Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🙄Roboti hali kwaiyo garama za kula na nguo sio muhimu ye ata akishinda uchi wiki nzima ni sawa tu ilimrad awe msafi sasa nyie mara cjui ela ya nywele cjui outing na mkishaanza kuongea vingereza ndo mnataka pesa nyingi nyie eeh
Sisi tukifika kileleni inatosha mkuuHivi hilo robocop nalo lafika kileleni,yani lakojoa kabisaaa, au sio kazi yake..?
🙄Mwamba anaenda kuwa baba mkwe wa watanzania wengiView attachment 2638674
Una uhakika?Robot ndiyo direction.
Nyie tunawaacheni muendelee na harakati za kumkomboa Mwanamke na kujikomboa kiuchumi.
Hivyo vyote ulivyosema robot hatoi umedanganywa, vyote vimezingatiwa tena vya ubora wa kale ambao hata nyie mlishaupoteza kitambo.
Kwa sasa robot inaweza kuwa bei ila baada ya muda zitakuwa kama simu za tekno tu
Linakojoa vizuri... AI is scary at same time fascinatingHivi hilo robocop nalo lafika kileleni,yani lakojoa kabisaaa, au sio kazi yake..?
That's my lovely little PP😊.Nashangaa mnawaza tu ngono,
Mmefikiria kuhusu nani atawaongezea uzao wenu..?
Nani atawalelea hao watoto.?
Nani watakuwa washauri na wafariji wenu hasa mkiwa mnapita katika vipindi vigumu..?
ain't any way hiyo midoli could turn your house into a home..!!
ain't no way midoli could cook your favourite food,
Could nurture you, could clean and could support and inspire you to be a better men..!
Kila mtu huwa anatamani kuwa na mtu anayempenda kwa dhati, who could love you better..??
Mkiumwa who will be there for you..? Ukute ndiyo ile hoi mpaka unajipupia kwa bed..!!🙌
Na kubwa zaidi nani atasimama nanyi katika Maombi, nani atalia na kufunga kwa ajili yenu..??
Mac Alpho
Wataishia kwenye mafuta tu😀😀😀
Kwa hayo unayopitia ukienda kwa mwanasesere wa Elon sio mbaya ila sisi wengine tunawafanyia waume zetu hayo yote na hapa kaniambia nisiwe na hofu hakuna mdoli awezae kuchukua nafasi yanguFaida mbona hatupati. Nguo tunafuliwa na house girls au dobi, chakula kizuri siku hizi tunapata migahawani, usafi tunafanyiwa na hata watu wa usafi unatoa tu 20,000 wanasafika kila sehemu nyumba nzima.
Game ndio hivyo tunapewa ila kwa masharti hadi inabidi tukanunue huko kona. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile ap
🤣🤣🤣🤣🤣VaselineWataishia kwenye mafuta tu😀😀😀
Kabisa mkuu.Ila on a serious note;
Hakuna roboti la kike linatengenezwa hizi ni propaganda na hizo picha zote mnazoziona ni AI generated. Elon Musk hatengenezi maroboti ya kike.
Binafsi naamini haiwezekani kabisa ku-replace mwanamke, itakua ngumu sana ku-replace vitu vyenu vyote