Naondoka na Slaa kampeni ya CHADEMA Asilia!

Naondoka na Slaa kampeni ya CHADEMA Asilia!

Jaman niulize kiswali kwan chadema ni chama cha wachaga au maana wengi ninaowaona ni wachaga tukiwapa wachaga c ndo kila seckita ngazi za juu watakuwa wachaga tuuuu

Mkuu ni chama cha wasaka tonge, hawana hata falsafa wao hata wezi kwao ni watakatifu mradi wanauhakika wa kupata pesa na si kutetea wanyonge. Inashangaza mtu anaongea mpaka povu linamtoka eti EL alionewa kukatwa wakati wao hawajaruhusu hata mtu kuchukuwa form kama si utahira ni nini
 
Dr slaa ukiondoka chadema utaondoka na mkeo tu,mimi ni shabiki namba moja wa chadema lkn ni moja kati ya mwana chadema ninayempenda sana dr slaa lkn kwa hili la kusaliti chama kama ni kweki?sintokaa nikubali maishani mwangu kusikiliza sauti yako tena
Dr ww inatakiwa ujitowe sadaka kwa manufaa ya kuindoa ccm madarakani kwa kuwaunga mkono ukawa na sio kuwasaliti wenzako
 
Dr slaa ukiondoka chadema utaondoka na mkeo tu,mimi ni shabiki namba moja wa chadema lkn ni moja kati ya mwana chadema ninayempenda sana dr slaa lkn kwa hili la kusaliti chama kama ni kweki?sintokaa nikubali maishani mwangu kusikiliza sauti yako tena
Dr ww inatakiwa ujitowe sadaka kwa manufaa ya kuindoa ccm madarakani kwa kuwaunga mkono ukawa na sio kuwasaliti wenzako

dr hajawasariti yeye anasimamia kile anachoamini.hawezi watangazia watanzania LOWASSA fisadi leo akapitenae majukwaani kumnadi eti LOWASSA sio fisadi.MBOWE ndio msariti
 
Dr slaa ukiondoka chadema utaondoka na mkeo tu,mimi ni shabiki namba moja wa chadema lkn ni moja kati ya mwana chadema ninayempenda sana dr slaa lkn kwa hili la kusaliti chama kama ni kweki?sintokaa nikubali maishani mwangu kusikiliza sauti yako tena
Dr ww inatakiwa ujitowe sadaka kwa manufaa ya kuindoa ccm madarakani kwa kuwaunga mkono ukawa na sio kuwasaliti wenzako

Ujielewi wewe
 
dr hajawasariti yeye anasimamia kile anachoamini.hawezi watangazia watanzania LOWASSA fisadi leo akapitenae majukwaani kumnadi eti LOWASSA sio fisadi.MBOWE ndio msariti

Kwa hiyo mtu akituhumiwa,akajieleza vizuri,na ushahidi akatoa yeye ajahusika bado hamuwezi kumsame?ss wakistor jambo moja muhimu sana tunafundishwa ni kusamehe aliye kukusea
Talbani wenyewe wana madhungumzo na serekali ya afganistani sembuse dr na lowasa?
Marekani wamepatana irani sembuse dr na lowasa?
Cuba na marekani wameelewana sembuse dr na lowasa?hivi sasa kuna madhungumzo kati korea kasikazini na marekani ni vpi nyie watu
 
Dr slaa ukiondoka chadema utaondoka na mkeo tu,mimi ni shabiki namba moja wa chadema lkn ni moja kati ya mwana chadema ninayempenda sana dr slaa lkn kwa hili la kusaliti chama kama ni kweki?sintokaa nikubali maishani mwangu kusikiliza sauti yako tena
Dr ww inatakiwa ujitowe sadaka kwa manufaa ya kuindoa ccm madarakani kwa kuwaunga mkono ukawa na sio kuwasaliti wenzako

Kwakweli hata mm ni mpenzi wa chadema sanalkn kwa hili ataondoka mwenywe na mkewe ambae amekasirika kwakuona kuwa hawezi tena kuwa first lady
Pole Dr. Umenivunjia uaminifu nenda tuu..chadema itabaki palepale
 
Dr slaa mwenyewe anajua umuhimu wa kasamee
Wajerumani waliwauwa wayahudi lkn leo hii wajerumani na wayahudi wanashikiana kila sectar
 
Ww Dr.slaa angalia utapotea tulikupenda ulipokuwa chadema usizani ukienda ACT utakuwa na ss NOOOO..sisi kama wanachama tumeridhia mpango uliopo wa lengo la kuiondoa ccm sasa ww ulichokasirika ni nini? Au mkeo ndio amekushika? Sasa kama ungepata uraisi mkeo si angetutemea mate kabisa ...yaani

NENDA TU MJOMBA.
 
