Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Nimepita maeneo ya mianzini jijini Arusha kuna kampeni ya chini kwa chini yenye kupeana hamasa kuwa wanachadema asilia waliojitolea kupigwa risasi na mabomu pale soweto kwa ushawishi wa Ufuasi wa Slaa.
sasa wameweka nadhiri kuwa watahama na kumfuata kokote mpendwa wao Dr Willy Slaa ambaye ni baba wa vita dhidi ya ufisadi Tanzania.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Yeah man. Tembea na Yethu kupitia Baba Paroko Slaa, na roho yako itapona.