Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mengine,Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv:
1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa
2.Robot hana katerero
3.Robot hajui kuifinyia ndani
4.Robot hana joto asilia
5.Robot hana story za udaku Usiku kupiga na mumewe
Mengine wataongezea wanawake wenzangu
NB:Mwanadamu ni mwanadamu tu Yaan hafananishwi jaman
🤣🤣🤣☹️Mengine,
1. Roboti hana Gono
2. Roboti hana UTI sugu
3. Roboti hana PID
4. Roboti hana Gubu
5. Kuifinyia ndani sio issue, kikubwa wazungu watoke
6. Katerero ya nini ? ( Raha anapata nani kwenye katerero yako )
7. Story za udaku sio issue, tutazipata tu.
Anyway. Siungi mkono Robot
Wasipoelewa bas Wana shida pahalaYani wanaume ninachoweza kuwashauri ni kwamba, kama mmeamua kutumia hiyo midoli tumieni kwa lengo la kujifurahisha wenyewe, na siyo kwa lengo la kuwakomoa wanawake kwamba wajirekebishe hicho kitu hakiwezekani
Wanawake wa sasa hawajali tena kuhusu ndoa wala familia ukilinganisha na wa zamani, na ndio maana siku hizi ni kawaida kusikia wakiambizana wazae tu walau wapate watoto wa kuja kuwalea uzeeni, wasihangaike na wanaume tena
Yani kama mnafanya hayo kwa kuwakomoa wanawake na kutegemea watabadilika, mtakuwa dissapointed sana pale ambapo mtashangaa ndio kwanza wanatafuta njia nyingine mbadala ya wao nao kujifurahisha, kuliko kuwabembeleza ninyi au kubadilika kwa ajili yenu
Hizi zama tulizofikia siyo tena zama za kumtishia mwanamke ndoa au kufanya ndoa kuwa fimbo ya kumchapia mwanamke, na zamani kilichokuwa kinawafanya wanawake wawe desperate na ndoa ni mitazamo tu ya jamii dhidi yao, kitu ambacho kwa sasa kimepungua
Ndio maana mnaona siku hizi idadi ya single mothers inaongezeka pamoja na kutukanwa kote lakini hawajali ndio kwanza wanazidi, maana zamani wengi walikuwa wanaogopa kuzaa na kutokuolewa sababu ya maneno ya jamii tu, lakini si kwamba walikuwa hawataki sasa imagine huko tunakoelekea
Sasa hivi wameamua kutia nta masikio wanafanya wanavyojisikia na hatimaye jamii nayo imepunguza zile stereotypes dhidi ya mwanamke, na taratibu zitaenda zitaisha maana sasa hivi dunia imebadilika watu wamesoma wana exposure za kila aina, na huko tunakoelekea ndio ndoa zinazidi kupoteza umuhimu wake
So kama mmeamua kuoa midoli ndugu zangu hakikisheni mnafanya hilo kwa dhati ya mioyo yenu na si kwa kubeep na kuwasikilizia wanawake hawa wa sasa na wa kesho eti kama watabadilika nawaambia mtashangazwa, vinginevyo endeleeni kusubiria hicho kipindi ambacho sijui wanawake saba watamfuata mwanaume mmoja awaoe, (kama ambavyo wayahudi bado wanasubiri masihi wao azaliwe) wakati ukweli uko clear kabisa tunakoelekea
Yani wanaume ninachoweza kuwashauri ni kwamba, kama mmeamua kutumia hiyo midoli tumieni kwa lengo la kujifurahisha wenyewe, na siyo kwa lengo la kuwakomoa wanawake kwamba wajirekebishe hicho kitu hakiwezekani
Wanawake wa sasa hawajali tena kuhusu ndoa wala familia ukilinganisha na wa zamani, na ndio maana siku hizi ni kawaida kusikia wakiambizana wazae tu walau wapate watoto wa kuja kuwalea uzeeni, wasihangaike na wanaume tena
Yani kama mnafanya hayo kwa kuwakomoa wanawake na kutegemea watabadilika, mtakuwa dissapointed sana pale ambapo mtashangaa ndio kwanza wanatafuta njia nyingine mbadala ya wao nao kujifurahisha, kuliko kuwabembeleza ninyi au kubadilika kwa ajili yenu
