The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Ukimtaja hitler usisahau kumuwek wenzake netanyahu na blairKwenye sabato ya leo nimepata muda kufikiria mambo ya kiimani hasa suala la motoni na peponi kwa mujibu wa imani yangu ya kikristo. Baada ya kujikumbusha zile amri 10 nimejiridhisha kuwa vijana wa sasa tunaweza kuingia motoni kwa sababu za kipuuzi ambazo nyingi zinatokana na amri ya USIZINI na USISEME UONGO.
Wakati labda kina Hitler, Herode, Yuda, Bokasa na makatili wengine kama wataingia motoni itakuwa kwa sasabu zenye uzito lakini hiki kizazi cha amapiano kinaweza kuadhibiwa kwa mambo ya kijinga. Tutazame mambo kadhaa ya kipumbavu yanayofanywa na wengi kwa sasa;
1. KUTAMKA MATUSI KIHOLELA.
Hili la kutamka matusi limeota mizizi. Shetani kagundua namna nyingi ya kusaidia wafuasi wake kutamka matusi katika hali isiyoleta taharuki. Siku hizi ukienda kutazama mpira uwanjani au Bar ni kawaida sana watu kutamka matusi ya nguoni katika namna iliyoboreshwa. Kwa mfani K*mae inatamkwa ***. Na ile K***NINA inatamkwa MANINER. Baadhi hata wakiwa wanamsikiliza kiongozi wa dini hujikuta wanatamka "Q***make hii point kali sana".
2. UONGO
Hii dhambi ipo kwenye mambo mengi sana. Na pia imechangia marafiki wengi kuwa maadui. Imefikia point hata wasanii hutumia uongo kufanikisha agenda zao. Wenyewe wanaita KIKI. Hii dhambi imevunja na inaendelea kuvunja ndoa nyingi mno.
3. PUNYETO
Katika vitu ambavyo vimewahi kumkasirisha Mungu ni mwanaume kumwagia nje (Mwanzo 38). Dhambi ya punyeto itakula vichwa vingi sana siku ya mwisho. Nadhani mpiga punyeto akikutana motoni na mtu kama Mobutu aliyewahi kuchinja wanafunzi zaidi ya 200 anaweza kupigwa kwanza maana ni uzembe.
4. ZINAA
Inajulikana pia kama ngono. Tendo la ndoa nje ya ndoa. Lakini tofauti na wapenda ngono wa vizazi vingine nadhani kizazi cha Amapiano kinaweza kuwa na moto special kwa wengi wao kutaka kufurahisha nafsi zao kwa matendo ya ngono yasiyo ya kawaida (sexual fantasies). WANAOZAMA CHUMVINI nadhani watakuwa mstari qa mbele kabisa kuelekea motoni.
Ongezea zingine TUJIKUMBUSHE.
True✔️huu unazi, mda huu niko room, sina manzi, nakwea mnazi tu siyo kama napenda
kuna phaller mda huu yupo Tabata Password Lodge, anaunga kikojoleo na kumwagia pazuri
tunakufa wote tunakutana chunguni si ujinga huu ?
Kwamba kwa mwanamke tunafata utelezi tuu🤣🤣🤣Mwanzo 38 inasema usikojoe nje kama uko na mwanamke, sasa kama mtu hayuko na mwanamke na akaamua yeye mwenyewe kujikojolesha nje ubaya ama dhambi inatoka wapi?
Usisahau kwamba utamu wanaume hua anao yeye mwenyewe, kwa mwanamke hua anaenda kutafta utelezi tu.
Wewe unaweza tamka matusi mbele ya baba au mama yako?Umeandika sababu za kijinga Sana,eti matusi?
Ukitukana Matusi unakuwa umewaita mapepo wachafu toka kuzimuMatusi dhambi?
Mifumo mibovu ya malezi hawàoni fursaMimi naona vijana wa Tz chanzo Chao kikuu cha stress ni kuamini serikali ina pesa nyingi na unatakiwa kuajiri vijana wore wanaohitaji ajira ..
Kwa kuwa hili haliwezekani ndo chanzo cha msongo wa mawazo na changamoto za afya ya akili ...ndo matusi na hayo mengine yanafata....
Kwanza kabla ya yote Jehanam hakutoshaniKwenye sabato ya leo nimepata muda kufikiria mambo ya kiimani hasa suala la motoni na peponi kwa mujibu wa imani yangu ya kikristo. Baada ya kujikumbusha zile amri 10 nimejiridhisha kuwa vijana wa sasa tunaweza kuingia motoni kwa sababu za kipuuzi ambazo nyingi zinatokana na amri ya USIZINI na USISEME UONGO.
