Naona vijana wa sasa wataingia jehanam kwa sababu za kipuuzi sana. Inasikitisha

Naona vijana wa sasa wataingia jehanam kwa sababu za kipuuzi sana. Inasikitisha

Mwanzo 38 inasema usikojoe nje kama uko na mwanamke, sasa kama mtu hayuko na mwanamke na akaamua yeye mwenyewe kujikojolesha nje ubaya ama dhambi inatoka wapi?

Usisahau kwamba utamu wanaume hua anao yeye mwenyewe, kwa mwanamke hua anaenda kutafta utelezi tu.

Matusi sio dhambi, haipo kwenye amri 10 za mungu so haiwezi kupeleka watu motoni.

Mwisho, dini ni utapeli kama utapeli mwingine Mungu hayupo.
 
Kwenye sabato ya leo nimepata muda kufikiria mambo ya kiimani hasa suala la motoni na peponi kwa mujibu wa imani yangu ya kikristo. Baada ya kujikumbusha zile amri 10 nimejiridhisha kuwa vijana wa sasa tunaweza kuingia motoni kwa sababu za kipuuzi ambazo nyingi zinatokana na amri ya USIZINI na USISEME UONGO.

Wakati labda kina Hitler, Herode, Yuda, Bokasa na makatili wengine kama wataingia motoni itakuwa kwa sasabu zenye uzito lakini hiki kizazi cha amapiano kinaweza kuadhibiwa kwa mambo ya kijinga. Tutazame mambo kadhaa ya kipumbavu yanayofanywa na wengi kwa sasa;

1. KUTAMKA MATUSI KIHOLELA.
Hili la kutamka matusi limeota mizizi. Shetani kagundua namna nyingi ya kusaidia wafuasi wake kutamka matusi katika hali isiyoleta taharuki. Siku hizi ukienda kutazama mpira uwanjani au Bar ni kawaida sana watu kutamka matusi ya nguoni katika namna iliyoboreshwa. Kwa mfani K*mae inatamkwa ***. Na ile K***NINA inatamkwa MANINER. Baadhi hata wakiwa wanamsikiliza kiongozi wa dini hujikuta wanatamka "Q***make hii point kali sana".

2. UONGO
Hii dhambi ipo kwenye mambo mengi sana. Na pia imechangia marafiki wengi kuwa maadui. Imefikia point hata wasanii hutumia uongo kufanikisha agenda zao. Wenyewe wanaita KIKI. Hii dhambi imevunja na inaendelea kuvunja ndoa nyingi mno.

3. PUNYETO
Katika vitu ambavyo vimewahi kumkasirisha Mungu ni mwanaume kumwagia nje (Mwanzo 38). Dhambi ya punyeto itakula vichwa vingi sana siku ya mwisho. Nadhani mpiga punyeto akikutana motoni na mtu kama Mobutu aliyewahi kuchinja wanafunzi zaidi ya 200 anaweza kupigwa kwanza maana ni uzembe.

4. ZINAA
Inajulikana pia kama ngono. Tendo la ndoa nje ya ndoa. Lakini tofauti na wapenda ngono wa vizazi vingine nadhani kizazi cha Amapiano kinaweza kuwa na moto special kwa wengi wao kutaka kufurahisha nafsi zao kwa matendo ya ngono yasiyo ya kawaida (sexual fantasies). WANAOZAMA CHUMVINI nadhani watakuwa mstari qa mbele kabisa kuelekea motoni.

Ongezea zingine TUJIKUMBUSHE.
Ukimtaja hitler usisahau kumuwek wenzake netanyahu na blair
 
Mwanzo 38 inasema usikojoe nje kama uko na mwanamke, sasa kama mtu hayuko na mwanamke na akaamua yeye mwenyewe kujikojolesha nje ubaya ama dhambi inatoka wapi?

Usisahau kwamba utamu wanaume hua anao yeye mwenyewe, kwa mwanamke hua anaenda kutafta utelezi tu.
Kwamba kwa mwanamke tunafata utelezi tuu🤣🤣🤣
 
Mimi naona vijana wa Tz chanzo Chao kikuu cha stress ni kuamini serikali ina pesa nyingi na unatakiwa kuajiri vijana wore wanaohitaji ajira ..
Kwa kuwa hili haliwezekani ndo chanzo cha msongo wa mawazo na changamoto za afya ya akili ...ndo matusi na hayo mengine yanafata....
Mifumo mibovu ya malezi hawàoni fursa
 
Mbinguni kwa Mwaka Dunia nzima hawafiki hata watu hamsini wanaoingia wengi ni kuzimu
 
Kwenye sabato ya leo nimepata muda kufikiria mambo ya kiimani hasa suala la motoni na peponi kwa mujibu wa imani yangu ya kikristo. Baada ya kujikumbusha zile amri 10 nimejiridhisha kuwa vijana wa sasa tunaweza kuingia motoni kwa sababu za kipuuzi ambazo nyingi zinatokana na amri ya USIZINI na USISEME UONGO.

