Naona tumeshahamisha Goli, baada ya kusema Timu ipewe muda inajengwa, sasa tunasema Mashabiki tuwe Wavumilivu nayo

Naona tumeshahamisha Goli, baada ya kusema Timu ipewe muda inajengwa, sasa tunasema Mashabiki tuwe Wavumilivu nayo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Sijawahi kusikia iwe ni Arsenal au Manchester United au Liverpool FC yangu au PSG au Real Madrid na FC Barcelona au Bayern Munich au AC Milan ao hata Mamelodi Sundowns FC wakisema kuwa Timu yao ipewe muda au Mashabiki wao wawe Wavumilivu kwani Vikosi vyao Vinajengwa na miaka mingi ijayo.

Mpira tumeucheza, tunaujua na tunauchambua ukweli ni ule ule kuwa bado hatuna Timu, Uongozi bora na Mwalimu.

Imeisha hiyo.......!!
 
Sijawahi kusikia iwe ni Arsenal au Manchester United au Liverpool FC yangu au PSG au Real Madrid na FC Barcelona au Bayern Munich au AC Milan ao hata Mamelodi Sundowns FC wakisema kuwa Timu yao ipewe muda au Mashabiki wao wawe Wavumilivu kwani Vikosi vyao Vinajengwa na miaka mingi ijayo.

Mpira tumeucheza, tunaujua na tunauchambua ukweli ni ule ule kuwa bado hatuna Timu, Uongozi bora na Mwalimu.

Imeisha hiyo.......!!
Hawa wanahamu ya mboko,(mijeledi)
 
Sijawahi kusikia iwe ni Arsenal au Manchester United au Liverpool FC yangu au PSG au Real Madrid na FC Barcelona au Bayern Munich au AC Milan ao hata Mamelodi Sundowns FC wakisema kuwa Timu yao ipewe muda au Mashabiki wao wawe Wavumilivu kwani Vikosi vyao Vinajengwa na miaka mingi ijayo.

Mpira tumeucheza, tunaujua na tunauchambua ukweli ni ule ule kuwa bado hatuna Timu, Uongozi bora na Mwalimu.

Imeisha hiyo.......!!
Bila wewe kuliamsha mashabiki Mbumbumbu waliobaki ni fuata upepo.
 
Sijawahi kusikia iwe ni Arsenal au Manchester United au Liverpool FC yangu au PSG au Real Madrid na FC Barcelona au Bayern Munich au AC Milan ao hata Mamelodi Sundowns FC wakisema kuwa Timu yao ipewe muda au Mashabiki wao wawe Wavumilivu kwani Vikosi vyao Vinajengwa na miaka mingi ijayo.

Mpira tumeucheza, tunaujua na tunauchambua ukweli ni ule ule kuwa bado hatuna Timu, Uongozi bora na Mwalimu.

Imeisha hiyo.......!!
Klop alivyotua liver aliomba miaka mingapi ili atwae EPL?
 
Kila kitu kipo vizuri kabisa timu inaongoza ligi tayari , mwaka huu hatuyumbishwi na maneno ya mtu sisi ni kazi tu uwanjani , anayeona timu ni mbovu ahame tu akashabikie anayoiona iko vizuri.
Umeongea sahihi kabisa hapa,
Ila nimegundua Kuna watanzania wengi sana hawajui wanachotaka maishani,unaweza ukamuona mtu mmoja Leo Yuko kwenye maandano ya chadema kesho ukamuona Yuko kwenye sherehe za CCM ambapo Kuna msabii kaalikwa kutumbuiza.
 
Kila kitu kipo vizuri kabisa timu inaongoza ligi tayari , mwaka huu hatuyumbishwi na maneno ya mtu sisi ni kazi tu uwanjani , anayeona timu ni mbovu ahame tu akashabikie anayoiona iko vizuri.
Yaani GENTAMYCINE nitoe Mtazamo wangu halafu usitimie? Narudia hatuna Timu wala Wachezaji.

Bingwa ni Yanga SC au Azam FC na Sisi ( Simba SC ) tuipiganie nafasi ya Tatu na akina Singida Black Stars, Coastal Union SC au na Namungo FC.

Tunza hii Post yangu tafadhali sawa?
 
Kocha msaidizi wa kudumu atapewa timu tena na Juma Mgunda baada ya gongo wazi kutuchapa tena,kwa kifupi Simba imekuwa timu ya kuangaliana usoni na ushkaji wa kipuuzi.
Simba ilikuwa bora wakati wa Babra na Senzo.
 
Back
Top Bottom