Naona Urusi imeshazungukwa na NATO tayari. Muda wowote anakamatwa

Naona Urusi imeshazungukwa na NATO tayari. Muda wowote anakamatwa

Screenshot_20240609-182000.png
 
Nakushauri kajisomee Kijitabu cha Tim Marshall....Prisoner of Geography...bila shaka utatoa maoni yako vizuri Ndugu.
Usipende kuaminisha watu kwamba unachokisoma/ulichokisoma wewe ni sahihi??

Na mwingine akija na reference nyingine ambayo inatofautiana au ina content tofauti na yako itakuaje??
 
Reality check.
Russia hakuwa na sababu ya kupigana na ndugu yake Ukraine.
Na kwa udhaifu huo kajimaliza kizungu kwa wazungu wenzake.
Putin alitaka kuongeza CV za kuwa Russian Empire old stone age syndrome.
Wabongo mambo mengine kama hamtumii akili. Uzi (Nyuzi) nyingi humu JF raia wanailalamikia Rwanda ya Paul Kagame na hufika hatua wanasema mpaka ifanywe iwe mkoa wa Tz nchi ya Rwanda. Hii yote inaonyesha Rwanda anatishia amani ya nchi ya Tz.

Ikiwa watanzania tu mnahisi Rwanda ni tishio kwa namna hiyo vipi kwa upande wa Russia? Akubali tishio kutoka kwa Ukraine kutoka kwa maadui zake NATO?

Unafikiri Rwanda ikifikia kiwango kikubwa cha tishio kwa Tanzania ikiwa kama raia wakihitajika kuongeza nguvu kazi ya jeshi raia watailaumu serikali au itaungana kwa pamoja kuitetea na kuilinda nchi?

Magaidi wa Msumbiji walivyosumbua Mtwara na kukimbilia nchi ya Msumbiji Tanzania kuna kupindi ikawa inapiga mizinga kutokea Tanzania kwenda nchi ya Msumbiji. Mamlaka ya Msumbiji ikawa inalalamika Tanzania inakiuka sheria za kimataifa.

Unaelewa nini kuhusu haya?!
Isomeni migogoro muielewe siyo mnakuja juu juu!
 
Unaripoti
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana
ukiwa wapi general. Bonyokwa au uko Ukraine
 
Mkuu siyo jambo rahisi! Usifikiri ni mchezo wa Yanga na Simba ambapo sisi huku bongo ni kushangilia tu!
Russia siyo Afghanstan wala siyo Iraq,Yugoslavia,Iraq nk
Russia imeanza kusogeza manowari zake za kinuklea Cuba na Venezuela!
Kule katikati ya Ulaya kuna Kanigrad ambako ana silaha za kutosha tu.
Sisi huku tuombe tu Mwenyezi Mungu apishilie mbali balaa hilo.
Huyo babu Putin hii vita alishajinyea kitambo sana. Tunasubiria tu kama ni kusafirisha ama vipi.
 
Pia unajua sababu za urusi kuitwanga Ukraine. Kwa ufupi nenda mkoa wa ruvuma ukachunguze Ile kampuni inayochimba uranium ni ya nchi Gani Kwa kushirikiana na nan.
 
7 JUN, 2024
Russia’s nuclear weapons can turn US into radioactive ashes — Kurchatov Institute chief
Mikhail Kovalchuk said that it was the US that used nuclear weapons against people in 1945, dropping bombs on Hiroshima and Nagasaki in Japan
MOSCOW, June 7. /TASS/. Russian nuclear capabilities can turn the US into radioactive ashes, Kurchatov Institute President Mikhail Kovalchuk said.

"They are not afraid of China because only we can turn America into nuclear radioactive ashes," Kovalchuk said in an interview with Marina Kim for the New World project, according to the footage of the interview that was broadcast on Solovyov Live television.

The Kurchatov Institute president also said that it was the US that used nuclear weapons against people in 1945, dropping bombs on Hiroshima and Nagasaki in Japan.
Haya amka wende Shule
 
7 JUN, 2024
Russia’s nuclear weapons can turn US into radioactive ashes — Kurchatov Institute chief
Mikhail Kovalchuk said that it was the US that used nuclear weapons against people in 1945, dropping bombs on Hiroshima and Nagasaki in Japan
MOSCOW, June 7. /TASS/. Russian nuclear capabilities can turn the US into radioactive ashes, Kurchatov Institute President Mikhail Kovalchuk said.

"They are not afraid of China because only we can turn America into nuclear radioactive ashes," Kovalchuk said in an interview with Marina Kim for the New World project, according to the footage of the interview that was broadcast on Solovyov Live television.

