Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Hapo kufinyia kwa ndani, yaani wanawake wenye ujuzi huo mbarikiwe sana, ina raha yake mpaka basi.
 
Mbona babu zenu hawakuwa Kama ninyi?Bibi zetu walihudumiwa kwa Raha mustarehe Bila masimango....kuombwa hela Leo na kesho ni kuongezea kwa majukumu
Niliona hili habari cnn, ifikapo mwaka 2030 wataalamu wa maswala ya mahusiano wanasema asilimia 45 ya wanawake walio kwenye umri (25-44) watakuwa single bila watoto

Wanawake wengi hamna cha ku-offer kwenye mahusiano, hamtupikii, hamtupi faraja wala ushauri, hata papuchi hamtugei, lakini mnategemea tuwape hela kila siku hee hee hee Joannah
 
Tena sasa mashoga wameamua kujiboresha wanakwenda kujiupgrade maungo yao wanaweka breast implants na kujitengeneza wanakuwa 99% wanawake kasoro dicks tu.

Akisimama hapa ukaambiwa huyu ni mwanaume by nature utakataa. Hebu jionee mwenyewe. Huyu unaambiwa ni mwanaume utakubali vipi hapo na akikutaka unachomoaje kwa mfano?!

Sasa huyu ndio competition ya wanawake wa sasa. View attachment 2638596View attachment 2638595

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
duh hatari sana ,mwanamke amebaki hana thaman tena, labda amebakiwa na thamani ya kuzaa tu. sababu ya kuendekeza hawa mashoga,italia imejikuta ina uhaba wa watoto.
 
Back
Top Bottom