Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
ButumbafuWakuu !
Inawezekana tumezoea kuona mchezo wa mpira wa miguu ukipata faida kutoka kwa serikali.
Mfano goli la mama katika michuano ya kimataifa na hapa naweza kusema Yanga na Simba ndiyo wamenufaika zaidi kulamba mihela ya goli la mama na hata timu ya taifa nayo siku kadhaa zilizopita walipata milioni 700 baada ya kufuzu AFCON2025.
Sasa naona familia ya ndondi nchini nao wamekuja na ''Knock out ya mama'' ili waendele kula mema ya mama! Ambapo tukio zima kuelekea Tarehe 26 Desimba pale Superdome Masaki Kushuhudia pambano la ndondi za kimataifa.
Haya sasa na hapa tusemaje maana kila kona ni Mama tu anafanya
Netball.?Goli la mama- football
Kapu la mama- basketball
Knout ya mama-boxing
Mbio za mama- riadha
Bao la mama- 6×6
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hio bao la mama ichunguzweGoli la mama- football
Kapu la mama- basketball
Knout ya mama-boxing
Mbio za mama- riadha
Bao la mama- 6×6
Pete ya mamaNetball.?
Kwanini butumbafu? Mbona twingine tumevamia nyumba ya mtu, tukafunga mahema, tukawema viti, tukafunga na supika kuuuubwa kisha tukaingia ndani kumleta mwenye muji ambaye alishangaa kuwaona hapo eti tumekuja kumwomba aendelee kukalia kiti chake! Na twenyewe tutumbafu au tunini??Butumbafu
Twende na mama 2025😅🤣😀Ni kuchezea tu hela ya umma,hamna kiongozi aliyeingia madarakani na hela zake akazigawa,hela za uhujumu huwa haziumi.
Butumbafu mwingine pia. MTU anakuja kitandani kwako, anakuvua suruali, wee unamuangalia tu, anakuvua boksa, upo kimya tu. Yatakukuta yaliyomkuta deogratius Kissandu alipokiwa anasoma Tanga, alikuwa anajidai yeye ni ndugu mtazamaji. Jamaa wakachezea mtaroKwanini butumbafu? Mbona twingine tumevamia nyumba ya mtu, tukafunga mahema, tukawema viti, tukafunga na supika kuuuubwa kisha tukaingia ndani kumleta mwenye muji ambaye alishangaa kuwaona hapo eti tumekuja kumwomba aendelee kukalia kiti chake! Na twenyewe tutumbafu au tunini??
Ahahahahaha! Butumbafu ni twingi kumbe! Ahahahahaha!!!Butumbafu mwingine pia. MTU anakuja kitandani kwako, anakuvua suruali, wee unamuangalia tu, anakuvua boksa, upo kimya tu. Yatakukuta yaliyomkuta deogratius Kissandu alipokiwa anasoma Tanga, alikuwa anajidai yeye ni ndugu mtazamaji. Jamaa wakachezea mtaro
Kenehe nkoyi?Butumbafu
Draft vipi?Goli la mama- football
Kapu la mama- basketball
Knout ya mama-boxing
Mbio za mama- riadha
Bao la mama- 6×6
Womisha kinehe? Bhalihaya kinehe kwenuko? Banigini bali mhola?Kenehe nkoyi?
Kete za mamaDraft vipi?
Bhaki mhola ng'wanangwa.Womisha kinehe? Bhalihaya kinehe kwenuko? Banigini bali mhola?