The Kurchatov Institute president also said that it was the US that used nuclear weapons against people in 1945, dropping bombs on Hiroshima and Nagasaki in Japan.
💩💩💩💩💩💩
 
Naona unadhania Russia ni Iraq au Syria au Libya…!! Huijui Russia hata kidogo wewe wala historia hujui, ungeulizia vita vya pili vya dunia nani alimdhibiti na kuipiga Germany, ujue wazi Russia nj hatari sana, jua hapo Ukraine NATO iko tangia vita vinaanza hadi leo, na bado wameshindwa kutoa Russia Ukraine, NATO wako kibao hapo Ukraine na wameshindwa, hiyo hadithi eti NATO sasa inaanza sijui kujiandaa ni uongo mtupu, NATO hakohoi mbele ya Russia
Unaweza kujifanya unajua kuliko wengine kumbe hujui lolote
Uliposema Russia alimdhibiti German as if alipigana one man show.
German alichangiwa na wote na ndiyo maana mwanzoni Russia alichakazwa vibaya mno almanusra Hittler afike moscow.

Upepo wa vita ulibadilika USA alipoingia vitani akiwakuta Britain na Russia wanapumlia machine
 
Bora kutoa maoni kwenye matokeo si mipango maana mipango yote ni mihemko na utimu.

USA na washirika kama wana kiburi kweli waingie Urusi.

PUTIN kama ana nguvu kweli aidhibiti Ukraine maana si ni kanchi kadogo tu, anapigana nacho miaka na miaka.
 
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana

Soma hii story: Putin ally threatens to use 'entire arsenal' of nuclear weapons if needed
NATO hatathubutu kumvamia Mrusi. Kinachofanywa sana ni kika mtu kucheza cards zake ..Western wamempa silaha Ukraine apige ndani ya Urusi, Urusi nae ameahidi kupeleka silaha kwa maadui wa West...hasa hawa Houth wa Yemen .Belarus, Iran, N.korea, venezuela na sasa yupo na nyambizi zake za nyuklia zimepaki pale Cuba.

So wakati Nato inapeleka mizinga pale ukraine, Wa houth pale Yemen wanaendelea kuwasherehesha mmarekani na nduguze.

Na its proven already mmarekani hawezi kusurvive vita na vikundi kama wahouth wa yemen ....jamaa wataendelea kulipua meli za ulaya pale kwao kama hawana akili nzuri. Bei ya insurance za meli zitapanda kuhofia usalama..na iyo itazidisha bei ya usafiri mara dufu na kuumiza uchumi wao wenyewe.

So ndugu game bado ni tight sana. Saivi bei ya kusafirisha container from China to Tanzania ine rise from dola 2500 mpaka dola 9000.

Mrusi anaendelea kuwashika pale pale panapouma zaidi
 
Haha mda wowote anakamatwa
Kawa ng'ombe eti
Kuna vita na vita na hii sio ya slaha kwani hawakuanza leo kuweka vikwazo
Kupigana mataifa makubwa hilo halitatokea
Uchumi ndio kila kitu
Wee ukikonda kunenepa kazi kama huna mlo mzuri
Tafakari
Mimi mswahili tu usijali sana
 
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana

Soma hii story: Putin ally threatens to use 'entire arsenal' of nuclear weapons if needed
Mkuu, Russia usiku wa kuamkia leo imechukua mazima mji wa Sumy.

Na safari ya kuisaka Kramatorsk imeanza rasmi.

Hivi tunavyoandika hapa vikosi vya wapiganaji wa Chechen wameshirikiana na vikosi vya Russia kuukamata mji huu.

Ukumbuke hadi leo ni vikosi hivi vya Chechen na Wagner ndivyo viko kazini mstari wa mbele.

Vikosi vya Russia viko nyuma ambapo baada ya kuteka sehemu huanza kazi za uchimbaji mahandaki na miundombinu muhimu.

Kama nikivyosema mwaka jana kwamba lengo la Russia ni kuchukua eneo zima la Donbuss.
 
Naona unadhania Russia ni Iraq au Syria au Libya…!! Huijui Russia hata kidogo wewe wala historia hujui, ungeulizia vita vya pili vya dunia nani alimdhibiti na kuipiga Germany, ujue wazi Russia nj hatari sana, jua hapo Ukraine NATO iko tangia vita vinaanza hadi leo, na bado wameshindwa kutoa Russia Ukraine, NATO wako kibao hapo Ukraine na wameshindwa, hiyo hadithi eti NATO sasa inaanza sijui kujiandaa ni uongo mtupu, NATO hakohoi mbele ya Russia
Hiyo historian ndo inayomfanya ashinde kuishi vizuri na majirani zake?
 
Back
Top Bottom