Wakati labda kina Hitler, Herode, Yuda, Bokasa na makatili wengine kama wataingia motoni itakuwa kwa sasabu zenye uzito lakini hiki kizazi cha amapiano kinaweza kuadhibiwa kwa mambo ya kijinga. Tutazame mambo kadhaa ya kipumbavu yanayofanywa na wengi kwa sasa;
1. KUTAMKA MATUSI KIHOLELA.
Hili la kutamka matusi limeota mizizi. Shetani kagundua namna nyingi ya kusaidia wafuasi wake kutamka matusi katika hali isiyoleta taharuki. Siku hizi ukienda kutazama mpira uwanjani au Bar ni kawaida sana watu kutamka matusi ya nguoni katika namna iliyoboreshwa. Kwa mfani K*mae inatamkwa ***. Na ile K***NINA inatamkwa MANINER. Baadhi hata wakiwa wanamsikiliza kiongozi wa dini hujikuta wanatamka "Q***make hii point kali sana".
2. UONGO
Hii dhambi ipo kwenye mambo mengi sana. Na pia imechangia marafiki wengi kuwa maadui. Imefikia point hata wasanii hutumia uongo kufanikisha agenda zao. Wenyewe wanaita KIKI. Hii dhambi imevunja na inaendelea kuvunja ndoa nyingi mno.
3. PUNYETO
Katika vitu ambavyo vimewahi kumkasirisha Mungu ni mwanaume kumwagia nje (Mwanzo 38). Dhambi ya punyeto itakula vichwa vingi sana siku ya mwisho. Nadhani mpiga punyeto akikutana motoni na mtu kama Mobutu aliyewahi kuchinja wanafunzi zaidi ya 200 anaweza kupigwa kwanza maana ni uzembe.
4. ZINAA
Inajulikana pia kama ngono. Tendo la ndoa nje ya ndoa. Lakini tofauti na wapenda ngono wa vizazi vingine nadhani kizazi cha Amapiano kinaweza kuwa na moto special kwa wengi wao kutaka kufurahisha nafsi zao kwa matendo ya ngono yasiyo ya kawaida (sexual fantasies). WANAOZAMA CHUMVINI nadhani watakuwa mstari qa mbele kabisa kuelekea motoni.
Ongezea zingine TUJIKUMBUSHE.
Hakuna JAHANAMU.Kwenye sabato ya leo nimepata muda kufikiria mambo ya kiimani hasa suala la motoni na peponi kwa mujibu wa imani yangu ya kikristo. Baada ya kujikumbusha zile amri 10 nimejiridhisha kuwa vijana wa sasa tunaweza kuingia motoni kwa sababu za kipuuzi ambazo nyingi zinatokana na amri ya USIZINI na USISEME UONGO.
Wakati labda kina Hitler, Herode, Yuda, Bokasa na makatili wengine kama wataingia motoni itakuwa kwa sasabu zenye uzito lakini hiki kizazi cha amapiano kinaweza kuadhibiwa kwa mambo ya kijinga. Tutazame mambo kadhaa ya kipumbavu yanayofanywa na wengi kwa sasa;
1. KUTAMKA MATUSI KIHOLELA.
Hili la kutamka matusi limeota mizizi. Shetani kagundua namna nyingi ya kusaidia wafuasi wake kutamka matusi katika hali isiyoleta taharuki. Siku hizi ukienda kutazama mpira uwanjani au Bar ni kawaida sana watu kutamka matusi ya nguoni katika namna iliyoboreshwa. Kwa mfani K*mae inatamkwa ***. Na ile K***NINA inatamkwa MANINER. Baadhi hata wakiwa wanamsikiliza kiongozi wa dini hujikuta wanatamka "Q***make hii point kali sana".
2. UONGO
Hii dhambi ipo kwenye mambo mengi sana. Na pia imechangia marafiki wengi kuwa maadui. Imefikia point hata wasanii hutumia uongo kufanikisha agenda zao. Wenyewe wanaita KIKI. Hii dhambi imevunja na inaendelea kuvunja ndoa nyingi mno.
