Nazi ' Mkubwa Wewe.
 
Naona ' Dozi ' zangu zimeshaanza Kukuingia vyema na sasa unaanza Kujibu Kipuuzi kama si Kitoto hivi. Siku zingine usiwe unadandia Treni kwa mbele utaumia ' Bwege Nazi ' Mkubwa Wewe.
nyoa nywele za siri,naona muwasho unakufanya usifikiri vizuri
 
nyoa nywele za siri,naona muwasho unakufanya usifikiri vizuri

Maandiko yako ya sasa unazidi tu Kunithibitishia kuwa Mawe ( Madongo ) yangu ya ' Kutukuka ' niliyokupa yamekuingia vilivyo na sasa unaweweseka nayo. Hapa ' ukijipendekeza ' tu na Kujijaza mwenyewe katika ' Frame ' tegemea Majibu yangu ya ' Kimakombora ' ambayo huwa ni lazima tu yatakugusa na yatakuumiza ila yatakutia pia Adabu na Siku zingine hutorudia tena ' Upopoma ' kama uliouonyesha hapo awali. Yaani nakuchekea kwa Dharau mno huku nikikuonea hadi Huruma.
 
Saa mbili mpaka Saa tano? Yaani kipindi kichukue masaa 3? Napata ukakasi
 
Maandiko yako ya sasa unazidi tu Kunithibitishia kuwa Mawe ( Madongo ) yangu ya ' Kutukuka ' niliyokupa yamekuingia vilivyo na sasa unaweweseka nayo. Hapa ' ukijipendekeza ' tu na Kujijaza mwenyewe katika ' Frame ' tegemea Majibu yangu ya ' Kimakombora ' ambayo huwa ni lazima tu yatakugusa na yatakuumiza ila yatakutia pia Adabu na Siku zingine hutorudia tena ' Upopoma ' kama uliouonyesha hapo awali. Yaani nakuchekea kwa Dharau mno huku nikikuonea hadi Huruma.
unaandika insha tena!...so hurt,popoma in chief
 
sasa unaandika huku maulidi ki kanga yupo huku??kamchambe huko insta,CCM SIJUI WANATUPELEKA WAPI HAKYANANI
 
Saa mbili mpaka Saa tano? Yaani kipindi kichukue masaa 3? Napata ukakasi

Kwani kile cha ' Sports Headquarters ' alichokuwa akikiendesha alipokuwa Efm kilikuwa kinachukua Masaa mangapi labda? Yawezekana Mimi nikawa siyo ' Mathematician ' hivyo naomba Wewe uniambie kuanzia Saa 3 Kamili hadi Saa 6 Kamili Mchana hayo ni Masaa mangapi? Ilikuwaje alipokuwa kule Efm uliyazoea na sasa anapokuja nayo Wasafi fm yaanze Kukupa ' Ukakasi ' huo unaousema? Siku zingine acheni Kuvuta Bange / Bangi kama bado mnajua hamjala / hamjatia Kitu chochote Matumboni mwenu sawa?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
unaandika insha tena!...so hurt,popoma in chief

Nazidi tu Kukuonea Huruma. Na ni huu huu Uandishi / Uwasilishaji wangu wa ' Kimkeka Kimkeka / Kiurefu / Ki Insha ' ndiyo unawafanya Watu wengi wanifuatilie kila Uchao ( 24/7 ) hapa Jamvini, nijadiliwe maeneo mbalimbali na Umaarufu wangu uzidi Kukua ambao kuna ambao ' Unawatesa ' na ' Wanachukia ' wakiongozwa na ' Mwandamizi ' wao Wewe lakini wanasahau kuwa pamoja na Kumchukia GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ila atabaki tu kuwa ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' wa muda wote si tu hapa JamiiForums bali hata katika Jamii mbalimbali za Watanzania, Wanyarwanda na Waganda.
 
Atakuwa kapewa HISA, maana hama hama kwa umri kama ule si afya kwa walaji!!
 
sasa unaandika huku maulidi ki kanga yupo huku??kamchambe huko insta,CCM SIJUI WANATUPELEKA WAPI HAKYANANI

Mbona hata Wewe ' Mtambaliziaji ' wako yupo hapa hapa na huwa ' tunamchamba ' na umekuwa ukifurahia na hujawahi hata Siku moja Kutukataza au Kukasirika ' tusimchambe ' kama ulivyokasirika kwa Maulid?
 
Nazidi tu Kukuonea Huruma. Na ni huu huu Uandishi / Uwasilishaji wangu wa ' Kimkeka Kimkeka / Kiurefu / Ki Insha ' ndiyo unawafanya Watu wengi wanifuatilie kila Uchao ( 24/7 ) hapa Jamvini, nijadiliwe maeneo mbalimbali na Umaarufu wangu uzidi Kukua ambao kuna ambao ' Unawatesa ' na ' Wanachukia ' wakiongozwa na ' Mwandamizi ' wao Wewe lakini wanasahau kuwa pamoja na Kumchukia GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ila atabaki tu kuwa ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' wa muda wote si tu hapa JamiiForums bali hata katika Jamii mbalimbali za Watanzania, Wanyarwanda na Waganda.
nimekuchukia wapi!?..nilikwambia tu uwe unaandika kwa muhtasari,ukapanic
 
Back
Top Bottom