Wakati labda kina Hitler, Herode, Yuda, Bokasa na makatili wengine kama wataingia motoni itakuwa kwa sasabu zenye uzito lakini hiki kizazi cha amapiano kinaweza kuadhibiwa kwa mambo ya kijinga. Tutazame mambo kadhaa ya kipumbavu yanayofanywa na wengi kwa sasa;

1. KUTAMKA MATUSI KIHOLELA.
Hili la kutamka matusi limeota mizizi. Shetani kagundua namna nyingi ya kusaidia wafuasi wake kutamka matusi katika hali isiyoleta taharuki. Siku hizi ukienda kutazama mpira uwanjani au Bar ni kawaida sana watu kutamka matusi ya nguoni katika namna iliyoboreshwa. Kwa mfani K*mae inatamkwa ***. Na ile K***NINA inatamkwa MANINER. Baadhi hata wakiwa wanamsikiliza kiongozi wa dini hujikuta wanatamka "Q***make hii point kali sana".

2. UONGO
Hii dhambi ipo kwenye mambo mengi sana. Na pia imechangia marafiki wengi kuwa maadui. Imefikia point hata wasanii hutumia uongo kufanikisha agenda zao. Wenyewe wanaita KIKI. Hii dhambi imevunja na inaendelea kuvunja ndoa nyingi mno.

3. PUNYETO
Katika vitu ambavyo vimewahi kumkasirisha Mungu ni mwanaume kumwagia nje (Mwanzo 38). Dhambi ya punyeto itakula vichwa vingi sana siku ya mwisho. Nadhani mpiga punyeto akikutana motoni na mtu kama Mobutu aliyewahi kuchinja wanafunzi zaidi ya 200 anaweza kupigwa kwanza maana ni uzembe.

4. ZINAA
Inajulikana pia kama ngono. Tendo la ndoa nje ya ndoa. Lakini tofauti na wapenda ngono wa vizazi vingine nadhani kizazi cha Amapiano kinaweza kuwa na moto special kwa wengi wao kutaka kufurahisha nafsi zao kwa matendo ya ngono yasiyo ya kawaida (sexual fantasies). WANAOZAMA CHUMVINI nadhani watakuwa mstari qa mbele kabisa kuelekea motoni.

Ongezea zingine TUJIKUMBUSHE.
Kwanza kabla ya yote Jehanam hakutoshani

Jehanam ni kibonde kidogo tu kilichopo Israel (Gehenna) ambapo walikuwa wakichoma maiti miaka ya zamani.

Kwanini Mungu wako anaangalia watu wanauana ilihali anauwezo wa kuzuia hayo halafu aje kuhangaika na wapiga punyeto!?

_20231015_080202.JPG

Your God is illogical

He/she doesn't exist.
 
Kwenye sabato ya leo nimepata muda kufikiria mambo ya kiimani hasa suala la motoni na peponi kwa mujibu wa imani yangu ya kikristo. Baada ya kujikumbusha zile amri 10 nimejiridhisha kuwa vijana wa sasa tunaweza kuingia motoni kwa sababu za kipuuzi ambazo nyingi zinatokana na amri ya USIZINI na USISEME UONGO.

Wakati labda kina Hitler, Herode, Yuda, Bokasa na makatili wengine kama wataingia motoni itakuwa kwa sasabu zenye uzito lakini hiki kizazi cha amapiano kinaweza kuadhibiwa kwa mambo ya kijinga. Tutazame mambo kadhaa ya kipumbavu yanayofanywa na wengi kwa sasa;

1. KUTAMKA MATUSI KIHOLELA.
Hili la kutamka matusi limeota mizizi. Shetani kagundua namna nyingi ya kusaidia wafuasi wake kutamka matusi katika hali isiyoleta taharuki. Siku hizi ukienda kutazama mpira uwanjani au Bar ni kawaida sana watu kutamka matusi ya nguoni katika namna iliyoboreshwa. Kwa mfani K*mae inatamkwa ***. Na ile K***NINA inatamkwa MANINER. Baadhi hata wakiwa wanamsikiliza kiongozi wa dini hujikuta wanatamka "Q***make hii point kali sana".

2. UONGO
Hii dhambi ipo kwenye mambo mengi sana. Na pia imechangia marafiki wengi kuwa maadui. Imefikia point hata wasanii hutumia uongo kufanikisha agenda zao. Wenyewe wanaita KIKI. Hii dhambi imevunja na inaendelea kuvunja ndoa nyingi mno.

