Naona Urusi imeshazungukwa na NATO tayari. Muda wowote anakamatwa

Naona Urusi imeshazungukwa na NATO tayari. Muda wowote anakamatwa

Kuna wakati hata naogopa kucoment maana mtu hata hajui Geographic ya Urusi na ulaya kwa ujumla anasema Urusi imezungukwa.

Mtu anafikiri URUSI ni kama Burundi. Hilo taifa Lina zaidi ya 1000 years na siku zote wanajua wapi vitani ya kuangushwa na kusambaratika. Hiyo hazijawahi na haitotokea.

Pili Kuna watu wanafikiri nyuklia zinazozungwa hapa ni vitoi. Hebu google comment za generals mbalimbali wa nchi za ulaya na NATO kwa ujumla kuhusu nyuklia war and Russian technology specifically.

Mwisho kwa Sasa Russia hakuna vita ndio maana maisha yao yanaendelea kama kawaida. Vita ipo maeneo yaliyokuwa zamani Ukraine na only 500,000 ya wanajeshi wake kwenye operation ya Kiev. Zaidi ya 1m wapi sehemu zingine wanalinda mipaka. Ndio maana wanafanya drills mbalimbali wanenda nchi zingine n.k kudhani eti wanajeshi wake wamechoka ni kijidanganya.

Vifaru main battle tank(5 generation) havipo msari wa mbele maana yake Bado hajatumia all resources.

Hao NATO wote uchumi wao uko hatarini maisha ya raia wao yameporomoka. Wakisema waingie vitani raia wao wataandamana na natabiri USA wataingia kwenye civil war
We sikiliza, Vita ya Urusi na Nato haitahusu Vifaru wala Askari wa nchi kavu, usha ambiwa itahusu kubadilushana nucler, Vifaru na zile meli za Kubeba ndege ni kwa ajili ya kupigana vita ndogo ndogo hizi, Vita kubwa zitakuwa ni Inter continental Balistoc Missaile tu.
 
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana
NATO pia wanatambua Urusi ana ant satelite weapons, muda wowote URUSI anaweza kushusha chini satelite, au kuzijam, So Kabla NATO hawajapigana na Urusi lazima wagundue techinolojia ya kuzuia silaha za kulipua Satelite, Pia lazima Ulaya iwe na Mitambo ya kisasa ya kuzui makombola ya nuclear kwa sasa hawana na mwisho lazima wajue itakuwa ndio vita ya mwisho.
Usidhani itapigwanwa vita then life iendelee kama ilivyo sasa
 
Kuna wakati hata naogopa kucoment maana mtu hata hajui Geographic ya Urusi na ulaya kwa ujumla anasema Urusi imezungukwa.

Mtu anafikiri URUSI ni kama Burundi. Hilo taifa Lina zaidi ya 1000 years na siku zote wanajua wapi vitani ya kuangushwa na kusambaratika. Hiyo hazijawahi na haitotokea.

Pili Kuna watu wanafikiri nyuklia zinazozungwa hapa ni vitoi. Hebu google comment za generals mbalimbali wa nchi za ulaya na NATO kwa ujumla kuhusu nyuklia war and Russian technology specifically.

Mwisho kwa Sasa Russia hakuna vita ndio maana maisha yao yanaendelea kama kawaida. Vita ipo maeneo yaliyokuwa zamani Ukraine na only 500,000 ya wanajeshi wake kwenye operation ya Kiev. Zaidi ya 1m wapi sehemu zingine wanalinda mipaka. Ndio maana wanafanya drills mbalimbali wanenda nchi zingine n.k kudhani eti wanajeshi wake wamechoka ni kijidanganya.

Vifaru main battle tank(5 generation) havipo msari wa mbele maana yake Bado hajatumia all resources.

Hao NATO wote uchumi wao uko hatarini maisha ya raia wao yameporomoka. Wakisema waingie vitani raia wao wataandamana na natabiri USA wataingia kwenye civil war
Pia anazania kupigana na Urusu itakuwa ni sawa na kupigana na Iraq
 
Kwani Putin ni mmakonde?
20240602_011734.jpg
 
"wazungu wana akili sana" mtoa mada mrusi sio mzungu? Au me cjui anyway mmasai ni mmasai tu si mtu
Ulifikiri umeuliza swali la maana, ila unajua wanaojiita ni wazungu (whites) huko Ulaya wanatoka nchi zipi?
 
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana
kwani Putin alisema hawezi kupigwa na NATO?
ila ni kwamba baada ya kuanza kumpiga ndo mtagundua bora tusingempiga...ngoja itokee ndo utanielewa nasema nini,NOTE MY WORD Urusi kwenye hii vita hatokuwa peke yake kama mnavyodhani
 
Putin alikosa busara,alidhani nchi za Magharibi hazitaungana hasa Ujerumani na Ufaransa kumdhibiti Putin.
Akategemea China huku China yenyewe inajua kuunga Putin ni kuwekewa vikwazo vya kubiashara na nchi za Magharibi.
Vile vile China anataka Russia dhaifu.
Kuungwa mkono na nchi za kiafrika hakuna impact ya kiuchumi wala kijeshi.
Iran nayo fuata mkumbo na drones zake ameishapoteza President Raisi.
Uturuki yeye anakula na kupuliza.
Kiduku wa Korea Kaskazini yeye anataka kufa na mtu siyo ishara nzuri kwake kwani Japan na Korea Kusini,Taiwan,Australia na Marekani wameongeza nguvu ya kivita kumdhibiti Kim.
Fact
 
Back
Top Bottom