Naona vijana wa sasa wataingia jehanam kwa sababu za kipuuzi sana. Inasikitisha

Naona vijana wa sasa wataingia jehanam kwa sababu za kipuuzi sana. Inasikitisha

Mwanzo 38 inasema usikojoe nje kama uko na mwanamke, sasa kama mtu hayuko na mwanamke na akaamua yeye mwenyewe kujikojolesha nje ubaya ama dhambi inatoka wapi?

Usisahau kwamba utamu wanaume hua anao yeye mwenyewe, kwa mwanamke hua anaenda kutafta utelezi tu.

Matusi sio dhambi, haipo kwenye amri 10 za mungu so haiwezi kupeleka watu motoni.

Mwisho, dini ni utapeli kama utapeli mwingine Mungu hayupo.
Mhubiri 5:2
 
Kwenye sabato ya leo nimepata muda kufikiria mambo ya kiimani hasa suala la motoni na peponi kwa mujibu wa imani yangu ya kikristo. Baada ya kujikumbusha zile amri 10 nimejiridhisha kuwa vijana wa sasa tunaweza kuingia motoni kwa sababu za kipuuzi ambazo nyingi zinatokana na amri ya USIZINI na USISEME UONGO.

Wakati labda kina Hitler, Herode, Yuda, Bokasa na makatili wengine kama wataingia motoni itakuwa kwa sasabu zenye uzito lakini hiki kizazi cha amapiano kinaweza kuadhibiwa kwa mambo ya kijinga. Tutazame mambo kadhaa ya kipumbavu yanayofanywa na wengi kwa sasa;

1. KUTAMKA MATUSI KIHOLELA.
Hili la kutamka matusi limeota mizizi. Shetani kagundua namna nyingi ya kusaidia wafuasi wake kutamka matusi katika hali isiyoleta taharuki. Siku hizi ukienda kutazama mpira uwanjani au Bar ni kawaida sana watu kutamka matusi ya nguoni katika namna iliyoboreshwa. Kwa mfani K*mae inatamkwa ***. Na ile K***NINA inatamkwa MANINER. Baadhi hata wakiwa wanamsikiliza kiongozi wa dini hujikuta wanatamka "Q***make hii point kali sana".

2. UONGO
Hii dhambi ipo kwenye mambo mengi sana. Na pia imechangia marafiki wengi kuwa maadui. Imefikia point hata wasanii hutumia uongo kufanikisha agenda zao. Wenyewe wanaita KIKI. Hii dhambi imevunja na inaendelea kuvunja ndoa nyingi mno.

3. PUNYETO
Katika vitu ambavyo vimewahi kumkasirisha Mungu ni mwanaume kumwagia nje (Mwanzo 38). Dhambi ya punyeto itakula vichwa vingi sana siku ya mwisho. Nadhani mpiga punyeto akikutana motoni na mtu kama Mobutu aliyewahi kuchinja wanafunzi zaidi ya 200 anaweza kupigwa kwanza maana ni uzembe.

4. ZINAA
Inajulikana pia kama ngono. Tendo la ndoa nje ya ndoa. Lakini tofauti na wapenda ngono wa vizazi vingine nadhani kizazi cha Amapiano kinaweza kuwa na moto special kwa wengi wao kutaka kufurahisha nafsi zao kwa matendo ya ngono yasiyo ya kawaida (sexual fantasies). WANAOZAMA CHUMVINI nadhani watakuwa mstari qa mbele kabisa kuelekea motoni.

Ongezea zingine TUJIKUMBUSHE.
Namba moja hii tabia nimeacha, namba mbili hii ni nipo kwenye process, namba tatu hii tabia nimeacha, namba nne nayo nipo kwenye process ya kuacha, ee Mungu nisaidie.
 
Mimi naona vijana wa Tz chanzo Chao kikuu cha stress ni kuamini serikali ina pesa nyingi na inatakiwa kuajiri vijana wote wanaohitaji ajira ..
Kwa kuwa hili haliwezekani ndo chanzo cha msongo wa mawazo na changamoto za afya ya akili ...ndo matusi na hayo mengine yanafata....
Serikali ina jukumu, uwezo na nyenzo (sera, sheria, taasisi, na rasilimali) za “kutengeneza ajira”. Employment creation ni kpi moja muhimu sana ya serikali katika uchumi wa nchi makini - duniani kote.

