Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Napiga sim kiwandani naagizia lingine.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Utaenda nae out?
Ukiumwa atakupikia?
Sehemu wenzio wanatambulishwa kama mr and mrs na wewe ulibebe mtambulishwe kama mr and mrs
Fanya utafiti, kwenye mahusiano 20, ni asilimia ngapi ya wanawake wanapikia wanaume zao chakula, halafu urudi hapa Clepatina
 
Wewe Kama wewe hununui,labda uazime la kupigia picha tu😁😁😁nimekaa paleeee👉👉
 
Maroboti yenu 20 elfu dolari mtajua wenyewe
 

Attachments

  • Screenshot_20230528-200230.png
    40.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20230528-200201.png
    334.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20230528-200158.png
    208.3 KB · Views: 2
Sasa anakukumoa Nini jamani,Kama ana shida asikuombe mpenzi wake?
Nimechukua namba yako jana, leo unaniomba hela, nikikupa io hela leo, kesho, na kesho kutwa, na mtondogoo utaniomba tena hela, kama nia yako sio kunikomoa, nia yako ni nini?

Chunguza vizuri humu mitandaoni, sio tu jamii forum, nenda nairaland, JamiiForums.com, reddit, etc utaona sisi wanaume wengi kwenye swala la mahusiano ya kimapenzi, tumewachoka wanawake, hatutaki hata kujihusisha na ninyi..tunaishia kucheza games, kunywa pombe, na kununua makahaba wanaojiuza barabarani, au kupiga nyeto Joannah
 
Poleni kwa hilo ila hata roboti halitakaa lifikie hata theluth ya faida zetu kwenu
Faida mbona hatupati. Nguo tunafuliwa na house girls au dobi, chakula kizuri siku hizi tunapata migahawani, usafi tunafanyiwa na hata watu wa usafi unatoa tu 20,000 wanasafika kila sehemu nyumba nzima.

Game ndio hivyo tunapewa ila kwa masharti hadi inabidi tukanunue huko kona. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…