3. PUNYETO
Katika vitu ambavyo vimewahi kumkasirisha Mungu ni mwanaume kumwagia nje (Mwanzo 38). Dhambi ya punyeto itakula vichwa vingi sana siku ya mwisho. Nadhani mpiga punyeto akikutana motoni na mtu kama Mobutu aliyewahi kuchinja wanafunzi zaidi ya 200 anaweza kupigwa kwanza maana ni uzembe.

4. ZINAA
Inajulikana pia kama ngono. Tendo la ndoa nje ya ndoa. Lakini tofauti na wapenda ngono wa vizazi vingine nadhani kizazi cha Amapiano kinaweza kuwa na moto special kwa wengi wao kutaka kufurahisha nafsi zao kwa matendo ya ngono yasiyo ya kawaida (sexual fantasies). WANAOZAMA CHUMVINI nadhani watakuwa mstari qa mbele kabisa kuelekea motoni.

Ongezea zingine TUJIKUMBUSHE.
Hakuna JAHANAMU.
 
QUMAMAMAKE MOTO HAKUNA WALA DHAMBI HAKUNA, KAMA UNABISHA THIBITISHA MOTO UPO UPANDE GANI WA DUNIA? Ngoja nialike na wenyangu cc ATHEST MPO WAPI MWANA ASIJE AKANISHINDA..MJE MJE TUMPIGE MASWALI MPAKA AKIMBIE UZIWAKE.
Amekaririshwa huyo...

Ukiomba ushahidi anakutajia maandiko, ambayo hana ushahidi kama ni maneno ya mungu, kwa sababu hawezi sema mungu alipo kwa sababu hana ushahidi.
 
Amekaririshwa huyo...

Ukiomba ushahidi anakutajia maandiko, ambayo hana ushahidi kama ni maneno ya mungu, kwa sababu hawezi sema mungu alipo kwa sababu hana ushahidi.
Mnakuwaga na ujuaji wa kisenge sana aisee.... au unadhani kusema hakuna Mungu ndo utaonekana mjanja?
 
Kila mtu ashinde mechi zake wa mbinguni waende mbinguni wa motoni waende motoni hamna haja ya kuargue
 
Kwenye sabato ya leo nimepata muda kufikiria mambo ya kiimani hasa suala la motoni na peponi kwa mujibu wa imani yangu ya kikristo. Baada ya kujikumbusha zile amri 10 nimejiridhisha kuwa vijana wa sasa tunaweza kuingia motoni kwa sababu za kipuuzi ambazo nyingi zinatokana na amri ya USIZINI na USISEME UONGO.

Wakati labda kina Hitler, Herode, Yuda, Bokasa na makatili wengine kama wataingia motoni itakuwa kwa sasabu zenye uzito lakini hiki kizazi cha amapiano kinaweza kuadhibiwa kwa mambo ya kijinga. Tutazame mambo kadhaa ya kipumbavu yanayofanywa na wengi kwa sasa;

1. KUTAMKA MATUSI KIHOLELA.
Hili la kutamka matusi limeota mizizi. Shetani kagundua namna nyingi ya kusaidia wafuasi wake kutamka matusi katika hali isiyoleta taharuki. Siku hizi ukienda kutazama mpira uwanjani au Bar ni kawaida sana watu kutamka matusi ya nguoni katika namna iliyoboreshwa. Kwa mfani K*mae inatamkwa ***. Na ile K***NINA inatamkwa MANINER. Baadhi hata wakiwa wanamsikiliza kiongozi wa dini hujikuta wanatamka "Q***make hii point kali sana".

2. UONGO
Hii dhambi ipo kwenye mambo mengi sana. Na pia imechangia marafiki wengi kuwa maadui. Imefikia point hata wasanii hutumia uongo kufanikisha agenda zao. Wenyewe wanaita KIKI. Hii dhambi imevunja na inaendelea kuvunja ndoa nyingi mno.

3. PUNYETO
Katika vitu ambavyo vimewahi kumkasirisha Mungu ni mwanaume kumwagia nje (Mwanzo 38). Dhambi ya punyeto itakula vichwa vingi sana siku ya mwisho. Nadhani mpiga punyeto akikutana motoni na mtu kama Mobutu aliyewahi kuchinja wanafunzi zaidi ya 200 anaweza kupigwa kwanza maana ni uzembe.

4. ZINAA
Inajulikana pia kama ngono. Tendo la ndoa nje ya ndoa. Lakini tofauti na wapenda ngono wa vizazi vingine nadhani kizazi cha Amapiano kinaweza kuwa na moto special kwa wengi wao kutaka kufurahisha nafsi zao kwa matendo ya ngono yasiyo ya kawaida (sexual fantasies). WANAOZAMA CHUMVINI nadhani watakuwa mstari qa mbele kabisa kuelekea motoni.

Ongezea zingine TUJIKUMBUSHE.
Huko jehanamu wewe umeshawahi fika?
 
Back
Top Bottom