Si suala la serikali kuwa na “hela nyingi za kuajiri”. That’s a fallacy. Ni kawaida kwa serikali isiyotaka kutimiza wajibu wake; inayoishi kwa kutegemea propaganda, kufurahia kuwahukumu vijana wake kwa “kosa” la “kuamini” kuwa serikali inaweza kuwapa wote ajira - serikalini! That’s not fair!

Ndio yale yale ya kukejeli wananchi kuwa katiba mpya “haiwezi kukuwekea ugali mezani”!

Vijana wanapopata msongo wa mawazo kwa ajira kuzidi kupotea nchini, serikali lazima iwe makini; isumbukie suala hilo badala ya kulichukulia kirahisi rahisi tu. Should be a matter of great concern.
 
Kwenye sabato ya leo nimepata muda kufikiria mambo ya kiimani hasa suala la motoni na peponi kwa mujibu wa imani yangu ya kikristo. Baada ya kujikumbusha zile amri 10 nimejiridhisha kuwa vijana wa sasa tunaweza kuingia motoni kwa sababu za kipuuzi ambazo nyingi zinatokana na amri ya USIZINI na USISEME UONGO.

Wakati labda kina Hitler, Herode, Yuda, Bokasa na makatili wengine kama wataingia motoni itakuwa kwa sasabu zenye uzito lakini hiki kizazi cha amapiano kinaweza kuadhibiwa kwa mambo ya kijinga. Tutazame mambo kadhaa ya kipumbavu yanayofanywa na wengi kwa sasa;

1. KUTAMKA MATUSI KIHOLELA.
Hili la kutamka matusi limeota mizizi. Shetani kagundua namna nyingi ya kusaidia wafuasi wake kutamka matusi katika hali isiyoleta taharuki. Siku hizi ukienda kutazama mpira uwanjani au Bar ni kawaida sana watu kutamka matusi ya nguoni katika namna iliyoboreshwa. Kwa mfani K*mae inatamkwa ***. Na ile K***NINA inatamkwa MANINER. Baadhi hata wakiwa wanamsikiliza kiongozi wa dini hujikuta wanatamka "Q***make hii point kali sana".

2. UONGO
Hii dhambi ipo kwenye mambo mengi sana. Na pia imechangia marafiki wengi kuwa maadui. Imefikia point hata wasanii hutumia uongo kufanikisha agenda zao. Wenyewe wanaita KIKI. Hii dhambi imevunja na inaendelea kuvunja ndoa nyingi mno.

3. PUNYETO
Katika vitu ambavyo vimewahi kumkasirisha Mungu ni mwanaume kumwagia nje (Mwanzo 38). Dhambi ya punyeto itakula vichwa vingi sana siku ya mwisho. Nadhani mpiga punyeto akikutana motoni na mtu kama Mobutu aliyewahi kuchinja wanafunzi zaidi ya 200 anaweza kupigwa kwanza maana ni uzembe.

4. ZINAA
Inajulikana pia kama ngono. Tendo la ndoa nje ya ndoa. Lakini tofauti na wapenda ngono wa vizazi vingine nadhani kizazi cha Amapiano kinaweza kuwa na moto special kwa wengi wao kutaka kufurahisha nafsi zao kwa matendo ya ngono yasiyo ya kawaida (sexual fantasies). WANAOZAMA CHUMVINI nadhani watakuwa mstari qa mbele kabisa kuelekea motoni.

Ongezea zingine TUJIKUMBUSHE.
Na uchawa pia, unakuta kijana anajifanya msabato safi kumbe ni chawa wa sa100 dalali wa bandari
 
Kwenye sabato ya leo nimepata muda kufikiria mambo ya kiimani hasa suala la motoni na peponi kwa mujibu wa imani yangu ya kikristo. Baada ya kujikumbusha zile amri 10 nimejiridhisha kuwa vijana wa sasa tunaweza kuingia motoni kwa sababu za kipuuzi ambazo nyingi zinatokana na amri ya USIZINI na USISEME UONGO.