Dr slaa ukiondoka chadema utaondoka na mkeo tu,mimi ni shabiki namba moja wa chadema lkn ni moja kati ya mwana chadema ninayempenda sana dr slaa lkn kwa hili la kusaliti chama kama ni kweki?sintokaa nikubali maishani mwangu kusikiliza sauti yako tena
Dr ww inatakiwa ujitowe sadaka kwa manufaa ya kuindoa ccm madarakani kwa kuwaunga mkono ukawa na sio kuwasaliti wenzako

Kwa haya uliyoandika na nilivyoyasoma nakumbuka maneno niliyowahi kuelezwa na wakubwa wangu kuwa "Mpumbavu akinyamaza huwezi kujua upumbavu wake" sasa kwa kuzungumza kwako tu nimekujua kuwa wewe ni Mpumbavu. Dr. Slaa si msaliti kwa CHADEMA Bali msaliti wenu Chadema ni mwenyekiti wenu Freeman Mbowe kwa akili ndogo aliyokuwa NATO na tamaa binafsi ameona ni heri amtupe Dr. Slaa na kumkumbatia fisadi maarufu hapa Tanzania ambaye hata wenzake wa chama chake ambao kafanya nao Kazi miaka mingi wanamjua kuwa ni fisadi na mwizi aliyekubuhu na wakamtimua katika uongozi.

Kwa MTU mwenye akili timamu asingefanya jambo la hatari kama hili alilolifanya mwenyekiti wenu Mbowe. Hivi amemuamini nini Edward Lowassa mpaka kumpa nafasi ya kuwa mgombea wenu wa uraisi. Lowassa hana usafi wowote na doa lake halikuanzia katika kashfa ya Richmond tu bali hata baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere alishamjua siku nyingi na aliusema ufisadi wake waziwazi na hakumficha kipindi kile cha mwaka 1995. Je Mbowe hajui hilo? Kwa maneno yake machache tu ya uongo kuwa eti muhusika mkuu wa Richmond alikuwa in raisi Kikwete basis nanyi kwa akili zenu ndogo mumeridhika bila ya kufanya utafiti wowote na munakaa majukwaani na kuanza kuutangazia umma kuwa Lowassa in msafi sana ila mfumo ndiyo mchafu wakati mumesahau huyo mfumo mchafu no wa Lowassa na marafiki zake Andrew Change, Rostam Aziz, Karamagi wengineo.

Dr. Wilboad Slaa no MTU mkweli na mwenye heshima yake katika jamii ya kitanzania na nje ya Tanzania na alishamtaja huyu huyu Lowassa katika ile list of shame ya mafisadi papa wa Tanzania na bafo anayaamini maneno yake ni sahihi. No hero aonekane ni msaliti kwa CHADEMA na UKAWA kuliko kuwa msaliti kwa taifa kwa kumpigia kampeni na kumsafisha Mwizi ambaye akishika ikulu tu ataleta ufisadi mkubwa nchini.

Namshangaa na namdharau kabisa huyu Process njaa Kali wa CUF Prof. Lipumba kwa elimu yake na usomi wake ameshindwa kujua kwamba Lowassa si MTU sahihi kwao ila ni mtego tu hafai kuwa mgombea wao. Lakini cha kushangaza yeye amekuwa mstari wa mbele kumsafisha na kumpigia debe in aibu sana kwake na kwa uprofesa wake.
 
Hatuwezi kurudi nyuma kisa slaa aliyeshikwa akili na Josephine
 
Kwa hiyo mtu akituhumiwa,akajieleza vizuri,na ushahidi akatoa yeye ajahusika bado hamuwezi kumsame?ss wakistor jambo moja muhimu sana tunafundishwa ni kusamehe aliye kukusea
Talbani wenyewe wana madhungumzo na serekali ya afganistani sembuse dr na lowasa?
Marekani wamepatana irani sembuse dr na lowasa?
Cuba na marekani wameelewana sembuse dr na lowasa?hivi sasa kuna madhubgumzo kati korea kasikazini na marekani ni vpi nyie watu

nani mkweli kati ya ccm iliyokuwa inasema lowasa siyo fisadi na chadema iliyokuwa inasema LOWASA ni fisadi? leo LOWASA antaka mwenye ushahidi kuwa yeye ni fisadi ampeleke mahakamani ninani ambaye alimtaja mwembeyanga kuwa LOWASA nifisadi na ushahidi anao?
tukae upande gani wa kuamini LOWASA alikuwa anasingiziwa tu je aliyekuwa anamsingizia si DR SLAA je tuendelee kumwamini SLAA na chama chake tena kuwa wanachotuambia nikweli?
 
Kwa hiyo mtu akituhumiwa,akajieleza vizuri,na ushahidi akatoa yeye ajahusika bado hamuwezi kumsame?ss wakistor jambo moja muhimu sana tunafundishwa ni kusamehe aliye kukusea
Talbani wenyewe wana madhungumzo na serekali ya afganistani sembuse dr na lowasa?
Marekani wamepatana irani sembuse dr na lowasa?
Cuba na marekani wameelewana sembuse dr na lowasa?hivi sasa kuna madhungumzo kati korea kasikazini na marekani ni vpi nyie watu


kwa hiyo mtu huwa anatubu kwa kutoa masharti ya maslahi binafsi?
 
