Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Aisee wakiume wanaletwa lini??
Sisi hiyo hatujaongea na Elon Musk muulizeni wenyewe. Sisi tunahangaikia riziki yetu ya dhikir tu.

Sasa nyie yakija yale mtatoa ela ya kununua halafu yatawapa hela ? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kudadadeki ama kweli wa kushindwa ni wa kushindwa tu hata afanyaje. I

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Mbona yapo na hayo, sema tu madem wabongo hawayawezi maana hayana hela za kuhonga [emoji23]
Kuna jamaa alijaribu kuyatengeneza soko lake anasema sio zuri ila haya ya kike yanauzwa balaa wanaume wa huko wanavyozidi kupata taarifa wanazidi kuyatafuta na kuyatengea bajeti wanunue.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Tukilipa hiyo Dollar 3000 ndio hatulipi tena Milele hadi uzeeni.

Mbona magari tunalipia zaidi ya dollar 10,000 tushindwe lipia dollar 3000.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Aaah usinidanganye bwana labda Extrovert ndio anaweza lipia hiyo hela anunue mwanasesere,na sio wewe....wewe pesa yako ngumu Sana😂😂😂😂
Na aliyekwambia unakaa nalo Hadi uzeeni ni nani?kwa shoo zenu hizo za kulipakia mkongo halichukui round mbona,utachangaa tu unaliwashwa""pi piii,VIRUS DITECTED "wacha na kuwasha wapiiiiii😢😢😢unavaa suruali yako unasogea riverside
 
Kuna wenzenu hawayataki hayo ma wanasesere yenu,mjichangie wenyewe mnaopenda kukaa na misukule
Daaah we jamaa ni vile huwezi li afford kulinunua,Ila lingekuwa linauzwa laki Kama Yale ya kitundikia nguo kkoo nadhani lazima ungejipatia moja[emoji134][emoji134]
Hao wanataka free boat usiwaamini. Sisi wanaume wa shoka ndio tumeamua kuwa kama mbwai iwe mbwai tuyanunue.

Haya nitanunua tu na likifika lazima niweke picha hapa nikiwa tumekumbatiana na my wangu roboti.

Na nasikia nimlaini.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Utapata wafuasi kibao,Hawa pasua kichwa wanaoshindwa kumudu kumpa Mwanamke hata laki moja eti Leo wanajifanya watamiliki midoli ya dola 3000,si uongo tu huo.😢
Kama nina hela, ni heri ninunue mdoli wa dola 3000, kuliko kumpa hela mwanamke anaeniomba hela kwa kunikomoa, tsh laki 1 Joannah
 
Back
Top Bottom