Yanga anaanzia nyumbani sio ugeniniYanga anaanzia ugenini ambako hawezi kushinda iko wazi yaani atapoteza...ILA AKIRUDI KWA MKAPA ANAWEZA KUSHINDA CHA KUFANYA AJITAHIDI SAANA ATOKE NA GOLI HATA MOJA PALE SUDAN LITAMSAIDIA AKIJA KWA MKAPA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga anaanzia nyumbani sio ugeniniYanga anaanzia ugenini ambako hawezi kushinda iko wazi yaani atapoteza...ILA AKIRUDI KWA MKAPA ANAWEZA KUSHINDA CHA KUFANYA AJITAHIDI SAANA ATOKE NA GOLI HATA MOJA PALE SUDAN LITAMSAIDIA AKIJA KWA MKAPA
Yaani unafikiri kuanzia ugenini anapanga Manara? Hata st George angepita mngeanzia nyumbani mkamalizie ugenini, level yenu ni ya chini sana mkuu,Yanga anaanzia ugenini ambako hawezi kushinda iko wazi yaani atapoteza...ILA AKIRUDI KWA MKAPA ANAWEZA KUSHINDA CHA KUFANYA AJITAHIDI SAANA ATOKE NA GOLI HATA MOJA PALE SUDAN LITAMSAIDIA AKIJA KWA MKAPA
Unajua Yanga hajapoteza mechi ya kimashindano Kwa mda mrefu sana na haijulikani lini atapoteza, kisaikolojia Mashabiki wengi wa Simba wanajua timu waliyonayo Haina uwezo wa kuifunga Yanga Sasa wanajaribu kutafuta timu ambayo itaifunga Yanga Ili nyoyo zao zipoe.
Wana bahati mbaya kwakua Yanga imejiandaa vizuri na haitakua rahisi kupoteza mchezo hivi karibuni.
Ushindi mkubwa upi? Yaani Zalan imewafariji sana utoh pollowNi wazo zuri
Kikubwa Yanga wajitaidi mechi ya nyumbani ashinde ushindi mkubwa
we jamaa ukisoma ulaya unarudishwa bongo fasta maana mi nimesoma kule hairuhusiwi kukariri we ungedisco!Kipigo cha "nje ndani" na River united mkuu umesahau? sema Yanga hawajapoteza mechi kwenye ligi - Tanzania bara.
Ile rivers United fc haikuwa mechi ya mashindano.?Unajua Yanga hajapoteza mechi ya kimashindano Kwa mda mrefu sana na haijulikani lini atapoteza, kisaikolojia Mashabiki wengi wa Simba wanajua timu waliyonayo Haina uwezo wa kuifunga Yanga Sasa wanajaribu kutafuta timu ambayo itaifunga Yanga Ili nyoyo zao zipoe.
Wana bahati mbaya kwakua Yanga imejiandaa vizuri na haitakua rahisi kupoteza mchezo hivi karibuni.
Yanga anaanzia ugenini mechi ya mashindano gani?Yanga anaanzia ugenini ambako hawezi kushinda iko wazi yaani atapoteza...ILA AKIRUDI KWA MKAPA ANAWEZA KUSHINDA CHA KUFANYA AJITAHIDI SAANA ATOKE NA GOLI HATA MOJA PALE SUDAN LITAMSAIDIA AKIJA KWA MKAPA
Mbona mara ya mwisho uto kupoteza kimataifa ni mwaka jana mwezi kama huu wa tisa mlibondwa dar 2 lagos na rivers united au ndugu zetu mmesahau?Unajua Yanga hajapoteza mechi ya kimashindano Kwa mda mrefu sana na haijulikani lini atapoteza, kisaikolojia Mashabiki wengi wa Simba wanajua timu waliyonayo Haina uwezo wa kuifunga Yanga Sasa wanajaribu kutafuta timu ambayo itaifunga Yanga Ili nyoyo zao zipoe.
Wana bahati mbaya kwakua Yanga imejiandaa vizuri na haitakua rahisi kupoteza mchezo hivi karibuni.
Na kuna makima wenzake wamelikeIle rivers United fc haikuwa mechi ya mashindano.?
Utopollo fc anapigwa kama mgoma kwenye CAF.
we jamaa ukisoma ulaya unarudishwa bongo fasta maana mi nimesoma kule hairuhusiwi kukariri we ungedisco!
Hivi Yanga hii na Kisinda katua wangeiweza kweli hao Riva Divaided?
mmebaki na hilo hilo la River tu!
mwaka huu msipokufa kwa presha mi nahamia Makolo.
Simba Timu mbovu promo kubwa mno makelele tupu mnaboa Makolo mmeniharibia wanangu wote Simba nimelazimika kuwanunulia wanangu mijezi yenu ya rangi za shetani!!
kwa mkapa bro, Timu kubwa ndio zinaazia ugeniniYanga anaanzia ugenini ambako hawezi kushinda iko wazi yaani atapoteza...ILA AKIRUDI KWA MKAPA ANAWEZA KUSHINDA CHA KUFANYA AJITAHIDI SAANA ATOKE NA GOLI HATA MOJA PALE SUDAN LITAMSAIDIA AKIJA KWA MKAPA
Yanga yupo chini ya Al Hilal kwenye viwango vya Caf hivyo hawezi kuanzia awayYanga anaanzia ugenini ambako hawezi kushinda iko wazi yaani atapoteza...ILA AKIRUDI KWA MKAPA ANAWEZA KUSHINDA CHA KUFANYA AJITAHIDI SAANA ATOKE NA GOLI HATA MOJA PALE SUDAN LITAMSAIDIA AKIJA KWA MKAPA
Yani ni kuwatesa kisaikolojia kwanza😂Ahahaha
Hii harassment kama itazaa matunda basi timu nyingi zitaanza kuziogopa timu za Tanzania
Inaanzia nyumbani.Siyo tunaanzia hapa nyumbani, au Mimi ndo sielewi
Yanga anaenda kuliwa mnduku
Hata na mie nashangaa eti Mkuu.Sijui kwanini mechi ya yanga na Al Hilal inawaangaisha zaidi mashabiki wa simba!
Na mimi najiuliza hili swali ,Utopolo mwenye 0.5 za CAF aanzie ugenini .Pili wawe na adabu na Simba na wajue ni mkubwa.Wakibisha basi waanzie Ugenini kama wanaweza.Yanga anaanzia ugenini mechi ya mashindano gani?