Dr slaa ukiondoka chadema utaondoka na mkeo tu,mimi ni shabiki namba moja wa chadema lkn ni moja kati ya mwana chadema ninayempenda sana dr slaa lkn kwa hili la kusaliti chama kama ni kweki?sintokaa nikubali maishani mwangu kusikiliza sauti yako tena
Dr ww inatakiwa ujitowe sadaka kwa manufaa ya kuindoa ccm madarakani kwa kuwaunga mkono ukawa na sio kuwasaliti wenzako

Naanza kuelewa kwamba watanzania wengi hawaelewi nini maana ya kuishi kweli misimamo. Hii ndio gharama ya kua na msimamo. Wewe huna hilo. Mwache mzee wa watu ajipatie heshima anayostahili
 
Kwa haya uliyoandika na nilivyoyasoma nakumbuka maneno niliyowahi kuelezwa na wakubwa wangu kuwa "Mpumbavu akinyamaza huwezi kujua upumbavu wake" sasa kwa kuzungumza kwako tu nimekujua kuwa wewe ni Mpumbavu. Dr. Slaa si msaliti kwa CHADEMA Bali msaliti wenu Chadema ni mwenyekiti wenu Freeman Mbowe kwa akili ndogo aliyokuwa NATO na tamaa binafsi ameona ni heri amtupe Dr. Slaa na kumkumbatia fisadi maarufu hapa Tanzania ambaye hata wenzake wa chama chake ambao kafanya nao Kazi miaka mingi wanamjua kuwa ni fisadi na mwizi aliyekubuhu na wakamtimua katika uongozi.

Kwa MTU mwenye akili timamu asingefanya jambo la hatari kama hili alilolifanya mwenyekiti wenu Mbowe. Hivi amemuamini nini Edward Lowassa mpaka kumpa nafasi ya kuwa mgombea wenu wa uraisi. Lowassa hana usafi wowote na doa lake halikuanzia katika kashfa ya Richmond tu bali hata baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere alishamjua siku nyingi na aliusema ufisadi wake waziwazi na hakumficha kipindi kile cha mwaka 1995. Je Mbowe hajui hilo? Kwa maneno yake machache tu ya uongo kuwa eti muhusika mkuu wa Richmond alikuwa in raisi Kikwete basis nanyi kwa akili zenu ndogo mumeridhika bila ya kufanya utafiti wowote na munakaa majukwaani na kuanza kuutangazia umma kuwa Lowassa in msafi sana ila mfumo ndiyo mchafu wakati mumesahau huyo mfumo mchafu no wa Lowassa na marafiki zake Andrew Change, Rostam Aziz, Karamagi wengineo.

Dr. Wilboad Slaa no MTU mkweli na mwenye heshima yake katika jamii ya kitanzania na nje ya Tanzania na alishamtaja huyu huyu Lowassa katika ile list of shame ya mafisadi papa wa Tanzania na bafo anayaamini maneno yake ni sahihi. No hero aonekane ni msaliti kwa CHADEMA na UKAWA kuliko kuwa msaliti kwa taifa kwa kumpigia kampeni na kumsafisha Mwizi ambaye akishika ikulu tu ataleta ufisadi mkubwa nchini.

Namshangaa na namdharau kabisa huyu Process njaa Kali wa CUF Prof. Lipumba kwa elimu yake na usomi wake ameshindwa kujua kwamba Lowassa si MTU sahihi kwao ila ni mtego tu hafai kuwa mgombea wao. Lakini cha kushangaza yeye amekuwa mstari wa mbele kumsafisha na kumpigia debe in aibu sana kwake na kwa uprofesa wake.

Mbowe ameinuliwa na mungu,kama hizi habari za kuondoka kwa dr slaa ni kweli
Itakuwa mbowe ni abrahamu na dr slaa ni isaka,lazima isaka achinje hata kama ndie mtoto pekee kwa baba kwa kuwa ni agizo la mungu
Mungu anataka sadaka
 
Naanza kumdharau slaa kama ana msimamo asingepora mke wa mtu na kumuacha mkewe
 
Kwakwel bora zitto atleast tulishamzoea vituko vyake pia sio mbaya sababu ni kijana basi tunajua una mambo mengi

Lakini huyu mzee slaa ni mzigo kwakwel, mzee mzima kama huyu kushikwa akili na mwanamke wa nje ya ndoa ni aibu sana, hiv kwel huyu urais angeuweza kweli, eti ooh mara nchi haitatawalika, huu ni ujinga kumbe yeye mwenyewe nyumban kwake ndiko hakutawaliki.

Kiongozi wa chama mkubwa unalipwa zaid ya milion 7 per monthly bado posho na marupu rupu kibao lakini week sasa inaisha umefungiwa ndani na janamke kazini huendi? Hivi kweli unadirik kumpa mwanamke password za social networks, aiseee huyu mzee mi nimemshusha sana thamani, anajifanya anaichukia CCM kumbe unafiki tu,kweli leo hii ndio kawa wa kusaliti CHADEMA.

Laana itamtafuna huyu mzeee

Edi
 
Ondokeni Zoeni Makapi Yenu Mrudi C.C.M Mlikohongwa Pesa.Tokeni Haraka Sana Wasali Wakubwa Nyie.
 
Back
Top Bottom