Nimepita maeneo ya mianzini jijini Arusha kuna kampeni ya chini kwa chini yenye kupeana hamasa kuwa wanachadema asilia waliojitolea kupigwa risasi na mabomu pale soweto kwa ushawishi wa Ufuasi wa Slaa.
sasa wameweka nadhiri kuwa watahama na kumfuata kokote mpendwa wao Dr Willy Slaa ambaye ni baba wa vita dhidi ya ufisadi Tanzania.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Wakati Slaa yuko oficine na anapiga mzigo kwenda mbele, na amekabizi form za uraisi kwa Lowasa leo.
Nynyi mnahubiri ujingaujinga humu na migamba yenu.
