Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Nashangaa mnawaza tu ngono,
Mmefikiria kuhusu nani atawaongezea uzao wenu..?
Nani atawalelea hao watoto.?
Nani watakuwa washauri na wafariji wenu hasa mkiwa mnapita katika vipindi vigumu..?
ain't any way hiyo midoli could turn your house into a home..!!
ain't no way midoli could cook your favourite food,
Could nurture you, could clean and could support and inspire you to be a better men..!
Kila mtu huwa anatamani kuwa na mtu anayempenda kwa dhati, who could love you better..??
Mkiumwa who will be there for you..? Ukute ndiyo ile hoi mpaka unajipupia kwa bed..!!🙌

Na kubwa zaidi nani atasimama nanyi katika Maombi, nani atalia na kufunga kwa ajili yenu..??

Mac Alpho
Fanya tafiti ni wanawake wangapi waliopo kwenye mahusiano/ndoa wanawafanyia waume zao hayo uliyo ongea wewe Halafu urudi hapa

Wanawake wa sahivi ushauri tu wa kimawazo wa kukupa hawana, eti ndo akupikie, heheeee Carleen
 
Ni dola kuanzia 1800 hadi dola 3000 hapo kila kitu hadi linafika hapa. Na kodi sidhani kama linachajiwa.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Kwanza serikali sikivu ya mama Samia hairuhusu kuingiza nchini vitu vya ajabu ajabu ambavyo vitaua nguvu kazi ya taifa...maana vijana wa hivyo watakuwa wanajifungia chumbani 24/7
 
Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv:

1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa
2.Robot hana katerero
3.Robot hajui kuifinyia ndani
4.Robot hana joto asilia
5.Robot hana story za udaku Usiku kupiga na mumewe
Mengine wataongezea wanawake wenzangu

NB:Mwanadamu ni mwanadamu tu Yaan hafananishwi jaman
Tulieni dawa inatafuta ugonjwa
 
Nashangaa mnawaza tu ngono,
Mmefikiria kuhusu nani atawaongezea uzao wenu..?
Nani atawalelea hao watoto.?
Nani watakuwa washauri na wafariji wenu hasa mkiwa mnapita katika vipindi vigumu..?
ain't any way hiyo midoli could turn your house into a home..!!
ain't no way midoli could cook your favourite food,
Could nurture you, could clean and could support and inspire you to be a better men..!
Kila mtu huwa anatamani kuwa na mtu anayempenda kwa dhati, who could love you better..??
Mkiumwa who will be there for you..? Ukute ndiyo ile hoi mpaka unajipupia kwa bed..!!🙌

Na kubwa zaidi nani atasimama nanyi katika Maombi, nani atalia na kufunga kwa ajili yenu..??

Mac Alpho
Daah...
Una pointi za msingi sana hapa!
Hamkwepeki kwa kweli.
Inabidi mke uwepo, halafu huo mdoli utakuwa mpango wa kando tu😁
 
Fanya tafiti ni wanawake wangapi waliopo kwenye mahusiano/ndoa wanawafanyia waume zao hayo uliyo ongea wewe Halafu urudi hapa

Wanawake wa sahivi ushauri tu wa kimawazo wa kukupa hawana, eti ndo akupikie, heheeee Carleen
Mtulie mtafute wake sahihi achaneni na slei kwini rafiki yangu..!!
Watu kila siku huko wanatoa shukrani zao za dhati kwa Mungu kwa wenza walioko nao..!!
Shauri yenu na midoli yenu..!
 
I
Kuhusu gogo hilo haina shida tunaelewa ni mdoli so hauwezi katika.

Kuhusu maiti huo ni uongo roboti hawezi kufa.

Tukitaka story tunawapigia simu washkaji tunaongea then maisha yanaendelea.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Ila mwamba ninavyokujua unavyolaumu kuombwa hata elf 30,hivi mdoli alivyo expensive utamuweza kumnunua kweli?hapo ndio utawakumbuka kina siyawezi na sikujua wa vizinga vya pesa ya madafu sio dola
 
Back
Top Bottom