Naona Maulid Kitenge na Wasafi FM ulikohamia rasmi mmeshaanza ‘ kuchemsha ‘ mapema tu

Naona Maulid Kitenge na Wasafi FM ulikohamia rasmi mmeshaanza ‘ kuchemsha ‘ mapema tu

nimekuchukia wapi!?..nilikwambia tu uwe unaandika kwa muhtasari,ukapanic

Mbona sasa hivi unaonekana umekuwa Mpole, una Adabu zote na hujaandika Kwa Kunikejeli kama ' posts ' zako za Awali katika Uzi huu huu? Kulikoni? Wewe ulidhani nilivyojiita GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE labda nilibahatisha tu? Hivi hujui Kazi ya Dawa aina ya ' Antibiotics ' ndani ya Mwili wa Mwanadamu? Ni matumaini yangu makubwa sasa kuwa Kuanzia leo hii utakuwa unakaa mbali kabisa na hii ID na Kuiheshimu pia kwani ni ID isiyolea Ujinga ( Ungumbaru ) na Upumbavu ( Upopoma ) wa baadhi yenu hapa.
 
Mbona sasa hivi unaonekana umekuwa Mpole, una Adabu zote na hujaandika Kwa Kunikejeli kama ' posts ' zako za Awali katika Uzi huu huu? Kulikoni? Wewe ulidhani nilivyojiita GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE labda nilibahatisha tu? Hivi hujui Kazi ya Dawa aina ya ' Antibiotics ' ndani ya Mwili wa Mwanadamu? Ni matumaini yangu makubwa sasa kuwa Kuanzia leo hii utakuwa unakaa mbali kabisa na hii ID na Kuiheshimu pia kwani ni ID isiyolea Ujinga ( Ungumbaru ) na Upumbavu ( Upopoma ) wa baadhi yenu hapa.
nina busara zaidi yako,sikulelewa kupenda majivuno,sioni tija ya mzozo wakati hatujuani sura wala rangi ya ngozi..na pole kama wadhani nakuogopa
 
nina busara zaidi yako,sikulelewa kupenda majivuno,sioni tija ya mzozo wakati hatujuani sura wala rangi ya ngozi..na pole kama wadhani nakuogopa

Haya ndiyo umeyajua hivi sasa baada ya Kunichokoza na Kupokea ' Makombora ' yangu ambayo yamekufanya uwe Mpole hivyo na hadi hata ' Kunyong'onyea ' kama ambavyo unaonekana sasa? Halafu nani alikuambia kuwa Mimi sina Busara au Adabu? Kwa Kukusaidia tu ni kwamba GENTAMYCINE nina Sifa Kuu mbili ambapo ukija Kwangu Kiustaarabu nami nitakuonyesha Ustaarabu wangu na hutoamini ila ukija Kwangu Kishari, Kihuni, Kiuchokozi na Kinafiki nakuambia hakuna rangi ambayo utaacha Kuiona na nitakuonyesha pia nilivyo Msela. Kanuni yangu haijabadilika ambapo Wewe ukitishia tu Kujamba Mimi nakunya kabisa.
 
Haya ndiyo umeyajua hivi sasa baada ya Kunichokoza na Kupokea ' Makombora ' yangu ambayo yamekufanya uwe Mpole hivyo na hadi hata ' Kunyong'onyea ' kama ambavyo unaonekana sasa? Halafu nani alikuambia kuwa Mimi sina Busara au Adabu? Kwa Kukusaidia tu ni kwamba GENTAMYCINE nina Sifa Kuu mbili ambapo ukija Kwangu Kiustaarabu nami nitakuonyesha Ustaarabu wangu na hutoamini ila ukija Kwangu Kishari, Kihuni, Kiuchokozi na Kinafiki nakuambia hakuna rangi ambayo utaacha Kuiona na nitakuonyesha pia nilivyo Msela. Kanuni yangu haijabadilika ambapo Wewe ukitishia tu Kujamba Mimi nakunya kabisa.
ngoja nikudharau tu,huenda kweli ni dereva wa daladala,huwa mna visirani tu,maana kuamka saa kumi alfajir kulala saa sita usiku ni ngumu kuwa na fikra pevu na kukosa kisirani
 
Kwani kile cha ' Sports Headquarters ' alichokuwa akikiendesha alipokuwa Efm kilikuwa kinachukua Masaa mangapi labda? Yawezekana Mimi nikawa siyo ' Mathematician ' hivyo naomba Wewe uniambie kuanzia Saa 3 Kamili hadi Saa 6 Kamili Mchana hayo ni Masaa mangapi? Ilikuwaje alipokuwa kule Efm uliyazoea na sasa anapokuja nayo Wasafi fm yaanze Kukupa ' Ukakasi ' huo unaousema? Siku zingine acheni Kuvuta Bange / Bangi kama bado mnajua hamjala / hamjatia Kitu chochote Matumboni mwenu sawa?
Kama navuta bangi wewe zinakuhusu nini mkuu? Ungenijibu tu na ingekuwa vizuri sana kwani mimi kusema ni masaa 3 ni ukakasi nini kilichoharibika hapo? Mkuu jiheshimu sana na tena jiheshimu tangu niingie jf sijaona reply ya kibwege kama hii kama huna fact kaa kimya kwani utakufa?
 
