Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Mi mwenyewe nadhani robot ni kitu kizuri sana hizo sifa zilizosemwa na To yeye katika dunia ya sasa hata hazina mashiko.
Wanaume tutafute hela tuagize marobot.
Elon Musk 🔥🔥🔥🔥🔥
 
Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv:

1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa
2.Robot hana katerero
3.Robot hajui kuifinyia ndani
4.Robot hana joto asilia
5.Robot hana story za udaku Usiku kupiga na mumewe
Mengine wataongezea wanawake wenzangu

NB:Mwanadamu ni mwanadamu tu Yaan hafananishwi jaman
Mengine,
1. Roboti hana Gono
2. Roboti hana UTI sugu
3. Roboti hana PID
4. Roboti hana Gubu
5. Kuifinyia ndani sio issue, kikubwa wazungu watoke
6. Katerero ya nini ? ( Raha anapata nani kwenye katerero yako )
7. Story za udaku sio issue, tutazipata tu.

Anyway. Siungi mkono Robot
 
Mengine,
1. Roboti hana Gono
2. Roboti hana UTI sugu
3. Roboti hana PID
4. Roboti hana Gubu
5. Kuifinyia ndani sio issue, kikubwa wazungu watoke
6. Katerero ya nini ? ( Raha anapata nani kwenye katerero yako )
7. Story za udaku sio issue, tutazipata tu.

Anyway. Siungi mkono Robot
🤣🤣🤣☹️
 
Yani wanaume ninachoweza kuwashauri ni kwamba, kama mmeamua kutumia hiyo midoli tumieni kwa lengo la kujifurahisha wenyewe, na siyo kwa lengo la kuwakomoa wanawake kwamba wajirekebishe hicho kitu hakiwezekani

Wanawake wa sasa hawajali tena kuhusu ndoa wala familia ukilinganisha na wa zamani, na ndio maana siku hizi ni kawaida kusikia wakiambizana wazae tu walau wapate watoto wa kuja kuwalea uzeeni, wasihangaike na wanaume tena

Yani kama mnafanya hayo kwa kuwakomoa wanawake na kutegemea watabadilika, mtakuwa dissapointed sana pale ambapo mtashangaa ndio kwanza wanatafuta njia nyingine mbadala ya wao nao kujifurahisha, kuliko kuwabembeleza ninyi au kubadilika kwa ajili yenu

Hizi zama tulizofikia siyo tena zama za kumtishia mwanamke ndoa au kufanya ndoa kuwa fimbo ya kumchapia mwanamke, na zamani kilichokuwa kinawafanya wanawake wawe desperate na ndoa ni mitazamo tu ya jamii dhidi yao, kitu ambacho kwa sasa kimepungua

Ndio maana mnaona siku hizi idadi ya single mothers inaongezeka pamoja na kutukanwa kote lakini hawajali ndio kwanza wanazidi, maana zamani wengi walikuwa wanaogopa kuzaa na kutokuolewa sababu ya maneno ya jamii tu, lakini si kwamba walikuwa hawataki sasa imagine huko tunakoelekea

Sasa hivi wameamua kutia nta masikio wanafanya wanavyojisikia na hatimaye jamii nayo imepunguza zile stereotypes dhidi ya mwanamke, na taratibu zitaenda zitaisha maana sasa hivi dunia imebadilika watu wamesoma wana exposure za kila aina, na huko tunakoelekea ndio ndoa zinazidi kupoteza umuhimu wake

So kama mmeamua kuoa midoli ndugu zangu hakikisheni mnafanya hilo kwa dhati ya mioyo yenu na si kwa kubeep na kuwasikilizia wanawake hawa wa sasa na wa kesho eti kama watabadilika nawaambia mtashangazwa, vinginevyo endeleeni kusubiria hicho kipindi ambacho sijui wanawake saba watamfuata mwanaume mmoja awaoe, (kama ambavyo wayahudi bado wanasubiri masihi wao azaliwe) wakati ukweli uko clear kabisa tunakoelekea
Wasipoelewa bas Wana shida pahala
 
Yani wanaume ninachoweza kuwashauri ni kwamba, kama mmeamua kutumia hiyo midoli tumieni kwa lengo la kujifurahisha wenyewe, na siyo kwa lengo la kuwakomoa wanawake kwamba wajirekebishe hicho kitu hakiwezekani

