Naona ni idea nzuri kuishi mkoa tofauti na mkeo

Naona ni idea nzuri kuishi mkoa tofauti na mkeo

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Future wife ni mjasiriamali mzuri ila mkoa ninapofanyia kazi hakuna mishe mishe mzunguko mdogo watu wengi hawana kazi so wamekalia majungu sana na usengenyaji nilichofikiria ni kupanga maghetto mawili moja mkoa mwingine akae mke so nachokifanya ni kila ijumaa mchana namfuata mke tunakaa wote Mpaka jumatatu asubuhi ndo mimi narudi kazini.

Kwanza nitakuwa nimeepusha mengi maneno maneno yatapungua ya mtaani ambayo anaweza akapewa na vilevile mazoea yatapungua nahisi ndo mahusiano yatadumu ila pia ntakuwa nakula bata huo mkoa ninaotaka kwenda kila weekend uzuri nauli ni 5000 tu na km 100 tu.
 
Future wife ni mjasiriamali mzuri ila mkoa ninapofanyia kazi hakuna mishe mishe mzunguko mdogo watu wengi hawana kazi so wamekalia majungu sana na usengenyaji nilichofikiria ni kupanga maghetto mawili moja mkoa mwingine akae mke so nachokifanya ni kila ijumaa mchana namfuata mke tunakaa wote Mpaka jumatatu asubuhi ndo mimi narudi kazini.

Kwanza nitakuwa nimeepusha mengi maneno maneno yatapungua ya mtaani ambayo anaweza akapewa na vilevile mazoea yatapungua nahisi ndo mahusiano yatadumu ila pia ntakuwa nakula bata huo mkoa ninaotaka kwenda kila weekend uzuri nauli ni 5000 tu na km 100 tu.
Njia nzuri sana hata mimi ndivo ninavofanya
 
Future wife ni mjasiriamali mzuri ila mkoa ninapofanyia kazi hakuna mishe mishe mzunguko mdogo watu wengi hawana kazi so wamekalia majungu sana na usengenyaji nilichofikiria ni kupanga maghetto mawili moja mkoa mwingine akae mke so nachokifanya ni kila ijumaa mchana namfuata mke tunakaa wote Mpaka jumatatu asubuhi ndo mimi narudi kazini.

Kwanza nitakuwa nimeepusha mengi maneno maneno yatapungua ya mtaani ambayo anaweza akapewa na vilevile mazoea yatapungua nahisi ndo mahusiano yatadumu ila pia ntakuwa nakula bata huo mkoa ninaotaka kwenda kila weekend uzuri nauli ni 5000 tu na km 100 tu.
Usije kuomba ushauri baadaye hapa JF kwa yatakayokukuta
 
Ni idea nzuri ila mda wake umepita. Zaman ulikua ukisafiri ukimwacha mkeo miezi 12... Siku unarudi kuingia ndan mlango unabana mpaka upake mafuta ya kula ila karne hii safiri siku tatu tu ukirudi kuingia ndani nikama unajirusha kwenye bwawa
 
Hao majirani watapita nae, vijana wakaa maskani bila ya kazi ndio wanapita na wake za watu bora urudi huko ukaishi na mkeo mtarajiwa.
 
Future wife ni mjasiriamali mzuri ila mkoa ninapofanyia kazi hakuna mishe mishe mzunguko mdogo watu wengi hawana kazi so wamekalia majungu sana na usengenyaji nilichofikiria ni kupanga maghetto mawili moja mkoa mwingine akae mke so nachokifanya ni kila ijumaa mchana namfuata mke tunakaa wote Mpaka jumatatu asubuhi ndo mimi narudi kazini.

Kwanza nitakuwa nimeepusha mengi maneno maneno yatapungua ya mtaani ambayo anaweza akapewa na vilevile mazoea yatapungua nahisi ndo mahusiano yatadumu ila pia ntakuwa nakula bata huo mkoa ninaotaka kwenda kila weekend uzuri nauli ni 5000 tu na km 100 tu.
Usije ukafanya hilo kosa ndugu yangu! Epuka sana kuishi mbali mbali na mke/ mme wako
 
Back
Top Bottom