Kwani kile cha ' Sports Headquarters ' alichokuwa akikiendesha alipokuwa Efm kilikuwa kinachukua Masaa mangapi labda? Yawezekana Mimi nikawa siyo ' Mathematician ' hivyo naomba Wewe uniambie kuanzia Saa 3 Kamili hadi Saa 6 Kamili Mchana hayo ni Masaa mangapi? Ilikuwaje alipokuwa kule Efm uliyazoea na sasa anapokuja nayo Wasafi fm yaanze Kukupa ' Ukakasi ' huo unaousema? Siku zingine acheni Kuvuta Bange / Bangi kama bado mnajua hamjala / hamjatia Kitu chochote Matumboni mwenu sawa?
Kama navuta bangi wewe zinakuhusu nini mkuu? Ungenijibu tu na ingekuwa vizuri sana kwani mimi kusema ni masaa 3 ni ukakasi nini kilichoharibika hapo? Mkuu jiheshimu sana na tena jiheshimu tangu niingie jf sijaona reply ya kibwege kama hii kama huna fact kaa kimya kwani utakufa?
 
Yaani unauliza Mimi ni nani wakati unajua kabisa kuwa Mimi ni ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE je, nikisema Wewe ni ' Popoma ' nitakuwa nakosea?
Huwezi kujipa sifa hizo wakat shule yenyew umeungaunga mpaka kujikuta unasoma chuo takataka kama SAUTI,kwa mimi nisingeweza kupoteza muda wangu kwenda pale...Pumbavu zako
 
Tokea nizaliwe hadi leo hii nipo Mkubwa hivi Kula yangu au Ustawi wangu mzima wa Kimaisha ulikuwa unakutegemea ' Mpumbavu ' Wewe? Nimeshawahi hata Siku moja kuja Kukugongea Kwako kuwa nataka Unipe Ugali wako na Matembele unayoshindia 24/7 au ' Bando ' la Kuniwezesha Mimi kuwepo hapa? Nilikuwa sijui kumbe kwa Tanzania hii ili Mtu aonekane umeenda Kazini ni mpaka uamke Alfajiri upambane na Madalala na urejee Jioni ndiyo unajulikana umeenda Kazini? Sasa nakubaliana tena kwa 100% yale ' Matusi ' ambayo Waafrika wengi tumekuwa tukipewa na Rais Trump wa Marekani. Tuna matatizo makubwa ' Ubongoni ' mwetu. Na ulivyo ' Mpumbavu ' wa ' Kutukuka ' hujui kuwa wengine ' Fani ' zao ni za Kutegemeana ambapo wakisikiliza Kipindi husika basi na Wao hapo hapo wanapata ' Tips ' za Kihabari / Kitaarifa na pia wanatengeneza vyema ' News Angles ' zao kisha wanazitumia kwa Matumizi yao mengine ambayo baadae pia yanawaongezea Vipato vyao na Maisha yao yanaenda. Nimefurahi Kukutana na ' Mpumbavu ' Mmoja Wewe mapema Asubuhi hii.
Umelisahau kumwambia lile neno lako pendwa la Popoma[emoji16]
 
Haya ndiyo umeyajua hivi sasa baada ya Kunichokoza na Kupokea ' Makombora ' yangu ambayo yamekufanya uwe Mpole hivyo na hadi hata ' Kunyong'onyea ' kama ambavyo unaonekana sasa? Halafu nani alikuambia kuwa Mimi sina Busara au Adabu? Kwa Kukusaidia tu ni kwamba GENTAMYCINE nina Sifa Kuu mbili ambapo ukija Kwangu Kiustaarabu nami nitakuonyesha Ustaarabu wangu na hutoamini ila ukija Kwangu Kishari, Kihuni, Kiuchokozi na Kinafiki nakuambia hakuna rangi ambayo utaacha Kuiona na nitakuonyesha pia nilivyo Msela. Kanuni yangu haijabadilika ambapo Wewe ukitishia tu Kujamba Mimi nakunya kabisa.
nawaona mapopoma mnatambaliziana mikuyenge ya futi sita 6
 
Huwezi kujipa sifa hizo wakat shule yenyew umeungaunga mpaka kujikuta unasoma chuo takataka kama SAUTI,kwa mimi nisingeweza kupoteza muda wangu kwenda pale...Pumbavu zako

Mliozaliwa kutokana na Tendo la Ngono lililosababisha Mimba zenu kupatikana kupitia Chooni na Jalalani mna taabu sana.
 
Back
Top Bottom