Naona Urusi imeshazungukwa na NATO tayari. Muda wowote anakamatwa

Naona Urusi imeshazungukwa na NATO tayari. Muda wowote anakamatwa

Unaongozwa na hisia na chuki Huna facts nakuonyesha ukilaza unadiriki sema USA watakuwa na civil war
Kilichotaokea kutoka January 6 2021 kinaitwaje? Sasa subiria Trump awekwe jela. Lakini pia Huyo Yankees apige boom strategic areas za Urusi majibu yake yatakuwa civil war.

Shida Yako na Yankees wote ni mahaba ya ukubwa. Yameshaisha bro
 
Watu wengi hawajuwi hili. Putting ameshapoteza wanajeshi wengi sana while nato ndio kwanza anajianda. Mwisho putting mtasikia amefariki. Kama wamemuondoa rais wa Iran
Kwa hiyo NATO wanavizia Urusi ipungukiwe wanajeshi.?
Aisee.!
Kwa hiyo ukweli utabaki pale pale kua urusi ni taifa lenye nguvu zaidi hapa duniani kijeshi kiasi nchi moja peke yake ya west haiwezi kuingia vitani na Urusi.
Hata wakimuua Putin Sasa hivi nao ni udhaifu mkubwa wa nchi za west,kwamba bila kumuua Putin hawawezi kumshinda wala kuishinda Urusi.
Kumbuka njia za kumvizia na kutaka kumuua ni ugaidi nauganidi siku zote ni njia za watu waoga.
Na Kwa miaka yote west wamekua wakijinasibu kupigana na kupinga ugaidi lakini Leo hii wao wenyewe wamekua magaidi.
 
Hujafuatilia vizuri historia ya urusi wewe! hao ni agressors balaa halafu very corrupt country ndo maana pamoja na ukubwa wa eneo wanazidiwa gdp na kakisiwa ka Japani

Sikatai wana vichwa vizuri kwa upstairs ila ni very corrupt country kwa jinsi ilivyo Russia ilitakiwa uchumi iwe inakimbizana na USA siyo kwenye arms race tu!
Kuna kitu hujaweka sawa neno corruption nchi za magharibi ni corrupt zaidi kuliko hiyo Russia unayosema. Fuatilia corruption scandals za Ukraine, fuatilia uuzaji wa silaha za kimarekani, fuatilia vita na mapinduzi kwenye nchi nyingi duniani Marekani na rushwa kwa viongozi wanaongiza mapinduzi hayo etc.

pia soma hapa Sarkozy’s ex-supermodel wife charged in Libya corruption case
 
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana

Soma hii story: Putin ally threatens to use 'entire arsenal' of nuclear weapons if needed
Kichapo

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1800551158060093598?t=P6K4Brq-3PVcJnV2MhNvqA&s=19
 
Kwa dunia hii ya tatu tunayoishi, tukubali kujadili chochote kuhusu nchi zilizoendelea na changamoto wanazopitia. Kwa sababu hatujui chochote kile kuwahusu wao. Taarifa tunazoleteana humu tunazisoma from other sources kitu ambacho hatujui kama ni za kweli au uongo.
Tuendelee kua watazamaji tu lakini hadhi yetu weusi ni ndogo mno kujadili mambo ya warusi wamarekani na waulaya
 
Putin alikosa busara,alidhani nchi za Magharibi hazitaungana hasa Ujerumani na Ufaransa kumdhibiti Putin.
Akategemea China huku China yenyewe inajua kuunga Putin ni kuwekewa vikwazo vya kubiashara na nchi za Magharibi.
Vile vile China anataka Russia dhaifu.
Kuungwa mkono na nchi za kiafrika hakuna impact ya kiuchumi wala kijeshi.
Iran nayo fuata mkumbo na drones zake ameishapoteza President Raisi.
Uturuki yeye anakula na kupuliza.
Kiduku wa Korea Kaskazini yeye anataka kufa na mtu siyo ishara nzuri kwake kwani Japan na Korea Kusini,Taiwan,Australia na Marekani wameongeza nguvu ya kivita kumdhibiti Kim.
We lala tu😂😂😂
 
Kuna wakati hata naogopa kucoment maana mtu hata hajui Geographia ya Urusi na ulaya kwa ujumla anasema Urusi imezungukwa. Urusi ndio nchi kubwa kuliko zote duniani. Ulaya ipo upande Moja TU Western part na kidogo Southern part.

