Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Poueee! Sisi na marobot tu! Tumechoka kupigwa vibuti, kuringiwa, kuteseka na kunyimwa unyumba, kusalitiwa na kupakaziwa watoto za watu!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mpaka uset mitambo si dudu inakuwa imelala
Sidhani kama litakua unaliset mara Kwa mara! Changamoto unayofikiria ww wao walifikiria kabla hawajaanza hyo project! Walishamstudy mwanamke na wakascan tabia zake mda wa kudinyana
 
Nendeni kwa maroboti kama mnahela mnadhani wananunuliwa kihela ya nyanya Hawa wanagharama zao ambao ni Bora umlee Fatma wa buza na pesa ya kujitibia ghono inabakia[emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa hiyo unakiri nyie ni wasambazaji wazur wa gono kwa wanaume sio??

Achen uchafu
 
Sidhani kama litakua unaliset mara Kwa mara! Changamoto unayofikiria ww wao walifikiria kabla hawajaanza hyo project! Walishamstudy mwanamke na wakascan tabia zake mda wa kudinyana
😳
 
Ingekuwa kure
Kama ingekuwa ni ku-rank kwa umuhimu/ubora basi hiyo namba 3 ungeweka iwe namba 1.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…