Wanawake wa sasa hawajali tena kuhusu ndoa wala familia ukilinganisha na wa zamani, na ndio maana siku hizi ni kawaida kusikia wakiambizana wazae tu walau wapate watoto wa kuja kuwalea uzeeni, wasihangaike na wanaume tena

Yani kama mnafanya hayo kwa kuwakomoa wanawake na kutegemea watabadilika, mtakuwa dissapointed sana pale ambapo mtashangaa ndio kwanza wanatafuta njia nyingine mbadala ya wao nao kujifurahisha, kuliko kuwabembeleza ninyi au kubadilika kwa ajili yenu

Hizi zama tulizofikia siyo tena zama za kumtishia mwanamke ndoa au kufanya ndoa kuwa fimbo ya kumchapia mwanamke, na zamani kilichokuwa kinawafanya wanawake wawe desperate na ndoa ni mitazamo tu ya jamii dhidi yao, kitu ambacho kwa sasa kimepungua

Ndio maana mnaona siku hizi idadi ya single mothers inaongezeka pamoja na kutukanwa kote lakini hawajali ndio kwanza wanazidi, maana zamani wengi walikuwa wanaogopa kuzaa na kutokuolewa sababu ya maneno ya jamii tu, lakini si kwamba walikuwa hawataki sasa imagine huko tunakoelekea

Sasa hivi wameamua kutia nta masikio wanafanya wanavyojisikia na hatimaye jamii nayo imepunguza zile stereotypes dhidi ya mwanamke, na taratibu zitaenda zitaisha maana sasa hivi dunia imebadilika watu wamesoma wana exposure za kila aina, na huko tunakoelekea ndio ndoa zinazidi kupoteza umuhimu wake

So kama mmeamua kuoa midoli ndugu zangu hakikisheni mnafanya hilo kwa dhati ya mioyo yenu na si kwa kubeep na kuwasikilizia wanawake hawa wa sasa na wa kesho eti kama watabadilika nawaambia mtashangazwa, vinginevyo endeleeni kusubiria hicho kipindi ambacho sijui wanawake saba


watamfuata mwanaume mmoja awaoe, (kama ambavyo wayahudi bado wanasubiri masihi wao azaliwe) wakati ukweli uko clear kabisa tunakoelekea

U single mother ni mbaya sana 😆😆😆😆
Kuna pisi fulani ipo humu huwa inanifurahisha sana na huwa ninaicheka na kuifokea kama kawaida pale ninapoona nayo. Yaani huwa inajifanya iko very strict na visheria vya hovyo hovyo mbele ya mwanaume. Kifupi U single mother ni mbaya sana na haufai. Na hiyo yote ni kujifanya much know sana
 
Mi mwenyewe nadhani robot ni kitu kizuri sana hizo sifa zilizosemwa na To yeye katika dunia ya sasa hata hazina mashiko.
Wanaume tutafute hela tuagize marobot.
Elon Musk 🔥🔥🔥🔥🔥
🤣🤣🤣Hizi mambo umeanza lini,eti baba?
 
U single mother ni mbaya sana 😆😆😆😆
Kuna pisi fulani ipo humu huwa inanifurahisha sana na huwa ninaicheka na kuifokea kama kawaida pale ninapoona nayo. Yaani huwa inajifanya iko very strict na visheria vya hovyo hovyo mbele ya mwanaume. Kifupi U single mother ni mbaya sana na haufai. Na hiyo yote ni kujifanya much know sana
Siyo kitu poa kabisa
 
U single mother ni mbaya sana [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kuna pisi fulani ipo humu huwa inanifurahisha sana na huwa ninaicheka na kuifokea kama kawaida pale ninapoona nayo. Yaani huwa inajifanya iko very strict na visheria vya hovyo hovyo mbele ya mwanaume. Kifupi U single mother ni mbaya sana na haufai. Na hiyo yote ni kujifanya much know sana
Ndio hivo siku hizi wanawake nao wamekua disminders wa kiwango cha lami

Nikupe mfano rahisi tu ni sawa na wewe mwalimu, umekomaa kumchapa mwanafunzi ambaye kila siku anafeli masomo ambayo hayaelewi, sasa badala ya fimbo zako kumfanya huyo mwanafunzi kuelewa hayo masomo ndio kwanza zinamfanya awe sugu