Mtu anafikiri URUSI ni kama Burundi. Hilo taifa Lina zaidi ya 1000 years na siku zote wanajua wapo vitani ya kutaka kuangushwa na kusambaratika hiyo haijawahi na haitotokea maana muda wote wapo macho.

Pili Kuna watu wanafikiri nyuklia zinazozungumzwa hapa ni vitoi. Hebu google comment za generals mbalimbali wa nchi za ulaya na NATO kwa ujumla kuhusu nyuklia war and Russian technology specifically.

Mwisho kwa Sasa Russia hakuna vita ndio maana maisha yao yanaendelea kama kawaida. Vita ipo maeneo yaliyokuwa zamani Ukraine na only 500,000 ya wanajeshi wake wako kwenye operation ya Kiev. Zaidi ya skari million Moja (1m) wapo sehemu zingine wanalinda mipaka. Ndio maana wanafanya drills mbalimbali na wanaenda nchi zingine kufanya operations mbalimbali n.k kudhani eti wanajeshi wake wamechoka ni kijidanganya.

Vifaru main battle tank(5 generation) havipo msari wa mbele maana yake Bado hajatumia all resources.

Hao NATO wote uchumi wao uko hatarini maisha ya raia wao yameporomoka. Wakisema waingie vitani raia wao wataandamana na natabiri USA wataingia kwenye civil war
Hili la civil war naliona pia mkuu
 
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana

Soma hii story: Putin ally threatens to use 'entire arsenal' of nuclear weapons if nee

Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana

Soma hii story: Putin ally threatens to use 'entire arsenal' of nuclear weapons if needed
Hapa ndo unajua Kuna mbogo hazina akili.
 
Putin alikosa busara,alidhani nchi za Magharibi hazitaungana hasa Ujerumani na Ufaransa kumdhibiti Putin.
Akategemea China huku China yenyewe inajua kuunga Putin ni kuwekewa vikwazo vya kubiashara na nchi za Magharibi.
Vile vile China anataka Russia dhaifu.
Kuungwa mkono na nchi za kiafrika hakuna impact ya kiuchumi wala kijeshi.
Iran nayo fuata mkumbo na drones zake ameishapoteza President Raisi.
Uturuki yeye anakula na kupuliza.
Kiduku wa Korea Kaskazini yeye anataka kufa na mtu siyo ishara nzuri kwake kwani Japan na Korea Kusini,Taiwan,Australia na Marekani wameongeza nguvu ya kivita kumdhibiti Kim.
Unafaa kuchambua karanga😀
 
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana

Soma hii story: Putin ally threatens to use 'entire arsenal' of nuclear weapons if needed
Hivi warusi sio wazungu!? Kama warusi ni wazungu basi nao wana akili nyingi sana...
 
Reality check.
Russia hakuwa na sababu ya kupigana na ndugu yake Ukraine.
Na kwa udhaifu huo kajimaliza kizungu kwa wazungu wenzake.
Putin alitaka kuongeza CV za kuwa Russian Empire old stone age syndrome.
Endelea kuota
Siku utayoona Russia haipo ujue hata hio Nato haitakuwepo
Russia haiwezi kumalizika kwa kuingia vitani kijana
Njia pekee ya Russia kujimaliza ni labda kama itatokea civil war ila nje ya hapo poleni sana
 
Watu wengi hawajuwi hili. Putting ameshapoteza wanajeshi wengi sana while nato ndio kwanza anajianda. Mwisho putting mtasikia amefariki. Kama wamemuondoa rais wa Iran
Au yule makamo wa rais wa zambia
 
Back
Top Bottom