Hizi zama tulizofikia siyo tena zama za kumtishia mwanamke ndoa au kufanya ndoa kuwa fimbo ya kumchapia mwanamke, na zamani kilichokuwa kinawafanya wanawake wawe desperate na ndoa ni mitazamo tu ya jamii dhidi yao, kitu ambacho kwa sasa kimepungua
Ndio maana mnaona siku hizi idadi ya single mothers inaongezeka pamoja na kutukanwa kote lakini hawajali ndio kwanza wanazidi, maana zamani wengi walikuwa wanaogopa kuzaa na kutokuolewa sababu ya maneno ya jamii tu, lakini si kwamba walikuwa hawataki sasa imagine huko tunakoelekea
Sasa hivi wameamua kutia nta masikio wanafanya wanavyojisikia na hatimaye jamii nayo imepunguza zile stereotypes dhidi ya mwanamke, na taratibu zitaenda zitaisha maana sasa hivi dunia imebadilika watu wamesoma wana exposure za kila aina, na huko tunakoelekea ndio ndoa zinazidi kupoteza umuhimu wake
So kama mmeamua kuoa midoli ndugu zangu hakikisheni mnafanya hilo kwa dhati ya mioyo yenu na si kwa kubeep na kuwasikilizia wanawake hawa wa sasa na wa kesho eti kama watabadilika nawaambia mtashangazwa, vinginevyo endeleeni kusubiria hicho kipindi ambacho sijui wanawake saba
watamfuata mwanaume mmoja awaoe, (kama ambavyo wayahudi bado wanasubiri masihi wao azaliwe) wakati ukweli uko clear kabisa tunakoelekea
Siyo kitu poa kabisaU single mother ni mbaya sana 😆😆😆😆
Kuna pisi fulani ipo humu huwa inanifurahisha sana na huwa ninaicheka na kuifokea kama kawaida pale ninapoona nayo. Yaani huwa inajifanya iko very strict na visheria vya hovyo hovyo mbele ya mwanaume. Kifupi U single mother ni mbaya sana na haufai. Na hiyo yote ni kujifanya much know sana
Makampuni ya Harufu yatatusaidiaRoboti hana harufu amazing ya k .🤗😛
Ndio hivo siku hizi wanawake nao wamekua disminders wa kiwango cha lamiU single mother ni mbaya sana [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kuna pisi fulani ipo humu huwa inanifurahisha sana na huwa ninaicheka na kuifokea kama kawaida pale ninapoona nayo. Yaani huwa inajifanya iko very strict na visheria vya hovyo hovyo mbele ya mwanaume. Kifupi U single mother ni mbaya sana na haufai. Na hiyo yote ni kujifanya much know sana
Ndio hivo siku hizi wanawake nao wamekua disminders wa kiwango cha lami
Nikupe mfano rahisi tu ni sawa na wewe mwalimu, umekomaa kumchapa mwanafunzi ambaye kila siku anafeli masomo ambayo hayaelewi, sasa badala ya fimbo zako kumfanya huyo mwanafunzi kuelewa masomo ndio kwanza zinamfanya awe sugu
Hivo basi kitakachofuata ni hayo masomo yasiyoeleweka ataendelea kufeli, na itafika kipindi ukimchapa atakuwa haumii tena kama zamani maana kashakuwa sugu, hiko ndio kinachoanza kutokea kwa wanawake wa sasa
Siyo kitu poa kabisa
Hilo swali ilipaswa wajiulize wanaume, ambao wanajua kabisa wanawake waliumbwa kuwa wasaidizi wao, lakini wanashadadia utengenezwaji wa midoliDisminders kwa nje lakini mioyoni wanaumia sana . Wengi wapo desperate na waverugika sana kisaikolojia japo na wanajikaza lakini uchungu upo kwenye mioyo yao . Ukikumbuka what was your purpose in this world. Wewe uliumbwa uje kuwa msaidizi wa mwanaume halafu leo hii anatokea Mhuni mmoja huko duniani anakuondolea lengo lako la wewe kuumbwa hapa duniani unajisikiaje?
Swali zuri sana hili?Kwahiyo kei moja ya robot itakutuliza? Au utakuwa nayo mangapi?
Tunawachora tu wanavyohangaika🤣🤣Swali zuri sana hili?
Maana Kei moja ya mwanamke haikawahi kuwatuliza🤔