Hivo basi kitakachofuata ni hayo masomo yasiyoeleweka ataendelea kufeli, na itafika kipindi ukimchapa atakuwa haumii tena kama zamani maana kashakuwa sugu, hiko ndio kinachoanza kutokea kwa wanawake wa sasa
 
Ndio hivo siku hizi wanawake nao wamekua disminders wa kiwango cha lami

Nikupe mfano rahisi tu ni sawa na wewe mwalimu, umekomaa kumchapa mwanafunzi ambaye kila siku anafeli masomo ambayo hayaelewi, sasa badala ya fimbo zako kumfanya huyo mwanafunzi kuelewa masomo ndio kwanza zinamfanya awe sugu

Hivo basi kitakachofuata ni hayo masomo yasiyoeleweka ataendelea kufeli, na itafika kipindi ukimchapa atakuwa haumii tena kama zamani maana kashakuwa sugu, hiko ndio kinachoanza kutokea kwa wanawake wa sasa

Disminders kwa nje lakini mioyoni wanaumia sana . Wengi wapo desperate na waverugika sana kisaikolojia japo na wanajikaza lakini uchungu upo kwenye mioyo yao . Ukikumbuka what was your purpose in this world. Wewe uliumbwa uje kuwa msaidizi wa mwanaume halafu leo hii anatokea Mhuni mmoja huko duniani anakuondolea lengo lako la wewe kuumbwa hapa duniani unajisikiaje?
 
Siyo kitu poa kabisa

Inauma sana yaani una ubavu wa Mhuni halafu wewe unaishi kiboya boya na unajifanya disminder utaumia roho yako na utakuwa na mihasira muda wote na dunia utaiona jehanamu ndogo 😂😂😂
 
Disminders kwa nje lakini mioyoni wanaumia sana . Wengi wapo desperate na waverugika sana kisaikolojia japo na wanajikaza lakini uchungu upo kwenye mioyo yao . Ukikumbuka what was your purpose in this world. Wewe uliumbwa uje kuwa msaidizi wa mwanaume halafu leo hii anatokea Mhuni mmoja huko duniani anakuondolea lengo lako la wewe kuumbwa hapa duniani unajisikiaje?
Hilo swali ilipaswa wajiulize wanaume, ambao wanajua kabisa wanawake waliumbwa kuwa wasaidizi wao, lakini wanashadadia utengenezwaji wa midoli

Sasa kama ninyi tu viongozi mnashindwa kureason, mnaenda tu kama nyumbu, mnategemea hao wasaidizi wenu mnaopaswa kuwaongoza wafanyeje sasa

Yani narudia tena, wanawake wako desperate na ndoa kwa sababu ni wanaume ndio waliwafanya waamini hivyo in the first place, na ndio maana hali ni tofauti sasa hivi ambapo zama na mitazamo vimebadilika

Wanawake wengi kikubwa kinachowaumiza mioyoni ni ile tu "jamii itanichukuliaje" na si vinginevyo, na ndio maana haya mambo ya kuwa desperate na ndoa hauwezi kuyakuta kwa wazungu, au kwenye jamii nyingine zinazopigania usawa wa kijinsia

Hizo jamii zimeshaacha stereotypes kwa wanawake, ndio maana huko siku hizi wanawake kuolewa wana miaka 40+ au kutokuolewa kabisa ni kawaida, na wala hutasikia kelele kwamba ni malaya sijui katumika sana ila njoo huku sasa

Nasema hivi acheni hizo stereotypes zenu kwa wanawake, yani wakichelewa kuolewa au hata wasipoolewa kabisa ionekane ni kitu cha kawaida tu, halafu na ninyi endeleeni na ishu zenu muone kama kuna mwanamke atalazimisha ndoa tena kwa hawa wanaume wa siku hizi

Hawa wanawake ni ninyi wanaume ndio mmewakalia kooni halafu mnasingizia eti wao ndio wanahitaji sana ndoa, kwanini muwasemee kwanini msiwaache ili ukweli ujulikane, yani acheni tu inyeshe tuone panapovuja mbona mnaogopa
 
Back
Top Bottom