Naona Urusi imeshazungukwa na NATO tayari. Muda wowote anakamatwa

Naona Urusi imeshazungukwa na NATO tayari. Muda wowote anakamatwa

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana

Soma hii story: Putin ally threatens to use 'entire arsenal' of nuclear weapons if needed
 
Putin alikosa busara,alidhani nchi za Magharibi hazitaungana hasa Ujerumani na Ufaransa kumdhibiti Putin.
Akategemea China huku China yenyewe inajua kuunga Putin ni kuwekewa vikwazo vya kubiashara na nchi za Magharibi.
Vile vile China anataka Russia dhaifu.
Kuungwa mkono na nchi za kiafrika hakuna impact ya kiuchumi wala kijeshi.
Iran nayo fuata mkumbo na drones zake ameishapoteza President Raisi.
Uturuki yeye anakula na kupuliza.
Kiduku wa Korea Kaskazini yeye anataka kufa na mtu siyo ishara nzuri kwake kwani Japan na Korea Kusini,Taiwan,Australia na Marekani wameongeza nguvu ya kivita kumdhibiti Kim.
 
7 JUN, 2024
Russia’s nuclear weapons can turn US into radioactive ashes — Kurchatov Institute chief
Mikhail Kovalchuk said that it was the US that used nuclear weapons against people in 1945, dropping bombs on Hiroshima and Nagasaki in Japan
MOSCOW, June 7. /TASS/. Russian nuclear capabilities can turn the US into radioactive ashes, Kurchatov Institute President Mikhail Kovalchuk said.

"They are not afraid of China because only we can turn America into nuclear radioactive ashes," Kovalchuk said in an interview with Marina Kim for the New World project, according to the footage of the interview that was broadcast on Solovyov Live television.

The Kurchatov Institute president also said that it was the US that used nuclear weapons against people in 1945, dropping bombs on Hiroshima and Nagasaki in Japan.
 
7 JUN, 2024
Russia’s nuclear weapons can turn US into radioactive ashes — Kurchatov Institute chief
Mikhail Kovalchuk said that it was the US that used nuclear weapons against people in 1945, dropping bombs on Hiroshima and Nagasaki in Japan
MOSCOW, June 7. /TASS/. Russian nuclear capabilities can turn the US into radioactive ashes, Kurchatov Institute President Mikhail Kovalchuk said.

"They are not afraid of China because only we can turn America into nuclear radioactive ashes," Kovalchuk said in an interview with Marina Kim for the New World project, according to the footage of the interview that was broadcast on Solovyov Live television.

The Kurchatov Institute president also said that it was the US that used nuclear weapons against people in 1945, dropping bombs on Hiroshima and Nagasaki in Japan.
Hizi ni mbwembwe kama kawaida yake kuwatishia eti ana nyuklia kali asi wengine wamelala. Kwanza amewasidia kujua ana silaha gani.
 
Mkuu siyo jambo rahisi! Usifikiri ni mchezo wa Yanga na Simba ambapo sisi huku bongo ni kushangilia tu!
Russia siyo Afghanstan wala siyo Iraq,Yugoslavia,Iraq nk
Russia imeanza kusogeza manowari zake za kinuklea Cuba na Venezuela!
Kule katikati ya Ulaya kuna Kanigrad ambako ana silaha za kutosha tu.
Sisi huku tuombe tu Mwenyezi Mungu apishilie mbali balaa hilo.
 

1717928200056.png
 
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana
Tusubiri Putin akamatwe na Urusi isambaratishwe na NATO.
 
Putin alikosa busara,alidhani nchi za Magharibi hazitaungana hasa Ujerumani na Ufaransa kumdhibiti Putin.
Akategemea China huku China yenyewe inajua kuunga Putin ni kuwekewa vikwazo vya kubiashara na nchi za Magharibi.
Vile vile China anataka Russia dhaifu.
Kuungwa mkono na nchi za kiafrika hakuna impact ya kiuchumi wala kijeshi.
Iran nayo fuata mkumbo na drones zake ameishapoteza President Raisi.
Uturuki yeye anakula na kupuliza.
Kiduku wa Korea Kaskazini yeye anataka kufa na mtu siyo ishara nzuri kwake kwani Japan na Korea Kusini,Taiwan,Australia na Marekani wameongeza nguvu ya kivita kumdhibiti Kim.
Huo ni mtizamo na maoni yako.
 
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana
Kwa akili yako unadhani putin au urusi mtu wa kawaida
Umajua pamoja na vikwazo walivyomuwekea still uchumi wake umeimarika?
Kwa sasa urusi ni fourth biggest economy duniani
 
Kuna wakati hata naogopa kucoment maana mtu hata hajui Geographia ya Urusi na ulaya kwa ujumla anasema Urusi imezungukwa. Urusi ndio nchi kubwa kuliko zote duniani. Ulaya ipo upande Moja TU Western part na kidogo Southern part.

Mtu anafikiri URUSI ni kama Burundi. Hilo taifa Lina zaidi ya 1000 years na siku zote wanajua wapo vitani ya kutaka kuangushwa na kusambaratika hiyo haijawahi na haitotokea maana muda wote wapo macho.

Pili Kuna watu wanafikiri nyuklia zinazozungumzwa hapa ni vitoi. Hebu google comment za generals mbalimbali wa nchi za ulaya na NATO kwa ujumla kuhusu nyuklia war and Russian technology specifically.

Mwisho kwa Sasa Russia hakuna vita ndio maana maisha yao yanaendelea kama kawaida. Vita ipo maeneo yaliyokuwa zamani Ukraine na only 500,000 ya wanajeshi wake wako kwenye operation ya Kiev. Zaidi ya skari million Moja (1m) wapo sehemu zingine wanalinda mipaka. Ndio maana wanafanya drills mbalimbali na wanaenda nchi zingine kufanya operations mbalimbali n.k kudhani eti wanajeshi wake wamechoka ni kijidanganya.

Vifaru main battle tank(5 generation) havipo msari wa mbele maana yake Bado hajatumia all resources.

Hao NATO wote uchumi wao uko hatarini maisha ya raia wao yameporomoka. Wakisema waingie vitani raia wao wataandamana na natabiri USA wataingia kwenye civil war
 
Back
Top Bottom