3. PUNYETO
Katika vitu ambavyo vimewahi kumkasirisha Mungu ni mwanaume kumwagia nje (Mwanzo 38). Dhambi ya punyeto itakula vichwa vingi sana siku ya mwisho. Nadhani mpiga punyeto akikutana motoni na mtu kama Mobutu aliyewahi kuchinja wanafunzi zaidi ya 200 anaweza kupigwa kwanza maana ni uzembe.
4. ZINAA
Inajulikana pia kama ngono. Tendo la ndoa nje ya ndoa. Lakini tofauti na wapenda ngono wa vizazi vingine nadhani kizazi cha Amapiano kinaweza kuwa na moto special kwa wengi wao kutaka kufurahisha nafsi zao kwa matendo ya ngono yasiyo ya kawaida (sexual fantasies). WANAOZAMA CHUMVINI nadhani watakuwa mstari qa mbele kabisa kuelekea motoni.
Ongezea zingine TUJIKUMBUSHE.
Amekaririshwa huyo...QUMAMAMAKE MOTO HAKUNA WALA DHAMBI HAKUNA, KAMA UNABISHA THIBITISHA MOTO UPO UPANDE GANI WA DUNIA? Ngoja nialike na wenyangu cc ATHEST MPO WAPI MWANA ASIJE AKANISHINDA..MJE MJE TUMPIGE MASWALI MPAKA AKIMBIE UZIWAKE.
Mnakuwaga na ujuaji wa kisenge sana aisee.... au unadhani kusema hakuna Mungu ndo utaonekana mjanja?Amekaririshwa huyo...
Ukiomba ushahidi anakutajia maandiko, ambayo hana ushahidi kama ni maneno ya mungu, kwa sababu hawezi sema mungu alipo kwa sababu hana ushahidi.
mkuu umemsahau na kamjomba kao george bushUkimtaja hitler usisahau kumuwek wenzake netanyahu na blair
Huko jehanamu wewe umeshawahi fika?Kwenye sabato ya leo nimepata muda kufikiria mambo ya kiimani hasa suala la motoni na peponi kwa mujibu wa imani yangu ya kikristo. Baada ya kujikumbusha zile amri 10 nimejiridhisha kuwa vijana wa sasa tunaweza kuingia motoni kwa sababu za kipuuzi ambazo nyingi zinatokana na amri ya USIZINI na USISEME UONGO.
Wakati labda kina Hitler, Herode, Yuda, Bokasa na makatili wengine kama wataingia motoni itakuwa kwa sasabu zenye uzito lakini hiki kizazi cha amapiano kinaweza kuadhibiwa kwa mambo ya kijinga. Tutazame mambo kadhaa ya kipumbavu yanayofanywa na wengi kwa sasa;
1. KUTAMKA MATUSI KIHOLELA.
Hili la kutamka matusi limeota mizizi. Shetani kagundua namna nyingi ya kusaidia wafuasi wake kutamka matusi katika hali isiyoleta taharuki. Siku hizi ukienda kutazama mpira uwanjani au Bar ni kawaida sana watu kutamka matusi ya nguoni katika namna iliyoboreshwa. Kwa mfani K*mae inatamkwa ***. Na ile K***NINA inatamkwa MANINER. Baadhi hata wakiwa wanamsikiliza kiongozi wa dini hujikuta wanatamka "Q***make hii point kali sana".
2. UONGO
Hii dhambi ipo kwenye mambo mengi sana. Na pia imechangia marafiki wengi kuwa maadui. Imefikia point hata wasanii hutumia uongo kufanikisha agenda zao. Wenyewe wanaita KIKI. Hii dhambi imevunja na inaendelea kuvunja ndoa nyingi mno.
3. PUNYETO
Katika vitu ambavyo vimewahi kumkasirisha Mungu ni mwanaume kumwagia nje (Mwanzo 38). Dhambi ya punyeto itakula vichwa vingi sana siku ya mwisho. Nadhani mpiga punyeto akikutana motoni na mtu kama Mobutu aliyewahi kuchinja wanafunzi zaidi ya 200 anaweza kupigwa kwanza maana ni uzembe.
4. ZINAA
Inajulikana pia kama ngono. Tendo la ndoa nje ya ndoa. Lakini tofauti na wapenda ngono wa vizazi vingine nadhani kizazi cha Amapiano kinaweza kuwa na moto special kwa wengi wao kutaka kufurahisha nafsi zao kwa matendo ya ngono yasiyo ya kawaida (sexual fantasies). WANAOZAMA CHUMVINI nadhani watakuwa mstari qa mbele kabisa kuelekea motoni.
Ongezea zingine TUJIKUMBUSHE.