Wakati labda kina Hitler, Herode, Yuda, Bokasa na makatili wengine kama wataingia motoni itakuwa kwa sasabu zenye uzito lakini hiki kizazi cha amapiano kinaweza kuadhibiwa kwa mambo ya kijinga. Tutazame mambo kadhaa ya kipumbavu yanayofanywa na wengi kwa sasa;

1. KUTAMKA MATUSI KIHOLELA.
Hili la kutamka matusi limeota mizizi. Shetani kagundua namna nyingi ya kusaidia wafuasi wake kutamka matusi katika hali isiyoleta taharuki. Siku hizi ukienda kutazama mpira uwanjani au Bar ni kawaida sana watu kutamka matusi ya nguoni katika namna iliyoboreshwa. Kwa mfani K*mae inatamkwa ***. Na ile K***NINA inatamkwa MANINER. Baadhi hata wakiwa wanamsikiliza kiongozi wa dini hujikuta wanatamka "Q***make hii point kali sana".

2. UONGO
Hii dhambi ipo kwenye mambo mengi sana. Na pia imechangia marafiki wengi kuwa maadui. Imefikia point hata wasanii hutumia uongo kufanikisha agenda zao. Wenyewe wanaita KIKI. Hii dhambi imevunja na inaendelea kuvunja ndoa nyingi mno.

3. PUNYETO
Katika vitu ambavyo vimewahi kumkasirisha Mungu ni mwanaume kumwagia nje (Mwanzo 38). Dhambi ya punyeto itakula vichwa vingi sana siku ya mwisho. Nadhani mpiga punyeto akikutana motoni na mtu kama Mobutu aliyewahi kuchinja wanafunzi zaidi ya 200 anaweza kupigwa kwanza maana ni uzembe.

4. ZINAA
Inajulikana pia kama ngono. Tendo la ndoa nje ya ndoa. Lakini tofauti na wapenda ngono wa vizazi vingine nadhani kizazi cha Amapiano kinaweza kuwa na moto special kwa wengi wao kutaka kufurahisha nafsi zao kwa matendo ya ngono yasiyo ya kawaida (sexual fantasies). WANAOZAMA CHUMVINI nadhani watakuwa mstari qa mbele kabisa kuelekea motoni.

Ongezea zingine TUJIKUMBUSHE.
KUSIFIA VIONGOZI DHALIMU NA WASIO NA UTU
 
Mimi naona vijana wa Tz chanzo Chao kikuu cha stress ni kuamini serikali ina pesa nyingi na inatakiwa kuajiri vijana wote wanaohitaji ajira ..
Kwa kuwa hili haliwezekani ndo chanzo cha msongo wa mawazo na changamoto za afya ya akili ...ndo matusi na hayo mengine yanafata....
Hata kama serikali haiwezi kuajiri wote lakini sio kwa ratio ya fursa:wahitaji ambayo tumefikia mfano mzuri interview ya TRA hapa majuzi angalia idadi wa watu walioitwa linganisha na idadi ya nafasi zinazotakiwa kujazwa. Kuwarushia lawama vijana haisaidii kitu sawa tutapambana lakini kufanikiwa itakua ni kibahati nasibu sio kimfumo. Serikali lazima iweke mifumo kuondoa ilo. Hata kama haitaweza kuajiri wote angalao kuwe na uwiano yaani kusiwe na tofauti kubwa sana kati nafasi na wahitaji. Unampa mkopo mtu asomee uinjinia, udokta, uhasibu n.k halafu baada ya kuhitimu unamuambia akawe winga kariakoo..! it makes no sense.
 
Sasa huyo Mungu atapata faida gani kuchoma watu??
Cha ajabu anatuchoma kwa mambo ambayo yeye mwenyewe katupangia. Yaani ananiumba ananipangia maisha yangu yote halafu nikifa ananitupa motoni kwa sababu katika yale aliyonipangia kuna mengine yeye hayapendi
 
Motoni uache kwenda wewe na vibaka wenzio wa ccm uje kuwasingizia vijana!
 
Back
Top Bottom