Naona Urusi imeshazungukwa na NATO tayari. Muda wowote anakamatwa

Naona Urusi imeshazungukwa na NATO tayari. Muda wowote anakamatwa

Mkuu siyo jambo rahisi! Usifikiri ni mchezo wa Yanga na Simba ambapo sisi huku bongo ni kushangilia tu!
Russia siyo Afghanstan wala siyo Iraq,Yugoslavia,Iraq nk
Russia imeanza kusogeza manowari zake za kinuklea Cuba na Venezuela!
Kule katikati ya Ulaya kuna Kanigrad ambako ana silaha za kutosha tu.
Sisi huku tuombe tu Mwenyezi Mungu apishilie mbali balaa hilo.
Si muda atapeleka Serbia wale jamaa bado wana usongo mkubwa na Nato
 
Kuna wakati hata naogopa kucoment maana mtu hata hajui Geographic ya Urusi na ulaya kwa ujumla anasema Urusi imezungukwa.

Mtu anafikiri URUSI ni kama Burundi. Hilo taifa Lina zaidi ya 1000 years na siku zote wanajua wapi vitani ya kuangushwa na kusambaratika. Hiyo hazijawahi na haitotokea.

Pili Kuna watu wanafikiri nyuklia zinazozungwa hapa ni vitoi. Hebu google comment za generals mbalimbali wa nchi za ulaya na NATO kwa ujumla kuhusu nyuklia war and Russian technology specifically.

Mwisho kwa Sasa Russia hakuna vita ndio maana maisha yao yanaendelea kama kawaida. Vita ipo maeneo yaliyokuwa zamani Ukraine na only 500,000 ya wanajeshi wake kwenye operation ya Kiev. Zaidi ya 1m wapi sehemu zingine wanalinda mipaka. Ndio maana wanafanya drills mbalimbali wanenda nchi zingine n.k kudhani eti wanajeshi wake wamechoka ni kijidanganya.

Vifaru main battle tank(5 generation) havipo msari wa mbele maana yake Bado hajatumia all resources.

Hao NATO wote uchumi wao uko hatarini maisha ya raia wao yameporomoka. Wakisema waingie vitani raia wao wataandamana na natabiri USA wataingia kwenye civil waYote
Kwenye Uchumi wa west umeboronga. Kama uchumi wa west unayumba, Russia ni zaidi
 
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana


Naona unadhania Russia ni Iraq au Syria au Libya…!! Huijui Russia hata kidogo wewe wala historia hujui, ungeulizia vita vya pili vya dunia nani alimdhibiti na kuipiga Germany, ujue wazi Russia nj hatari sana, jua hapo Ukraine NATO iko tangia vita vinaanza hadi leo, na bado wameshindwa kutoa Russia Ukraine, NATO wako kibao hapo Ukraine na wameshindwa, hiyo hadithi eti NATO sasa inaanza sijui kujiandaa ni uongo mtupu, NATO hakohoi mbele ya Russia
 
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana
Nakushauri kajisomee Kijitabu cha Tim Marshall....Prisoner of Geography...bila shaka utatoa maoni yako vizuri Ndugu.
 


1717943003357.png
 
🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺‼️Join Orchestra‼️
Salary from 2500€, high bonuses, payment guarantees , internal awards, health insurance, modern weapons, payments for any injury or death.

Join Wagner now‼️
☎️ +7 (988) 604-32-95
☎️ 19 +7 (988) 322-43-37

📍Krym
 

Attachments

  • IMG_20240609_172723.jpg
    IMG_20240609_172723.jpg
    276.6 KB · Views: 4
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana
Hivi hata Ramani ya Urusi unaijua? Ukitoa magharibi kwa Urusi ambapo kunapaka na Ulaya Urusi pia anapakana na North Korea, China, Mongolia, Kazakhstan etc kifupi hizo nchi 3 China, Mongolia na Kazakhstan ndio zina mpaka mkubwa kushinda zote.
 
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana
Kwani Putin ni mmakonde?
 
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana
Wazungu gani? Kwani Putin siyo mzungu?
 
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.

Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.

Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.

Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.

Wazungu wana akili sana
Akili gani wanazo wewe hivi we una uhakika gani kama Mrusi na yeye alikuwa hajipangi au unahakika gani kama Mrusi anatumia full power yake.

Hizo akili zako ziko mbali sana na elimu ya military strategy nenda ukalime bora.
 
Back
Top Bottom