Naona Urusi imeshazungukwa na NATO tayari. Muda wowote anakamatwa

Naona Urusi imeshazungukwa na NATO tayari. Muda wowote anakamatwa

Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana

Soma hii story: Putin ally threatens to use 'entire arsenal' of nuclear weapons if needed
Kwa uwezo wako wakufikiri basi ngoja tukubaliane na wewe kwamba wazungu wana akili zaidi kushinda wazungu wenzao wa Urusi
 
Endelea kuota
Siku utayoona Russia haipo ujue hata hio Nato haitakuwepo
Russia haiwezi kumalizika kwa kuingia vitani kijana
Njia pekee ya Russia kujimaliza ni labda kama itatokea civil war ila nje ya hapo poleni sana
Mimi sio kijana
 
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana

Soma hii story: Putin ally threatens to use 'entire arsenal' of nuclear weapons if needed
Patachimbika, makombola makubwa ya nuclear yameelekzwa kwenye miji mikuu ya Ulaya, German, UK, France etc. Russia anazidi kujiimalisha zaidi kwenye nuclear kama mbwai iwe mbwai. Kasogeza makombola mengine uko Cuba na Venezuela kwa ajili ya America. Nyambizi za nuclear ziko ndani ya bahari ya Mediterranean na pacific kwa lolote. Hivyo siyo rahisi unavyofikilia wewe.
 

Attachments

  • Screenshot_20240819-131740.png
    Screenshot_20240819-131740.png
    711.6 KB · Views: 1
Patachimbika, makombola makubwa ya nuclear yameelekzwa kwenye miji mikuu ya Ulaya, German, UK, France etc. Russia anazidi kujiimalisha zaidi kwenye nuclear kama mbwai iwe mbwai. Kasogeza makombola mengine uko Cuba na Venezuela kwa ajili ya America. Nyambizi za nuclear ziko ndani ya bahari ya Mediterranean na pacific kwa lolote. Hivyo siyo rahisi unavyofikilia wewe.
God Bless Israel
 
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana

Soma hii story: Putin ally threatens to use 'entire arsenal' of nuclear weapons if needed
Huna akili wewe, urusi sio Iraq
 
Brain wash ni mbaya sana, kila nchi iko blessed, kila kipande Cha ardhi anayoishi binadamu hapa duniani kiko blessed. Na binadamu wote duniani wako blessed.
God Bless Israel
 
Back
Top Bottom